Connect with us

Magonjwa

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Avatar photo

Published

on

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa ni vigumu kutibika.

Glaucoma ni ugonjwa ambao unazidi kuenea katika siku za hivi karibuni. Na ni vigumu kupata kuona tena baada ya kupata ugonjwa huu.

Glaucoma ni ugonjwa unaoathiri macho. Ugonjwa huu huathiri mishipa inayounganisha macho na ubongo. Husababishwa na umajimaji unaojikusanya kwenye jicho na kuziharibu mishipa hiyo.

Wagonjwa wa glaucoma huanza kuwa na matatizo ya kuona na isipogunduliwa na kutibiwa mapema, uwezo wa kuona unaweza kupotea kabisa.

Ugonjwa huu huathiri watu wa rika zote, lakini hatari zaidi ipo kwa watu wenye umri wa miaka 70 hadi 80.

Pia unaweza kusoma

Ishara 4 zinazoonyesha kuwa unahitaji miwani mpya kwa matatizo ya macho20 Mei 2023

Mlemavu wa macho aliyenyimwa elimu awa bilionea13 Februari 2022

Dalili za glaucoma ni nini?

Moja ya matatizo yanayohusiana na ugonjwa huu ni kwamba hakuna dalili za wazi katika hatua za mwanzo na njiia pekee nikufaya vipimo hospitali.

Kuna wakati mtu aliyeathiriwa hawezi kuona chochote. Kutoona vizuri au kuona miduara inayofanana na upinde wa mvua karibu na mwanga ni miongoni mwa dalili za glaucoma.

Ingawa ugonjwa unaweza kuathiri macho yote mawili, lakini mara nyingi ni jicho moja tu linaweza kuathiriwa. Baadhi ya dalili ni:

Maumivu makali machoni

Kuhisi kichefuchefu na kutapika

Macho kuwa mekundu

Maumivu ya kichwa

Maumivu pembeni ya macho

Kutoona vizuri

Kwa hiyo, ikiwa unahisi mojawapo ya dalili zilizo hapo juu, usizipuuze na nenda hospitali mara moja kaonane na daktari.

Ni muhimu sana kutambua na kutibu glakoma katika hatua zake za mwanzo, vinginevyo kuna hatari ugonjwa huo kukuwa na kusababisha kutoona.

Waliohatarini kupata ugonjwa

Umri, licha ya ukweli kuwa wapo watu wa miaka 40 hupata. Lakini ugonjwa huu mara nyingi huwaathiri watu wa miaka 70 na 80.

Watu wenye asili ya Kiafrika na Asia wana uwezekano mkubwa wa kupata glukoma.

Kurithi pia ni sababu, ikiwa mmoja wa wazazi au ndugu zako wamekuwa na ugonjwa huo, basi kuna uwezekano mkubwa nawe kupata ugonjwa huo.

Matatizo ya moyo ni hatari nyingine. Watu walio na kisukari au matatizo mengine ya kuona pia wana uwezekano mkubwa wa kupata glakoma.

Matibabu na Kujikinga

Bado haijajulikana kwa uhakika ni ipi njia bora ya kuzuia glaucoma, lakini uchunguzi wa mara kwa mara wa macho unaweza kuzuia ugonjwa huu na unaweza kutibiwa mapema.

Faida ya uchunguzi wa macho mara kwa mara ni kwamba ugonjwa unaweza kugunduliwa hata bila dalili na hivyo inashauriwa kufanya uchunguzi wa macho kila baada ya miaka miwili.

Ikiwa mtu hupoteza maono kutokana na glaukoma, maono yake hayawezi kurejeshwa, lakini ikiwa maono yanaathiriwa kwa kiasi kidogo, matibabu yanaweza kuzuia uharibifu zaidi.

Matibabu ya glakoma hutegemea aina na kwa kawaida huhusisha kutumia matone maalum ili kupunguza athari kwenye jicho.

Kwa kuongezea, mionzi inaweza kutumika kuondoa kizuizi katika mishipa ya kwenye jicho, pamoja na upasuaji.

#SOMA ZAIDI Ugonjwa huu wa glaucoma hapa

MASWALI&MAJIBU kuhusu afya| Link...👇

https://afyaclass.com/afyaforums

Karibu AfyaUpdates Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 weeks ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa1 month ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa1 month ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake3 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa5 days ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa6 days ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa2 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa2 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...

Magonjwa2 weeks ago

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa...

Magonjwa3 weeks ago

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka...

Magonjwa4 weeks ago

je ugonjwa wa pumu unaambukiza

je ugonjwa wa pumu unaambukiza? Hili ni Swali ambalo watu wengi huuliza,hata kwenye page za afyaclass, kwa kuliona hilo, tumeona...

Magonjwa1 month ago

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini Ugonjwa wa ini (hepatic disease) mara nyingi huanza taratibu na dalili zisizo wazi,...