Matumizi makubwa ya dawa za Antibiotics kipindi cha COVID-19,hatari ya kuongeza Usugu. Ushahidi mpya uliotolewa na shirika la afya ulimwenguni, WHO unaonesha kuwa wakati wa janga...
Wataalamu wanaeleza jinsi matumizi ya Ozempic yanavyoonekana kubadilisha haiba ya watu na kupunguza tamaa yao ya dawa za kulevya, pombe na hamu ya tendo. Wanasayansi wamejitokeza...
Tanzania yapiga marufuku dawa ya kikohozi kwa watoto iitwayo Benylin. Tanzania, Rwanda na Afrika Kusini zimeungana pamoja na Kenya na Nigeria kusitisha matumizi ya dawa ya...
Usugu wa antibayotiki na inapogeuka kuwa sumu Tarehe 18 mpaka 24 mwezi Novemba ilikuwa wiki ya uhamasishaji juu ya matumizi sahihi ya dawa za kutibu maambukizi...
Kenya yarejesha dawa ya kikohozi ya watoto ya kampuni ya Johnson & Johnson. Mamlaka ya kudhibiti viwango vya dawa nchini Kenya imeamuru kurejeshwa kwa dawa ya...
Fahamu Matumizi ya Hemovit Syrup Hemovit Syrup; Hii ni dawa ya kuongeza damu ambayo hutumiwa sana na Wakina mama wajawazito wenye tatizo la Upungufu wa damu,...
Dawa ya Pregabalin inatibu nini na kwa nini inaweza kuwa hatari? Dawa ya pregabalin inahusishwa na vifo duniani kote. Watumiaji hununua dawa hiyo, mara nyingi kutoka...
Utafiti: Kuweka nywele dawa hatari ya kupata Saratani ya Ubongo. Taasisi ya Utafiti wa Matibabu ya Kenya (Kemri) imegundua sumu ya formaldehyde, ambayo inaweza kusababisha saratani...
Dawa za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi(ARVs) ARVs ni kifupi cha neno antiretroviral drugs, ikiwa na maana ya dawa kwa ajili kupunguza makali ya Virusi...
Dawa ya kupunguza kuzaliana kwa Virusi vya Ukimwi. Utafiti mpya waonyesha; Novel RNA nanomedicine kupunguza kuzaliana kwa virusi vya Ukimwi yaani HIV replication kwa asilimia 73%,...
Je,Mkojo kutoa harufu ya dawa unazotumia ni tatizo? Mkojo kutoa harufu ya dawa unazotumia; Watu wengi wamekuwa wakisema au kulalamika,dawa ninazotumia nasikia harufu yake kwenye Mkojo...
Mwaka 2021 – 2024 zaidi ya tafiti 50 zimefanyika ndani ya nchi juu ya ubora na usalama wa dawa. Tutengeneze wasomi wenye akili vumbuzi siyo akili...
Dawa zisizo rasmi za macho mekundu(Red Eyes) zitawapa Upofu Serikali kupitia Wizara ya Afya imewaasa Wananchi kuacha tabia ya kutumia dawa zisizo rasmi za macho kwa...
Asilimia 50% ya bidhaa za dawa zinazoagizwa nchini Nigeria ni bandia – NAFDAC Shirika la Taifa la Usimamizi wa Chakula na Dawa nchini Nigeria, NAFDAC, limesema...
Taarifa: Kuhusu utoaji wa dawa za Ugonjwa wa macho mekundu(Red eyes) kiholela pic.twitter.com/DZen6GGsQT — Wizara ya Afya Tanzania 🇹🇿 (@wizara_afyatz) February 6, 2024 Soma Zaidi hapa:...
Fahamu Aina ya dawa za macho pamoja na Matumizi yake Dawa katika sehemu hii ni pamoja na zile ambazo hufanya kazi kwenye macho, na kawaida hutolewa...
Dawa ya gono kwa mwanaume Je, ni ipi dawa sahihi ya kutibu ugonjwa wa Kisonono(gonorrhea)? Dawa ya gono kwa Mwanaume; Baada ya kupata Maswali mengi kuhusu...
Mkojo,Chumvi, kitunguu saumu sio dawa ya kutibu ‘red eyes’ Wataalamu wasema zinachangia kuongeza maumivu, waonya zaweza kusababisha uoni hafifu na upofu. Wataalamu wa afya na madaktari...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imemkamata kinara wa mtandao wa Wafanyabiashara wa dawa za kulevya aina cocaine nchini pamoja na kukamata...
Dawa ya red eyes,Ifahamu dawa ya macho mekundu hapa Je unahitaji kutumia Dawa ya red eyes? na kama ni hivo ni ipi Dawa ya red eyes?...