Connect with us

Elimu&Ushauri

Story: Tatizo la Fistula ya uzazi na Bi. Mbonimpa

Avatar photo

Published

on

Story: Tatizo la Fistula ya uzazi na Bi. Mbonimpa

Bi. Mbonimpa ambaye enzi za ujana wake alikumbwa na tatizo la Fistula ya uzazi anaeleza kuwa alihisi kifo kinakaribia siku aliyoshikwa na uchungu wa kujifungua, alipiga kelele kuita majirani zake kwa msaada,

walijaribu kumpeleka kwenye kituo cha matibabu lakini haikuwa heri kwake, alijifungulia njiani mtoto akiwa amefariki, na kupata fistula ya uzazi katika mchakato huo.

Fistula ya uzazi ni majeraha ya kujifungua ambayo husababishwa hasa na uzazi uliokwamishwa kwa muda mrefu.

Duniani kote, majeraha haya huathiri karibu nusu milioni ya wanawake na wasichana hasa wale ambao wanakosa Msaada wa huduma ya MATIBABU ya haraka na yenye ubora wa juu.

Matokeo ya ugonjwa wa fistula kwa mhanga yanaweza kuwa mabaya kwani mara nyingi hawaheshimiki katika jamii na hutengwa pamoja na kuwa na umasikini wa kiwango cha juu.

Unyanyapaa

“Wanawake katika wodi ya uzazi waliniomba niondolewe katika wodi hiyo kwasababu nilikuwa nikilowanisha kitanda, mbali na maumivu ya kupoteza mtoto, nilikuwa sielewi nini kinanitokea katika Maisha yangu” Donavine Ndayikengurukiye, mwanamke mwingine aliyepona fistula, aliliambia UNFPA.

Kutokana na aibu aliyoipata kutokana na Fistula, mume wa Bi. Mbonimpa alimtelekeza kwa sababu ya kushindwa kuvumilia hali hiyo. “Nilikuwa natoa harufu isiyovumilika, hakuna anayestahili kupitia haya” alisema Bi. Mbonimpa

Fistula inatibika, licha ya hayo, utafiti unaonesha kuwa wahanga wengi hawajui kuwa upasuaji unaweza kusaidia kuponya majeraha hayo.

Mwanzoni, Bi. Ndayikengurukiye alikuwa mmoja wao, lakini kugundua kwake kuwa anaweza kupona ikaleta tabasamu mpya usoni mwake.

Nchini Burundi, kituo kimoja cha afya, kituo cha Urumuri kilichoko katika mji mkuu wa Burundi, Bujumbura, kina vifaa vya kushughulikia wagonjwa wa fistula.

Kati ya mwaka 2010 na 2023, wanawake takribani 3,000 walifanyiwa upasuaji wa kurekebisha hali zao kituoni hapo. Bi. Mbonimpa alikuwa mmoja wao.

Mwaka 2022, alitafuta matibabu katika kituo hicho wakati wa kampeni iliyoungwa mkono na UNFPA iliyotoa fursa ya huduma bure kwa wahanga wa ugonjwa wa fistula.

Wanawake walio katika umri wa kubalehe wanaweza kuwa katika hatari ya kupata fistula, kwani mifupa yao ya nyonga haijakomaa vya kutosha kwaajili ya kujifungua.

“Nadhani nilipata hii fistula kwasababu nilijifungua nilipokuwa mdogo sana” Bi. Ndayikengurukiye aliliambia UNFPA

Ni miaka 23 sasa Bi. Ndayikengurukiye anaishi bila fistula, akiwa ni mama wa msichana mdogo ambaye alizaliwa baada ya kupona kwake, tangu wakati huo, yeye na mumewe wamekubali kufuata huduma ya uzazi wa mpango.

“Mume wangu na mimi tulichagua uzazi wa mpango ili mwili wangu upate kupumzika kutoka katika hatari ya kupata fistula ya uzazi nyingine, na kusubiri msichana wetu mdogo aweze kukua kidogo”

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa8 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending