Connect with us

magonjwa ya wanawake

Chuchu kutoa maji ni dalili ya nini

Avatar photo

Published

on

Chuchu kutoa maji ni dalili ya nini

Chuchu kutoa Maji linaweza kuwa tatizo la kawaida,Ingawa wakati mwingine huweza kuwa dalili mbaya Zaidi. Ni muhimu sana kuongea na Wataalam wa afya ikiwa una dalili hii ili kujua nini kinaendelea mwilini.

Pia Kama una shida hii tunaweza kuwasiliana hapa ndani ya @afyaclass, #SOMA pia chuchu kutoa Maziwa yenyewe wakati Sio mjamzito wala hunyonyeshi.

Fahamu,chuchu kutoa maji huweza kutokea kwa asilimia 80% ya watu ambao wapo kwenye umri wa kuzaa, hata kama sio wajawazito au kunyonyesha,

Kila titi lina takribani mirija(ducts) 20 ya maziwa, na maji huweza kutokea hapo pia,Ni kawaida maziwa au maji maji kutoka yenyewe ikiwa una mimba au kunyonyesha.

Dalili Zingine:

Dalili Zingine ambazo huweza kuambatana na chuchu kutoa Maji ni pamoja na;

– Kupata Maumivu ya titi au chuchu

– Kuvimba kwa titi au Uvimbe kuzunguka chuchu

– Kubadilika kwa chuchu mfano;

  • Chuchu kuingia ndani
  • chuchu kubadilika rangi
  • Chuchu kuwasha
  • Chuchu kutoa magamba
  • Chuchu kuwa na Vidonda n.k

– Mabadiliko ya ngozi ya titi, ikiwemo; titi kuwa jekundu, kupata vipele au rashes,vidonda n.k

– Kubadilika kwa size au Umbo la Titi,mfano titi moja kuwa kubwa kuliko lingine n.k

– Kupata Homa

– Kuhisi kichefuchefu na Kutapika

– Kukosa Hedhi au periods

– Mwili kuchoka sana kupita kiasi n.k

Utokwaji huo wa Maji kwenye chuchu unaweza kutoka kwa chuchu moja au zote mbili. Chuchu Inaweza kuvuja yenyewe au ukiibana/kuiminya,

Ingawa baadhi ya Tafiti zinasema, sio wazo nzuri kuiminya chuchu. Hii inaweza kufanya hali yoyote ya msingi ambayo haijatambuliwa kuwa mbaya zaidi. Ikiwa utaiacha peke yake, kutokwa na maji kunaweza kuacha peke yake.

Chanzo cha Chuchu kutoa maji

Unapokuwa mjamzito au kunyonyesha, kiasi kidogo cha maziwa kinaweza kuvuja. Kuvuja kunaweza kuanza mapema katika kipindi cha ujauzito wako, na unaweza kuendelea kuona maziwa hadi miaka 2 au 3 baada ya kuacha kunyonyesha.

Walakini, unaweza kutokwa na Maji hata kama wewe si mjamzito au kunyonyesha. Sababu zingine za kutokwa na maji kwenye chuchu ni pamoja na:

1. Matumizi ya baadhi ya njia za uzazi wa mpango,Mfano; Vidonge vya Uzazi wa mpango(birth control pills)

2. Maambukizi kwenye titi au Titi kuwa na jipu

3. Kuwa na tatizo la duct papilloma, ukuaji usio na madhara kama wart katika mirija ya matiti yako

4. Matumizi ya baadhi ya Dawa, Mfano dawa zinazoongeza kiwango cha vichocheo vinavyozalisha maziwa kama vile Prolactin,

Mfano ni dawa jamii ya antidepressants pamoja na ranquilizers

5. Kusisimua matiti au chuchu kupita kiasi

6. Kuwa na tatizo la fibrocystic breasts

7. Mabadiliko ya Vichocheo mwilini, ikiwemo kipindi cha Hedhi au Ukomo wa Hedhi(menopause)

8. Kuumia au kupata Majeraha kwenye matiti

9. Kuwa na tatizo la kuziba kwa  mirija ya maziwa yaani kwa kitaalam
mammary duct ectasia,

10. Kuwa na Uvimbe usio Saratani kwenye tezi la pituitary(prolactinoma)

11. Tatizo la Tezi la Thyroid kutokufanya kazi vizuri yaani underactive thyroid gland

12. Kuwa na Saratani ya matiti(breast cancer) n.k

Hakikisha unaongea na Wataalam wa afya mapema ikiwa una tatizo hili la Chuchu Kutoa Maji au;

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa8 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending