Connect with us

Uzazi/Ujauzito

Kutoka damu wakati wa mimba changa

Avatar photo

Published

on

Kutoka damu wakati wa mimba changa

Ujauzito ukiwa mchanga,kutoa vidamu ambavyo tunasema “spotting” ni kawaida, na hali hii hutokea wakati kiumbe kinachokua tumboni(developing embryo) kinajishikiza kwenye kuta za tumbo la uzazi. Na mara nyingi hii hutokea kile kipindi ambacho ungetakiwa upate hedhi yako ya kawaida.

Implantation Bleeding: Hii ni damu inayotoka wakati yai lililorutubishwa linajipandikiza kwenye ukuta wa uterasi. Hii kawaida hutokea wiki ya 1-2 baada ya kutunga mimba na mara nyingi siyo tatizo.

Katika Makala hii tunazungumzia tatizo la kutoa damu wakati wa mimba changa kama dalili ya hatari kipindi cha ujauzito na sio hizo spotts ambazo ni kawaida sio tatizo.

Kutoka damu wakati wa mimba changa;

Kutoka damu wakati wa ujauzito, hasa katika trimester ya kwanza (mimba changa), inaweza kuwa na sababu mbalimbali na mara nyingi inahitaji uangalizi wa karibu wa kitaalam.

Chanzo cha Kutoka damu wakati wa mimba changa

Hapa kuna baadhi ya sababu zinazochangia kutokwa na damu katika trimester ya kwanza:

1. Tatizo la Miscarriage (Kuharibika kwa Mimba):

Kutoka damu kunaweza kuwa ishara ya kuharibika kwa mimba, hasa ikiambatana na maumivu ya tumbo. Hii ndiyo sababu kuu ya kutokwa na damu katika trimester ya kwanza.

2. Tatizo la Ectopic Pregnancy (Mimba kutunga nje ya kizazi):

Hii ni hali hatari ambapo mimba inakua nje ya uterasi, Na mara nyingi hutokea katika moja ya mirija ya fallopian. Hii Inahitaji matibabu ya haraka.

3. Molar Pregnancy (Mimba ya Mole):

Hii ni tatizo adimu ambapo ujauzito haufanyiki kwa njia ya kawaida, na badala yake, tishu isiyo ya kawaida inakua ndani ya uterasi. Hii pia inaweza kusababisha kutoka damu.

4. Sababu Zingine: Kutokwa na damu wakati mwingine kunaweza kusababishwa na maambukizi katika uke au mlango wa kizazi(cervix), au hali zingine kama polyps za cervix.n.k

– Mabadiliko kwenye mlango wa kizazi(Cervical changes)

Ujauzito unaweza kusababisha mabadiliko kwenye mlango wa kizazi(Cervix) na hii wakati mwingine huweza kusababisha kuvuja damu hasa baada ya tendo.

– Maambukizi ukeni(Vaginal infections)

Ukiwa mjamzito halafu ukapata maambukizi mengine ya magonjwa Ukeni,hii inaweza kuchangia pia tatizo la kutokwa na damu wakati wa ujauzito.

Sababu zingine za damu kutoka ukiwa mjamzito hasa baada ya mimba kukua

Sababu zingine za damu kutoka ukiwa mjamzito hasa baada ya mimba kukua ni pamoja na;

1. Kuwa na tatizo la Placental abruption

Hali hii ni ya hatari na huhusisha kondo la nyuma(placenta) kuachia lilipojishikiza kwenye kuta za mji wa mimba,

Na huweza kuambatana na maumivu ya tumbo pamoja na damu.

2. Tatizo la Low-lying placenta (placenta praevia)

Hali hii hutokea pale ambapo kondo la nyuma(placenta) limejishikiza ila ni kwenye sehemu ya chini ya tumbo la uzazi karibu kabsa na mlango au shingo ya kizazi.

Mwanamke mwenye tatizo hili huweza kuvuja damu nyingi wakati wa ujauzito.

3. Tatizo lingine ni tatizo la Vasa praevia

Hii ni hali ya nadra sana kutokea,ambapo mishipa ya damu ya mtoto hupita kwenye utando unaofunika seviksi.

Chupa ya uzazi inapopasuka, Mishipa hii inaweza kupasuka na kusababisha kutokwa na damu ukeni. Mtoto anaweza kupoteza kiasi cha damu kinachohatarisha maisha.

Ni muhimu sana kwa mwanamke yeyote mjamzito anayepitia tatizo la kutokwa na damu—hata kama ni kidogo—kupata ushauri wa kitaalam mara moja. Daktari anaweza kufanya uchunguzi, kama vile ultrasound, ili kutambua chanzo cha tatizo na kutoa maelekezo yanayofaa kwa matibabu au ufuatiliaji zaidi.

Kumbuka, ingawa kutokwa na damu wakati wa mimba changa inaweza kuwa ya kutisha, si kila wakati inaashiria tatizo kubwa. Hata hivyo, bora kuchukua tahadhari na kuwasiliana na mtaalamu wa afya kwa ushauri na uchunguzi zaidi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...