Connect with us

Utafiti

Kuna  watu wanaishi na maambukizi ya VVU bila kujitambua-Mbeya

Avatar photo

Published

on

SERIKALI ya Mkoa wa Mbeya imewataka wadau wa afya kufanya utafiti wa hali ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) mkoani hapo kubaini ufanisi wa mbinu zinazotumika kudhibiti maambukizi mapya na kubuni mbinu nyingine za kudhibiti.

Mkuu wa Mkoa huo, Juma Homera ametoa rai hiyo kwenye kikao kazi cha wadau kilicholenga kufanya tathimini ya ripoti ya utafiti uliofanyika mwaka 2022 kuonyesha bado kuna  watu wanaishi na maambukizi bila kujitambua.

Homera, amesema taarifa ya utafiti huo inaonyesha kuwa kiwango cha maambukizi katika mkoa huo ni asilimia 9.6 na unashika nafasi ya tatu kitaifa baada ya Njombe na Iringa ambayo ni ya kwanza na ya pili.

Amesema 95 tatu za udhibiti wa maambukizi hayo, zinaonyesha kuwa ya kwanza ambayo inalenga kuhakikisha asilimia 95 ya watu wanaoishi na maambukizi hayo wajue hali ya maambukizi mafanikio yake ni madogo.

Amesema utafiti huo wa 2022/2023 unaonyesha asilimia 91 pekee ya watu wanaoishi na maambukizi hayo  wanazijua hali zao na kwamba takwimu hizo zinatia wasiwasi kuwa juhudi za wadau bado hazijazaa matunda.

Homera, amewataka wadau kufanya utafiti ili kupata takwimu zenye uhalisia kwa maelezo kuwa wananchi wengi kwa sasa wanajitambua na wanajilinda hali ambayo ilitakiwa kiwango cha maambukizi kishuke.

“Lazima tutumie mbinu tulizozitumia kwenye masuala ya udumavu na ukondefu kupunguza takwimu hizi, kwahiyo nawaomba TACAIDS na wadau wengine mfanye utafiti upya maana kila mwaka tunaonekana tumefikia asilimia 91, ina maana hizi kazi zote za wadau zinaonekana hazisaidii,” amesema Homera.

Amewataka wadau kushirikiana na halmashauri kufanya tathimini za ndani ili kubaini hali ilivyo na kuongeza mbinu zaidi za kudhibiti maambukizi.

Mratibu  wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Petro, ameahidi kushirikiana na viongozi  wa Mkoa wa Mbeya kufanya utafiti ili kupata takwimu zenye uhalisia.

Petro, amesema watashirikisha na taasisi iliyofanya utafiti wa mwaka 2022/2023 ili kupata viashiria vingine vya maambukizi ambavyo ilibaini ili na wao wavitumie kufuatilia.

Amesema viashiria watakavyohitaji ni vile vinavyoonyesha hali ilivyo kwenye halmashauri ambako ndiko takwimu hizo zilianzia kukusanywa.

“Ikiwezekana tutamwandikia barua Mtakwimu Mkuu wa Serikali atusaidie kuchakata takwimu zote tunazozihitaji ili tujue ukubwa wa tatizo na namna ya kukabiliana nalo,” amesema Petro.

 Mbeya ni miongoni mwa mikoa ambayo inakabiliwa na takwimu za juu za maambukizi ya VVU kutokana na mwingiliano mkubwa wa watu kutokana na kupitiwa na barabara kuu ya kwenda nchi za Zambia na Malawi.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...