Connect with us

magonjwa ya wanaume

Ugonjwa wa epididymitis,chanzo,dalili na Tiba yake

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa wa epididymitis,chanzo,dalili na Tiba yake

Epididymitis ni tatizo linalohusisha kuvimba kwa mrija uliojikunja sehemu ya nyuma ya korodani ambao kwa kitaalam hujulikana kama epididymis.

Mrija huu kazi yake kubwa ni kuhifadhi na kubeba mbegu za kiume. Mwanaume wa umri wowote ndyo anaweza kupata tatizo la Epididymitis.

Dalili za Ugonjwa wa epididymitis

Mwanaume mwenye tatizo la Epididymitis anaweza kupata dalili kama hizi;

– Kupata joto,kubadilika rangi na Kuvimba kwa ngozi au kifuko cha korodani(Scrotum)

– Kupata maumivu ya korodani,ambapo mara nyingi huwa ya upande mmoja

– Kuumia wakati wa kukojoa

– Kupata hisia na kukojoa mara kwa mara

– Kutokwa na Uchafu kwenye Uume

– Kupata maumivu chini ya tumbo au eneo la via vya Uzazi

– Kutoa damu kwenye mbegu za kiume(kumwaga maji maji na shahawa zenye damu wakati wa tendo)

– Mara chache, kwa baadhi ya Wanaume hupata Homa.

Je, UTI inaweza kusababisha epididymitis? Soma hapa kufahamu Chanzo chake

Chanzo cha Ugonjwa wa epididymitis

Tatizo la Epididymitis huweza kusababishwa na;

1. Magonjwa ya Zinaa(STIs).

Magonjwa ya Zinaa kama vile Kisonono na chlamydia ni chanzo kikubwa cha tatizo la epididymitis

2. Maambukizi mengine.

Bacteria kutoka kwenye njia ya Mkojo au maambukizi kwenye Tezi dume(prostate) huweza kusambaa kutoka eneo la maambukizi hadi kwenye epididymis.

Pia maambukizi ya Virusi kama vile mumps virus, huweza kusababisha tatizo la epididymitis.

3. Mkojo kuingia kwenye mrija wa epididymis.

Hali hii hutokea pale ambapo mkojo hutiririka kwakurudi nyuma kisha kuingia kwenye mrija huu.

4. Kuumia(Trauma).

Kupata jeraha au kuumia eneo la Korodani huweza kusababisha tatizo la epididymitis.

5. Kupata ugonjwa wa Kifua kikuu au TB(Tuberculosis).

Kuna kesi chache pia tatizo la epididymitis husababishwa na maambukizi ya TB, japo hii ni nadra sana kutokea.

Vitu hivi huongeza hatari ya kupata Ugonjwa wa epididymitis

– Aina yoyote ya kufanya mapenzi ambayo huongeza hatari ya kupata magonjwa ya Zinaa-STIs hukuweka kwenye hatari ya kupata tatizo la epididymitis, mfano:

  • Kufanya mapenzi na mtu mwenye ugonjwa wowote wa Zinaa
  • Kufanya mapenzi bila kinga/condomu
  • Kufanya mapenzi kinyume na maumbile(Anal Sex) n.k
  • Kuwa na historia ya kuugua magonjwa ya Zinaa mara kwa mara

–  Kuwa na maambukizi kwenye njia ya Mkojo(UTI)

– Kuwa na maambukizi ya Tezi dume(prostate infection)

– Kufanyiwa huduma yoyote ya kitabibu ambayo hugusa njia ya Mkojo kama vile;Kuwekewa mpira wa mkojo(Urinary catheter) n.k

– Mwanaume kutokutahiriwa au kutokufanyiwa tohara

#SOMA hapa; Faida Zaidi za Mwanaume kufanyiwa Tohara

– Kukua kwa Tezi dume, ambapo huongeza hatari ya Mwanaume kupata maambukizi kwenye kibofu cha mkojo pamoja na tatizo la Epididymitis

– Kuwa na Matatizo mengine ambayo hudhoofisha kinga ya mwili kama vile HIV/AIDS n.k.

Madhara ya Ugonjwa wa epididymitis

Ukipata tatizo la epididymitis unaweza kupata madhara haya;

• Kupata jipu kwenye eneo la kifuko cha Korodani-Scrotum

• Maji au fluid kujikusanya kuzunguka korodani na kusababisha tatizo la hydrocele

• Kupata tatizo la Epididymo-orchitis, ikiwa tatizo la kuvimba kwa mrija wa epididymis limesambaa hadi kwenye Korodani.

• Pia kwa Kesi chache, hupunguza uwezo wa Mwanaume kumpa mimba mwanamke.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...