Connect with us

Dawa

Fahamu Aina ya dawa za macho na matumizi Yake

Avatar photo

Published

on

Fahamu Aina ya dawa za macho pamoja na Matumizi yake

Dawa katika sehemu hii ni pamoja na zile ambazo hufanya kazi kwenye macho, na kawaida hutolewa kama matone ya macho(eye-drops) au mafuta(ointments).

Kuna aina nyingi tofauti – tofauti za dawa ambapo hutumika kwenye matibabu ya maambukizi kwenye macho, kwa mfano;

  • chloramphenicol,
  • fusidic acid,
  • Pamoja na ciprofloxacin.

Shida ya Macho makavu inaweza kutibiwa kwa urahisi kwenye duka la dawa kwa kutumia dawa kama vile hypromellose na carbomer, muulize mfamasia au daktari kwa ushauri Zaidi, au tuwasiliane hapa @afyaclass.

Aina ya dawa za macho

Tuchambue hapa Baadhi ya Aina ya dawa za Macho;

1. Timolol Maleate Ophthalmic Solution

Dawa hii ni Nzuri sana kwa Watu wenye tatizo la Presha ya macho au kwa kitaalam hufahamika kama Ugonjwa wa glaucoma.

Glaucoma husababishwa na shinikizo la damu kuongezeka ndani ya jicho na matibabu kama vile latanoprost na timolol huweza kutumika.

2. Dawa ya Acetazolamide (Diamox)

Acetazolamide ni dawa kwa ajili ya glaucoma Pia.

3. Acetylcysteine(Ilube)

Dawa hii ni kwa ajili ya tatizo la macho kuwa makavu yaani “dry eyes”

4. Aciclovir eye ointment

Dawa hii hutumika kwenye macho kwa ajili ya maambukizi yanayosababishwa na herpes simplex virus.

5.Hypromellose Eye drops

Dawa hii ya macho hutumika kwa mtu mwenye tatizo la macho kuwa makavu au Usumbufu wowote wa macho unaotokana na kupungua kwa mtiririko wa machozi(tear flow),

Pia inaweza kusaidia kuzuia uharibifu wa macho kutokana na baadhi ya magonjwa.

6. Antazoline pamoja na xylometazoline eye drops (Otrivine-Antistin)

Hapa ni mchanganyiko wa dawa mbili Antazoline na Xylometazoline ambapo kwa pamoja tunaita Otrivine-Antistin.

Dawa hii huweza kuwa kama vasoconstrictor ambapo husaidia kupunguza shida ya macho kuwa mekundu(reduces eye redness).

Kumbuka: Usitumie dawa hizi pasipo maelekezo ya kina kutoka kwa Wataalam wa afya. Au kwa ushauri Zaidi, tuwasiliane hapa @afyaclass.

7. Apraclonidine eye drops (Iopidine)

Dawa hii hutumika kusaidia kushusha shinikizo la damu kwenye macho, hivo inafaa kwa mtu mwenye ugonjwa wa presha ya macho(glaucoma).

8. Atropine eye drops (Minims Atropine)

Dawa hii mara nyingi hutumiwa na Wataalam wa macho wakati wanafanya uchunguzi wa macho(eye examination),

Hii ni kutokana na sifa yake ya kuweza kutanua(dilate/enlarge) pupil kwenye jicho na kuifanya Lensi kufa ganzi kwa muda

(It is used to dilate (enlarge) the pupil of the eye and to temporarily paralyse the lens so that your doctor can examine your eye(s)).

9. Azelastine eye drops (Optilast)

Dawa hii ya Azelastine eye drops hutumika kwa mtu mwenye mzio au allergies mbali mbali za macho.

10.Azithromycin eye drops (Azyter)

Dawa hii ya macho huweza kutumika kutibu maambukizi mbali mbali ya bacteria kwenye macho ikiwemo maambukizi ya bacteria kwa Wazee pamoja na watoto toka wanazaliwa mpaka wenye umri wa miaka 17.

Maambukizi mbali mbali ya bacteria ni pamoja na;

  • Purulent bacterial conjunctivitis;
  • trachoma conjunctivitis ( haya ni maambukizi kwenye macho kutokana na bacteria wanaojulikana kama Chlamydia trachomatis)

11. Betamethasone eye drops (Betnesol, Vistamethasone)

Dawa hii ya macho huweza kutumika kutibu hali Zozote zinazosababisha uvimbe wa macho(short-term inflammatory eye conditions).

Kwa sababu dawa hii ina corticosteroid(steroid’) huweza kutumika kupunguza hali ya Uvimbe kwenye macho pamoja na wekundu kwenye macho(It helps relieve inflammation, redness and irritation).

12. Betaxolol eye drops(Betoptic)

Dawa hii ya macho hutumika kwa watu wenye ugonjwa wa Presha ya macho(glaucoma).

Dawa Zingine za Ugonjwa wa Presha ya macho ni pamoja na dawa kama vile;

  • Brimonidine eye drops (Alphagan, Brymont).
  • Brinzolamide eye drops (Azopt)
  • Dorzolamide eye drops(Eydelto, Trusopt, Vizidor)
  • Carteolol eye drops (Ocupress)
  • Pilocarpine eye drops for acute glaucoma (Minims Pilocarpine) n.k

13. Chloramphenicol eye drops (Brolene, Golden Eye)

Dawa hii hutumika kutibu maambukizi mbali mbali ikiwemo ya bacteria kwenye macho

14. Ciprofloxacin eye preparations (Ciloxan)

Hii pia ni dawa ya macho ambayo hutibu baadhi ya maambukizi ya bacteria.

15. Dexamethasone eye drops (Maxidex, Dexafree, Dropodex)

Hii ni dawa ya macho ambayo hutumika kutibu kuvimba kwa macho(Inflammation), kutokana na mzio au allergies mbali mbali pamoja na hali kama vile;

Kuunguzwa na kemikali au joto(chemical and thermal burns).

Hivo kama una hali kama vile za allergies mbali mbali kwenye macho, hii pia ni nzuri.

16.Diclofenac eye drops (Voltarol Ophtha)

Diclofenac eye drops ni dawa ya macho ambayo hutumika kuondoa maumivu pamoja na hali ya kuvimba ambako huweza kutokana na sababu kama vile upasuaji wa jicho/macho,

mfano dawa hii ya Diclofenac eye drops huweza kutumika kuondoa maumivu na hali ya uvimbe baada ya mtu kufanyiwa upasuaji wa kutibu Mtoto wa jicho(cataract surgery).

17. Gentamicin eye drops

Dawa hii ya macho hutumika kutibu maambukizi ya bacteria kwenye jicho pamoja na ngozi kuzunguka macho, maambukizi hayo ya bacteria ni kama vile; blepharitis, conjunctivitis.

Pia hutumika kuzuia maambukizi kwenye jicho au macho baada ya mtu kuumia jichoni/macho au baada ya kufanyiwa Upasuaji wa macho.

18.Loteprednol eye drops (Lotemax)

Hii ni dawa ya macho kwa watu wenye shida ya kuvimba(Inflammation)

19. Moxifloxacin (Moxivig)

Hii ni kwa ajili ya maambukizi mbali mbali machoni.

20. Prednisolone eye drops

Hii ni dawa ya Macho ambayo hutumika kutibu hali mbali mbali za macho ikiwemo kuvimba inflammation  au kuumia,

Pia dawa hii huweza kutumika kuondoa dalili za magonjwa mbali mbali,Ikiwemo dalili kama vile;

  • Macho kuwa Mekundu
  • Kuvimba
  • Kuwasha n.k

Dawa hii ipo kwenye kundi la dawa jamii ya corticosteroids.

Zingitia haya Kabla ya kutumia dawa ya Macho?

– Hakikisha ni Dawa Sahihi kwa ajili ya tatizo lako,

Hivo pata maelekezo ya kina kutoka kwa Wataalam wa afya kwanza kabla ya matumizi

– Angalia muda wa matumizi kwenye dawa yako(Expire date)

– Hakikisha umenawa mikono kwa maji safi na sabuni kabla ya kushika macho na kutumia dawa

– Hakikisha macho,Uso na mwili kwa ujumla ni Safi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...