Magonjwa
SABABU KUU MBILI ZA MTU KUPATA VIDONDA VYA TUMBO
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2022/02/images-4-2.jpeg)
SABABU KUU MBILI ZA MTU KUPATA VIDONDA VYA TUMBO
1.Ni matumizi mabaya ya dawa za maumivu
2. Pamoja na mashambulizi ya bacteria aina ya Helicobacter Pylori maarufu kama H.PYLORI.
SABABU ZINGINE NI PAMOJA NA;
– Mtu kukaa na njaa kwa muda mrefu mara kwa mara
– Kula chakula chenye kemikali au sumu
– Kuwa na shida ya Msongo wa mawazo mara kwa mara n.k
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Magonjwa6 days ago
Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu
-
magonjwa ya wanawake5 days ago
Dalili za Ectopic pregnancy,Mimba kutunga nje ya kizazi
-
Elimu&Ushauri4 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Magonjwa2 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Events1 day ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Events6 days ago
Princess Anne alilazwa hospitalini na majeraha madogo kufuatia tukio nyumbani kwake
-
News4 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI