Connect with us

afyatips

Faida za karafuu,Soma hapa kufahamu

Avatar photo

Published

on

Faida za karafuu,Soma hapa kufahamu

Katika Makala hii tumekuandalia faida za karafuu ambazo pengine ulikuwa huzijui kabsa, Kwa kweli, utafiti unaonyesha kwamba karafuu inaweza kuwa na manufaa kadhaa ya afya, ikiwa ni pamoja na kusaidia afya ya ini na kusaidia kuweka Sawa Kiwango cha sukari kwenye damu.

Hapa tumekuchambulia Faida Kadhaa za Karafu ambazo pengine ulikuwa huzifahamu kabsa;

1. Karafuu ina virutubisho muhimu sana mwilini ikiwemo;

  • nyuzi nyuzi(fiber),
  • Vitamins,
  • Pamoja na Madini

Tafiti zinaonyesha kijiko kimoja cha Karafuu huweza kutoa;

Calories: 6
Carbs: 1 g
Fiber: 1 g
Manganese: 55% of the Daily Value (DV)
Vitamin K: 2% of the DV

Madini ya Manganese ni muhimu sana kwenye kusaidia afya ya na utendaji kazi wa Ubongo pamoja na kujenga Mifupa Imara.

2. Karafuu ina kiwango kikubwa cha antioxidants;

Mbali na kusheheni Vitamins na madini,Pia Karafuu ina antioxidants za kutosha,

Antioxidants hizi husaidia kupunguza uwezekano wa mtu kupata magonjwa ya Muda mrefu yaani chronic disease.

Mfano wa antioxidants muhimu sana ndani ya Karafuu ni hii inaitwa eugenol,

Hivo hii husaidia kuboresha afya ya Mwili kwa Ujumla.

3. Karafuu huweza kusaidia kuboresha afya ya Ini

Antioxidants kama vile eugenol husaidia kuzuia uharibifu wa Ini dhidi ya viambato vya Sumu kama vile thioacetamide.

Ingawa pia,Matumizi ya Karafuu kwa kiwango kikubwa sana huweza kuleta athari kwenye Ini.

#Soma Zaidi Madhara ya Karafuu Mwilini,Hapa

4. Karafuu huweza kukulinda dhidi ya Saratani,

Baadhi ya Tafiti zinaonyesha Mafuta ya Karafuu husaidia ulinzi dhidi ya Saratani, Hasa hasa kwa Sababu ya antioxidants hii ya eugenol,

Tafiti zinaonyesha eugenol huzuia Saratani ya matiti kwa kuhamasisha Zaidi seli zenye Saratani kufa Zaidi na kuacha zile zenye afya.

5. Karafuu huweza kuua Viini vya magonjwa kama vile bacteria,

Karafuu zina tabia ambayo kitaalam tunasema antimicrobial properties, hii ina maana Karafuu huweza kuzuia ukuaji wa viini vya magonjwa kama vile bacteria.

Hivo basi,Kwa kujumuisha na njia nyingine za Usafi wa kinywa karafuu huweza kusaidia kwenye afya ya Kinywa na Meno, kama ukiitumia wakati wa kusafisha kinywa.

6. Karafuu huweza kusaidia kuweka Sawa kiwango cha Sukari kwenye damu,

Karafuu inaweza kusaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu,
Misombo inayopatikana kwenye karafuu inaweza kusaidia kudhibiti sukari kwenye damu.

Kwa mfano, katika utafiti uliofanyika mwaka 2019 watu walio na prediabetes na wasio na ugonjwa wa kisukari ambao walitumia miligramu 250 (mg) ya karafuu kila siku kwa siku 30 walionyesha kiwango kidogo cha sukari kwenye damu baada ya kula.

Katika utafiti mwingine wa wanyama, nigricin, kiambato kinachopatikana kwenye karafuu, kiligundulika kuongeza uchukuaji wa sukari kutoka kwenye damu hadi kwenye seli, kuongeza utolewaji wa insulini, na kuboresha utendaji kazi wa seli zinazozalisha insulini kwenye panya.

7. Karafuu huboresha afya ya Mifupa,

Tatizo la Low bone mass ambalo hupelekea shida ya mifupa inayojulikana kama osteoporosis huwapata watu wengi, Mfano kwa nchi tu kama Marekani,inakadiriwa watu takribani Million 43 hupata shida hii kwa mujibu wa utafiti uliofanyika mnamo mwaka 2014.

Lakini, Tafiti zilizofanyika kwa wanyama,zilionyesha kwamba antioxidant ya eugenol kutoka kwenye Karafuu huweza kuboresha bone mass na kuzuia tatizo hili.

8. Karafuu huweza kusaidia kupunguza Vidonda vya Tumbo,

May reduce stomach ulcers
Tafiti nyingine za wanyama,zilionyesha Faida kubwa ya eugenol kutoka kwenye karafuu hata kwa kutibu Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo.

Hizo Ni baadhi ya FAIDA za KARAFUU tulizokuandalia kwa Siku ya Leo…!!!!

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa7 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending