Connect with us

Dawa

Clarithromycin inatibu nini, soma hapa kufahamu

Avatar photo

Published

on

Clarithromycin inatibu nini

Clarithromycin ni dawa inayotumika kutibu aina nyingi za maambukizi yanayotokana na bacteria(bacterial infections).

Dawa hii pia huweza kutumika pamoja na dawa zingine za vidonda vya tumbo(anti-ulcer medications) kutibu aina kadhaa za vidonda vya tumbo.

Clarithromycin huweza kuzuia aina nyingi za maambukizi ya bacteria, na dawa hii hujulikana kama macrolide antibiotic. Hufanya kazi kwa kuzuia ukuaji wa bacteria.

Kumbuka; Clarithromycin haitafanya kazi dhidi ya maambukizi yoyote yanayotokana na virusi-viral infections.

Dawa ya Clarithromycin huweza kutumika kutibu maambukizi ya kifua kama vile ya; pneumonia, matatizo ya ngozi kama vile cellulitis, pamoja na maambukizi ya Sikio. Pia  Clarithromycin huweza kutumika kutibu Helicobacter pylori, bacteria anayesababisha vidonda vya Tumbo.

Wakati mwingine Clarithromycin hutumika kwa watu wenye mzio au allergy na dawa jamii ya penicillin au antibiotics zinazofanana na penicillin, kama vile amoxicillin.

Unaweza kupewa Clarithromycin kwa maambukizi ya bacteria kwenye mapafu mfano kwa mgonjwa wa pneumonia, maambukizi kwenye mrija unaolekea kwenye mapafu-bronchitis (infection of the tubes leading to the lungs), maambukizi ya masikio,Ngozi,Koo n.k

Dawa hii ya Clarithromycin huweza kutumika kutibu na kuzuia kusambaza kwa maambukizi ya Mycobacterium avium complex (MAC) [aina ya maambukizi ya mapafu ambayo mara nyingi huathiri watu walio na virusi vya ukimwi (VVU)].

DOSES;

Kwa Upande wa Doses, Lazima ushauriane na wataalam wa afya,kwani itategemea na umri wako,Uzito, tatizo linalokusumbua, hali yako ya kiafya pamoja na uwezo wa mwili wako kujibu matibabu.

Ikiwa unatumia dawa hii kutibu maambukizi, endelea kutumia dawa hii hadi kiasi kamili kilichowekwa kiwe kimekamilika, hata kama dalili zitatoweka baada ya siku chache. Kuacha dawa mapema kunaweza kusababisha kurudi kwa maambukizi. Mwambie daktari wako ikiwa hali yako hudumu au inazidi kuwa mbaya.

Maudhi(Side Effects) ya Clarithromycin

Haya hapa ni maudhi yanayoweza kutokea kwa Mtu anayetumia dawa ya Clarithromycin;

  1. Kuharisha
  2. Kuhisi kichefuchefu
  3. Kutapika
  4. Kupata maumivu ya kichwa
  5. Kubadilika kwa ladha mdomoni n.k

Watu wengi wanaotumia dawa hii hata wakipata baadhi ya Side effects hizi, hawapati kwa kiwango kibaya.

Hakikisha unaongea na wataalam wa afya ili kuacha na kubadilishiwa mara moja dawa hii ya Clarithromycin ikiwa baada ya kutumia;

– Unapata kichefuchefu na kutapika bila kukoma

– Unapoteza uwezo wako wa Kusikia

– Unapata dalili zote za kuchanganyikiwa au matatizo ya akili

– Unapoteza uwezo wa kuona vizuri, unaona marue rue n.k

– Misuli inakuwa Dhaifu

– Unapoteza uwezo wa Kuongea

– Unapata maumivu makali sana ya Tumbo

– Unakojoa Mkojo mweusi

– Ngozi na macho vinabadilika rangi na kuwa manjano.

– Unapata homa ambayo haiishi

– Unavimba lymph node,

– Unaaza kutokwa na vipele kwenye ngozi

– Unakosa pumzi au kupata shida ya kupumua

– Unapata kizunguzungu

– Unaaza kupata muwasho mkali kwenye ngozi,usoni,kwenye Ulimi,kooni n.k.

Rejea Link;

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa1 month ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake Chlamydia ni ugonjwa unaowapata watu wengi na unaenezwa kwa ngono,Hivo chlamydia ni miongoni mwa...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba Pangusa ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa ambayo hutokea kwa jinsia zote mbili(mwanaume na...

Magonjwa4 days ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa5 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa2 weeks ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...