Connect with us

Elimu&Ushauri

Vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo na uboreshaji sawa na dawa ya Viagra

Avatar photo

Published

on

Vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo na uboreshaji sawa na dawa ya Viagra

Chokoleti, stroberi, chaza; huelezwa ni vyakula vinavyoweza kuongeza hamu ya kufanya mapenzi na kuboresha ufanyaji wa tendo lenyewe. Lakini kuna ukweli wowote kwenye madai hayo?

Kwa wale ambao wana matatizo na ufanyaji wa mapenzi, ni kweli vyakula fulani vinaweza kusaidia kwa njia sawa na dawa ya Viagra.

Jamii mbalimbali katika historia zimetafuta vyakula ambavyo vinaweza kuongeza hamu ya kufanya mapenzi au kuboresha utendaji wa ngono.

“Hata hivyo, watu walio na matatizo katika kufanya mapenzi ndio huona mabadiliko wanapokula hivi vyakula,” anasema Lauri Wright, msemaji wa Chuo cha Nutrition and Dietetics, kutoka Marekani. “Mtu asiye na matatizo hawezi kuona mabadiliko yoyote.”

Chakula kimoja ambacho kinaaminika kwa muda mrefu kuongeza hamu ya ngono ni chokoleti. Utafiti unaonyesha kuwa kakao pia inaweza kuongeza hamu.

#Soma pia vyakula vinavyopunguza nguvu za kiume

Kula chokoleti kunaweza kuongeza hamu ya tendo kwa kuchochea utengenezaji wa serotonini na kemikali ya dopamini kwenye nyurotransmita, ambazo pia huchangia katika kuwa na hisia za kimapenzi.

Mtindo wa maisha na lishe

Michael Krychman, mtaalamu na mshauri wa masuala ya kujamiiana kutoka kliniki ya Sexual Health and Survivorship Medicine, Marekani anasema “tunachojua ni kwamba, watu wanaofanya mazoezi, kula lishe bora na kupunguza msongo wa mawazo, vitu hivi vyote huboresha uwezo wa kufanya tendo.”

“Mlo wetu unaweza kufanya kazi kama kichochezi kutupa manufaa kama vile mtiririko mzuri wa damu, kuongezeka homoni au kuongeza hamu,” anasema Wright.

“Jambo la msingi kuzingatia ni vyakula kama samaki, nyama isiyo na mafuta, karanga, matunda, mboga mboga na nafaka, ambavyo husaidia kazi ya neva na kusaidia mtiririko wa damu na homoni,” anasema Wright.

“Hamu ni ya kimwili na ya kisaikolojia. Ukweli kwamba hamu ya kufanya ngono ina mambo mengi. Dawa au chakula vinaweza kufanya kazi,” anasema Nan Wise , mtaalamu wa saikolojia na masuala ya kujamiina katika Chuo Kikuu cha Rutgers huko New Jersey.

“Uzoefu wetu pia unaweza kuchangia kujua ni vyakula gani vinavyoongeza hamu ya kufanya tendo kwa mtu mmoja mmoja,” anasema Jean-Christophe Billeter, profesa wa tabia za kijamii na kujamiiana katika Chuo Kikuu cha Groningen nchini Uholanzi.

“Ubongo unakuwa na waya wa kutengeneza kumbukumbu tunapopata mafanikio ya tendo la ndoa, kulingana na hali itakavyotokea katika mazingira ambayo mtu alifanya ngono, hii itakua ni kitu cha kuamsha hamu ya kufanya mapenzi katika siku za usoni.”

Kuna utafiti unapendekeza kuwa mawazo chanya yanahusishwa na kuongezeka kwa msisimko wa ngono, na lishe iliyo na vyakula vingi vya mimea.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa4 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa7 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending