Connect with us

Dawa

nor 5 inatibu nini,Soma hapa kuifahamu Norethindrone

Avatar photo

Published

on

nor 5 inatibu nini

Dawa hii inajulikana pia kama Nor N 5mg Tablet au Norethindrone,

Dawa hii mara nyingi hutumika kutibu aina mbali mbali za matatizo ya hedhi ikiwemo; maumivu wakati wa hedhi,kuvuja damu nyingi,periods kutokueleweka, tatizo la premenstrual syndrome (PMS), au matatizo kama vile endometriosis n.k.

Dawa hii imetengenezwa na binadamu kutoka kwenye vichocheo asilia vya mwili ambavyo hujulikana kama progesterone(sex hormone progesterone).

Norethindrone huweza kutumika kutibu mwanamke mwenye tatizo la kuvuja damu kutoka kwenye kizazi  yaani “abnormal bleeding from the uterus”.

Pia huweza kutumika ikiwa mwanamke ameacha kupata Hedhi yake kwa miezi kadhaa wakati sio mjamzito au hayupo kwenye kipindi cha Ukomo wa hedhi(menopause), tatizo ambalo hujulikana kama (amenorrhea).

Aidha, dawa hii hutumiwa kutibu hali ya (endometriosis) ambapo tishu ambazo kwa kawaida huwekwa ndani ya uterasi hupatikana nje ya uterasi kwenye eneo la tumbo / pelvic, na kusababisha maumivu / vipindi vya hedhi visivyo vya kawaida.

Norethindrone ni aina ya hormone (progestin).Ni kama homoni ya progesterone ambayo mwili wako hutengeneza kwa kawaida. Dawa hii hufanya kazi kwa kuzuia ukuaji wa kawaida wa ukuta wa uterasi wakati wa mzunguko wa hedhi na kuashiria mabadiliko ya homoni kwenye uterasi ili kurejesha hedhi ya kawaida.

NB: Dawa hii haipaswi kutumiwa ili upate ujauzito. Projestini hazifanyi kazi katika kuzuia kuharibika kwa mimba.

jinsi ya kutumia dawa ya Norethindrone

Tablets;Dawa hii hutumika kwa mdomo kama ilivyoagizwa na daktari wako. Unaweza kuitumia pamoja na chakula au baada ya chakula ili kuzuia usumbufu wa tumbo. Fuata kwa uangalifu dose sahihi ya dawa. Uliza daktari wako ikiwa una maswali yoyote. Dose ya dawa hutegemea hali yako ya matibabu na majibu ya matibabu.

Kwa matibabu ya kusimamishwa kwa hedhi na kutokwa na damu isiyo ya kawaida kutoka kwenye uterasi, Tumia dawa hii kama ilivyoelekezwa na daktari wako, kwa kawaida hutumika mara moja kwa siku kwa siku 5 hadi 10 katika nusu ya pili ya mzunguko wa hedhi uliopangwa. Kutokwa na damu kwa kawaida hutokea ndani ya siku 3 hadi 7 baada ya kuacha kutumia dawa.

Maudhi ya Dawa(Side Effects)

Dawa hii ya Norethindrone huweza kusababisha;

  • Kichefuchefu
  • Kutapika
  • Kichwa kuuma
  • Kizunguzungu
  • Mood kubadilika
  • Kukosa Usingizi
  • Uzito kuongezeka
  • Uzito kupungua
  • Chunusi kwenye ngozi
  • Matiti kuuma
  • Matati kuvimba
  • Kubadilika kwa hamu ya tendo
  • Ukuaji wa nywele usiowakawaida
  • Nywele kupotea au kunyonyoka n.k

Kumbuka dawa hii hutumika pale ambapo imeonakana Faida ni kubwa kuliko madhara kwa mgonjwa, Na watu wengi hutumia dawa hii pasipo kupata madhara makubwa.

Hakikisha unaongea na wataalam wa afya ikiwa unapata madhara makubwa kama vile;

– Kuvuja damu ukeni

– Kubadilika kwa hedhi,hali ambayo hukuwa nayo

– Kukosa kabsa hedhi,

– Kutokwa na uchafu usio wakawaida ukeni

– Kuvimba miguu au mikono

– Kupata maumivu makali wakati wa kukojoa

– Ngozi kubadilika rangi na kuwa manjano

– Kuwa na Alama nyeusi kwenye ngozi au Uso(dark patches on the skin or face (melasma).n.k

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa4 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending