Connect with us

Dawa

Dawa ya Pregabalin inatibu nini na kwa nini inaweza kuwa hatari?

Avatar photo

Published

on

Dawa ya Pregabalin inatibu nini na kwa nini inaweza kuwa hatari?

Dawa ya pregabalin inahusishwa na vifo duniani kote. Watumiaji hununua dawa hiyo, mara nyingi kutoka katika tovuti zisizo rasmi.

Pregabalin ni nini na inatumikaje?

Dawa ya pregabalin hutumiwa kutibu magonjwa ikiwa ni pamoja na kifafa, maumivu ya neva na wasiwasi.

Inatengenezwa kama vidonge au maji, na inaweza kuitwa Alzain, Axalid, Lyrica au Signature, kulingana na mtengenezaji.

Je,Dawa ya Pregabalin ina madhara gani?

Wengine huiita Valium au Bud (Budweiser) kwa sababu inaweza kuwafanya watumiaji wahisi wametulia, kwa njia sawa na dawa za kutuliza au pombe.

Kuitumia kupita kiasi – haswa ikichanganywa na dawa nyingine za mitaani ambazo pia zina athari – kunaweza kusababisha kusinzia pamoja na shida ya kupumua.

Wagonjwa ambao wameagizwa kutumia pregabalin wanashauriwa kuepuka unywaji wa pombe.

Utegemezi wa pregabalin ni hatari hasa kwa wale walio na historia ya awali ya matumizi mabaya ya dawa za kulevya au uraibu.

Baadhi ya watu hupata ugumu kuacha kutumia pregabalin. Ukitaka kuachana na uraibu wa dawa hii unaweza kupata mabadiliko ya hisia kama vile hasira na kuwashwa, wasiwasi na woga pamoja na dalili za kimwili kama vile kutokwa na jasho, kichefuchefu na baridi.

Historia ya dawa hii ya Pregabalin

Pregabalin ilianzishwa nchini Marekani na Uingereza mwaka 1993.

Yeyote anayejaribu kuacha kutumia dawa hiyo anapaswa kutafuta ushauri wa kiafya kwanza.

Hupaswi kuacha ghafla kutumia pregabalin isipokuwa uache baada ya ushauri wa daktari. Dozi hupunguzwa kwa wiki moja au zaidi.

Katika nchi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Uingereza kumiliki dawa hii bila sababu halali ya kimatibabu ni kosa la jinai.

Hata hivyo dawa hiyo inauzwa katika maduka ya dawa katika nchi kadhaa za Mashariki ya Kati, na pia katika majimbo mengi nchini India.

Utafiti uliochapishwa na jarida la matibabu la Nature Communications unakadiria kuwa idadi ya dozi za pregabalin zinazotumika kila siku duniani kote iliongezeka zaidi ya mara nne kati ya 2008 na 2018.

Zaidi ya maagizo milioni nane ya pregabalin yalitolewa nchini Uingereza mwaka wa 2022. Mwaka huo, kulikuwa na vifo 441 vilivyoripotiwa kuhusiana na dawa hiyo nchini Uingereza na Wales.

Mwaka 2023, ripoti ya Kila mwaka ya Overdose ya Australia iligundua vifo 887 vilivyohusishwa na pregabalin kati ya 2000 na 2021 – 93% vinahusishwa na pregabalin.

Rekodi kutoka Uingereza zinaonyesha vifo vingi kati ya 2004 na 2020 vinavyohusishwa na pregabalin vilitokea wakati ilipotumika pamoja na dawa nyingine kama vile methadone au morphine.

Matumizi ya pregabalin na gabapentin nchini Serbia yaliongezeka kwa 60% kila mwaka kati ya 2008 na 2018.

Kulingana na data kutoka Kituo chake cha Kitaifa cha Kudhibiti Sumu, watu 374 walikuwa na sumu kali kutokana na dawa hizi kati ya 2012 na 2022. Kati ya 96% walikuwa wametumia pregabalin.

Ripoti rasmi zinaonyesha kuwa dawa hiyo pia inazidi kutumiwa nchini Saudi Arabia na Jordan, hasa na vijana wa kiume.

Mwaka 2017, Kituo cha Kitaifa cha Kurekebisha Tabia cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kilisema pregabalin na gabapentin ndizo dawa zinazotumiwa vibaya zaidi na walio na umri wa chini ya miaka 30.

Mwezi Machi, tembe milioni 2.75 zilinaswa kutoka genge la wasafirishaji huko UAE.

Mwaka 2023, mamlaka nchini Kuwait ilikamata vidonge milioni 15 vya pregabalin na nusu ya tani ya dawa hiyo ikiwa katika hali ya unga.

Karibu AfyaUpdates Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...