WHO Ripoti mpya: kuna uhusiano wa COVID-19 na unene au utipwatipwa kwa Watoto Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la afya la duniani WHO imesema kuna...
Uingereza yaongoza matumizi ya Pombe kwa Watoto. Theluthi moja ya watoto wenye umri wa miaka 11 na zaidi ya nusu ya watoto wa umri wa miaka...
Saratani ya tezi dume janga kwa dunia hadi 2040. Ongezeko linaloweza kuepukika la saratani ya tezi dume linakuja, na kuongezeka maradufu kwa wagonjwa ulimwenguni kote hadi...
Kwa Mujibu wa Takwimu za Shirika la Afya Duniani(WHO; Maambukizi ya homa ya ini yanasababisha vifo vya watu 3500 kila siku. Ripoti ya Shirika la Afya...
Hii ni mikoa 10 inayoongoza kwa uzazi wa mpango Tanzania Miongoni mwa masuala yanayogusa zaidi vijana wengi waliopo kwenye ndoa na wasio kwenye ndoa kwa sasa...
Watu wenye ugonjwa wa moyo wanapaswa kupunguza ulaji wa sodiamu. Taasisi ya Moyo ya nchini Marekani “The American Heart Association (AHA)” inapendekeza watu wazima ambao hawana...
Unywaji wa Pombe kuongeza hatari ya ugonjwa wa moyo. Kunywa sana Pombe kunaweza kuongeza hatari ya ugonjwa wa moyo, haswa kwa wanawake Watafiti wamegundua kuwa wanawake...
Hali ilivyo kwenye Ugonjwa wa homa ya manjano barani Afrika(yellow fever). Takwimu hizi ni kwa Mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO); Tangu mwanzoni mwa 2023, na...
Wanasayansi wa Kenya waonya sumu kwenye mahindi yaweza kuongeza Saratani ya shingo ya kizazi. Wanasayansi wa Kenya waonya juu ya sumu kwenye mahindi inaweza kuongeza hatari...
Kwanini uwezo wa kupata mimba hupungua baada ya miaka 35? Wanasayansi wanasema, hadi umri wa miaka 35, wanawake wengi hawana matatizo kwenye uzazi, lakini baada ya...
Wakati watu milioni 783 wakilala njaa, moja ya tano ya chakula chote kinaishia jalalani: UNEP Wakati theluthi moja ya wanadamu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula,...
Ripoti:Visa vya unene wa kupindukia vimeongezeka kutoka asilimia 17 hadi 26 nchini Uganda Kampala, Uganda SikiaHii: Serikali ya Uganda imewahimiza watumishi wote wa umma kufanya mazoezi...
Chanjo ya malaria mbioni kutumika nchini Tanzania Tanzania ipo mbioni kuanza matumizi ya chanjo ya malaria kwa watoto walioko chini ya umri wa miaka mitano baada...
Viwango vya uzazi kupungua sana duniani kufikia mwaka 2100 Ripoti ya watafiti wa nchini Marekani inaonyesha kuwa viwango vya uzazi karibu katika mataifa yote ya ulimwengu...
Joto kali kuongeza hatari ya kujifungua mtoto aliyejifia tumboni. Kufanya kazi kwenye joto kali kunaweza kuongeza hatari ya mtoto kuzaliwa akiwa amefariki na kuharibika kwa mimba...
Wanasayansi wasema wanaweza kukata chembechembe za HIV kutoka kwenye seli Wanasayansi wanasema wamefanikiwa kuondoa Virusi vya Ukimwi kutoka kwenye chembechembe zilizoambukizwa, kwa kutumia teknolojia ya uhariri...
GEITA YAPONGEZWA KUPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA Na. WAF – Geita Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ameupongeza Mkoa wa Geita kwa kupunguza vifo...
Wanawake waongoza kwa maambukizi ya Ukimwi – Utafiti Utafiti wa athari za Virusi vya Ukimwi kwa mwaka (Tanzania HIV Impact Survey 2022-2023), umeonesha kwamba Tanzania inarekodi...
Nigeria imepoteza madaktari 16,000 katika miaka mitano kutokana na ugonjwa wa Japa – Waziri Ngeria amepoteza takriban madaktari 15,000 hadi 16,000 kutokana na kile kilochoitwa Japa...
Joto na mafuriko huathiri familia zinazoongozwa zaidi na wanawake kuliko wanaume;Utafiti wa FAO Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO limezitaka nchi kuhakikisha zinashughulikia changamoto za...
Vinywaji vya lishe vinaweza kuongeza hatari ya ugonjwa wa moyo kwa 20%, utafiti mpya unasema. Unywaji wa lita mbili au zaidi kwa wiki wa vinywaji vilivyoongezwa...
Telepathy: Chipu ya ubongo ambayo Elon Musk anadai aliiweka ndani ya mwanadamu inaleta mashaka gani? Kampuni ya Musk haiko peke yake katika kinyang’anyiro cha chipu za...
Utafiti mpya juu ya saratani ya Tezi Dume unaweza kusababisha utambuzi bora na matibabu mazuri Zaidi. Watafiti wanasema; Teknolojia ya artificial intelligence imewasaidia kugundua aina ndogo...
Jinsi ambavyo Seli za Saratani hujificha zisishambuliwe na Kinga yako ya Mwili “Seli za saratani ya utumbo mpana(colon cancer) zikiwa katika hatua za mwanzo hutumia mikakati...
Hatari ya Mlipuko wa Surua,kwa watoto kukosa kinga dhidi ya ugonjwa wa surua Janga la Uviko -19 lilitatiza utoaji wa chanjo za kawaida dhidi ya ugonjwa...
Kwa nini hatari ya kupata saratani huongezeka kadri umri unavyoongezeka? Utambuzi wa saratani ya Mfalme Charles III ulikuwa na athari kote ulimwenguni, kuanzia na tangazo lisilo...