Connect with us

Magonjwa

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Avatar photo

Published

on

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia.

Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2 Diabetes) toka mwaka 1984.

Aliandika hivi “My Go-to Tips If You’re Newly-Diagnosed With Type 2 Diabetes” By Ilene Raymond Rush Diagnosed since 1984. Anasema;

Ikiwa ungeuliza ni nini kimeongeza udhibiti wangu wa Sukari na taswira ya mwili kwa miaka mingi hii nikiwa na ugonjwa wa kisukari cha aina ya 2, unaweza kushangazwa na jibu langu.

Nimekuwa nikifuata mlo unaohusisha mboga mboga zenye kiwango cha chini cha wanga au low carbs” kwa hakika umesaidia, pamoja na kutumia dawa zangu kwa mashariti yote, kufuatilia kiwango cha sukari yangu kwenye damu, na kupata muda wa kufanya mazoezi ya kawaida ya mwili, nimepata matokeo ya kuvutia zaidi kutokana na kuinua vitu vizito pia.

Hivo mbinu za Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2 Diabetes, ni Pamoja na;

  • Kula Mlo wenye afya unaohusisha mboga mboga zenye kiwango cha chini cha wanga au low carbs”,
  • pamoja na kutumia dawa zake kwa mashariti yote,
  • kufuatilia kiwango cha sukari yake kwenye damu kila mara,
  • na kupata muda wa kufanya mazoezi ya kawaida ya mwili,

Kwa yeye pia amepata matokeo ya kuvutia zaidi kutokana na kuinua vitu vizito,

Anasema; Ikiwa jibu langu linakutatanisha, ujue kwamba masomo ya kisayansi yananiunga mkono. Mafunzo endelevu ya ukinzani ikiwemo kunyanyua vitu vizito(Sustained resistance training) yanayofanywa mara moja hadi tatu kwa wiki kwa siku zisizofuatana, sio tu kwamba hupunguza sukari ya damu lakini inaweza kuboresha upinzani wa insulini (ambapo insulini inazuiwa kuingia kwenye seli, na kusababisha kuongezeka kwa glucose katika damu).

Lakini sio hivyo tu. Kusukuma chuma kunaweza pia kuimarisha afya ya moyo, kupunguza mafuta (hasa karibu na tumbo), kuimarisha mifupa yako, na kukugeuza kuwa kijana, “Anasema”.

Tahadhari: Kwa baadhi ya watu walio na kisukari, kuinua Vitu vizito kunaweza kusababisha sukari kwenye damu kupanda kwa muda kwa sababu ya adrenaline inaweza kuongeza sukari.

Kwa hivyo ni vyema kupima sukari yako kabla na baada ya mazoezi na, ikihitajika, zungumza na daktari wako kuhusu marekebisho yoyote ambayo unaweza kuhitaji kufanya katika dawa au lishe yako na hata MAZOEZI YA kufanya.

Na, kama ilivyo kwa mazoezi yoyote, ikiwa una matatizo ya kisukari, pamoja na ugonjwa wa neva au matatizo ya moyo, zungumza na mtaalamu wako kabla ya kuanza utaratibu wa kuinua vitu Vizito.

Zingatia Vidokezo hivi Muhimu kwako;

1. Hakikisha unaendelea kujifunza kuhusu Sukari yako,

ikiwemo kusoma makala mbali mbali na kuendelea kupata Elimu ya kutosha.

2. Jifunze kuifuatilia Sukari yako, ikiwemo kupima mara kwa mara, na kujua vitu vinavyoiathiri haraka.

3. Fahamu kuhusu Mlo Sahihi kwa Mgonjwa wa Sukari

4. Tumia dawa ulizopewa kwa Usahihi, na kuzingatia mashariti yote

5. Epuka Matumizi ya kilevyi chochote ikiwemo Pombe au Sigara.

Rejea Link;

https://www.webmd.com/20240412/my-go-to-tips-if-youre-newly-diagnosed-with-type-2-diabetes

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...