Connect with us

News

WHO:Niger kukabiliwa na ongezeko kubwa la homa ya uti wa mgongo au meningitis

Avatar photo

Published

on

WHO:Niger kukabiliwa na ongezeko kubwa la homa ya uti wa mgongo au meningitis

Niger ambayo mwaka huu inakabiliwa na ongezeko la asilimia 50 la wagonjwa wa homa ya uti wa mgongo au meningitis ikilinganishwa na mwaka jana, kwa mujibu wa takwimu za shirika la afya duniani WHO.

#SOMA Zaidi hapa kuhusu Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo au meningitis

Katika taarifa yake iliyotolea leo mjini Namey WHO inasema katika wiki ya 16 ya mwaka huu jumla ya wagonjwa 2012 wameripotiwa na vifo 123 ambalo ni ongezeko la asilimia 6.1 ya vifo ukilinganisha na wakati kama huo mwaka jana ambapo kulikuwa na wagonjwa 1,389 na vifo 72 na ongezeko hili la wagonjwa na vifo linatia wasiwasi mkubwa limesema shirika hilo la afya.

Kwa mujibu wa WHO eneo la Niamey ndilo kitovu cha janga hili, likiwa na kiwango cha jumla cha visa 52.2 kwa kila wakazi 100,000, ikifuatiwa na mikoa ya Agadez visa 11.5 kwa kila wakazi 100,000, Zinder wagonjwa 6.4 kwa kila kesi 100,000 na wakazi 6 kwa kila wenyeji 100,000.

Kanda ya afya Niamey I inasalia katika hali ya janga kwa wiki ya sita mfululizo, ikiwa na kiwango cha wastani wa wagonjwa 12.8 kwa kila wakazi 100,000. Wilaya zingine nane za afya pia zimevuka kizingiti cha tahadhari chawagonjwa 3 kwa kila wakaazi 100,000 katika wiki ya 16.

WHO na wadau wengine Kusaidia katika Janga Hili:

Wakati huu ambapo Niger inakabiliwa na hali hii mbaya, Shirika la Afya Duniani WHO, kwa ushirikiano na washirika mengine ya kiufundi na kifedha, wanafanya kazi kwa bidii kukabiliana na janga hili.

Hatua kadhaa zinaendelea, ikiwa ni pamoja na usimamizi wa wagonjwa na uhamasishaji wa rasilimali kuandaa kampeni ya chanjo.

Kwa mujibu wa WHO chanjo dhidi ya homa ya uti wa mgongo imezinduliwa leo jana 2 Mei 2024 huko Niamey, kama sehemu ya juhudi za kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo.

Chanjo hii mpya ina faida ya kulinda dhidi ya aina tano za vichochezi vya homa ya uti wa mgongo ambavyo ni (A, C, W, X na Y), ambavyo ndio sababu kuu za homa ya uti wa mgongo nchini Niger.

Tofauti na chanjo za awali, WHO inasema chanjo hii mpya ni ya dozi moja.

Kampeni ya chanjo dhidi ya homa ya uti wa mgongo inafanyika ili kuwa na Udhibiti wa mlipuko,

WHO inatoa msaada mkubwa kwenye usimamizi wa kesi kwa kuhakikisha dawa na nyenzo zingine muhimu zinapatikana.

Pia inaunga mkono uhamasishaji wa chanjo na kubeba gharama za uendeshaji kupitia ombi lililowasilishwa kwa Kikundi cha Kimataifa cha Kuratibu Chanjo (ICG).

Hatimaye, WHO inaratibu juhudi za washirika kusaidia nchi katika mapambano dhidi ya janga hili.

Kama utangulizi wa kampeni ya chanjo, WHO imeunga mkono idara ya ufuatiliaji na matokeo ya mlipuko katika kuandaa mafunzo ya vitendo kwenye uangalizi wa dawa kwa wasimamizi wa kitaifa wa kampeni na wasimamizi wa uangalizi wa dawa.

 WHO inatoa wito kwa washirika wote kuchukua hatua za haraka na zilizoratibiwa kushughulikia hali hii mbaya na kulinda idadi kubwa ya watu dhidi ya athari mbaya za homa ya uti wa mgongo.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...