Connect with us

Dawa

Dawa ya red eyes,Ifahamu dawa ya macho mekundu hapa

Avatar photo

Published

on

Dawa ya red eyes,Ifahamu dawa ya macho mekundu hapa

Je unahitaji kutumia Dawa ya red eyes? na kama ni hivo ni ipi Dawa ya red eyes?

Ingawa ugonjwa wa red eyes huiisha au kuondoka wenyewe, kuna wakati unahitaji matibabu maalumu kutoka kwa wataalam wa afya ikiwa umekusababishia madhara Zaidi.

Hakikisha unaongea na wataalam wa afya Ili kupata Dawa ya red eyes haraka Zaidi ikiwa unapata hali hizi hapa;

– Unahisi maumivu makali sana kwenye Macho

– Uwezo wako wa kuona umeathiriwa na ugonjwa wa Red Eyes

– Macho yako yanaogopa mwanga

– Macho yanazidi kuwa mekundu siku hadi siku badala ya kupungua wekundu

– Unapatwa na Homa

– Macho kutoa Usaha badala ya tongotongo n.k

Dawa ya red eyes

Hizi hapa ni jamii ya Dawa ambazo huweza kutumika kutibu Ugonjwa wa Red Eyes Duniani, si dawa Zote utazipata hapa Tanzania,

Hivo ni muhimu kuwasaliana kwanza na wataalam wa afya au tuwasiliane hapa afyaclass ili kupata Dawa ya red eyes sahihi na inayopatikana hapa kwetu Tanzania.

Kumbuka; Matibabu ya ugonjwa wa red eyes huhusika na chanzo husika.

Dawa ya red eyes ni pamoja na;

✓ Naphazoline, ambayo hupatikana kwenye dawa jamii ya Clear Eyes Itchy Eye Relief.

Naphazoline ni dawa jamii ya decongestant ambayo hutibu macho mekundu(red eyes) ikiwa chanzo chake ni mzio au allergic reactions.

✓ Tetrahydrozoline, ambayo hupatikana mfumo wa matone kama vile Visine. Tetrahydrozoline ni dawa jamii ya decongestant kama vile naphazoline,

Hivo huondoa wekundu kwenye macho ambao hutokana na Mzio(allergy, exhaustion, and irritation).

✓ Eye lubricant drops. Pia zipo dawa za macho ambazo kazi yake kubwa ni kuwa kama vilainishi machoni, hizi pia huweza kutumika kama Dawa ya red eyes.

✓ Dawa ya red eyes, Haya ni matibabu mengine ya Ugonjwa wa red eyes;

Ikiwa umepata shida ya red eyes kwa sababu kama hizi allergies, conjunctivitis, au blepharitis, unaweza kufanya matibabu haya rahisi kwako;

SOMA ZAIDI HAPA: Kuhusu Dawa Za Ugonjwa wa macho

(1) Kutumia vitu vya baridi(Apply a cool compress). kuweka kitu cha baridi juu ya macho ukiwa umefunika macho yako huweza kusaidia kupunguza dalili za wekundu na kuvimba kwa macho.

(2) Tumia baadhi ya dawa(Take over-the-counter (OTC) medications).

Kama nilivyokwisha kueleza,dawa jamii ya antihistamines au decongestants huweza kutumika kama dawa ya Red eyes, ambapo husaidia kupunguza na kuondoa  dalili za wekundu wa macho.

Pia dawa kama vile ibuprofen pamoja na acetaminophen huweza kutumika kupunguza maumivu na Uvimbe.

(3) Epuka vitu vyote vinavyoweza kuingia machoni(Avoid irritants).

Hapa tunazungumzia vitu kama vile Vumbi, Moshi, pollens, chemical fumes n.k.

(4) Hakikisha unanawa mikono(Wash your hands).

Hakikisha unanawa mikono yako mara kwa mara kwa kutumia maji safi tiririka na Sabuni.

Epuka kabsa kugusa macho yako au eneo la karibu na macho yako hasa ukiwa hujanawa mikono yako.

(5) Epuka makeup au kuvaa miwani.

Epuka kutumia makeup au kuvaa miwani kam ikiwezekana mpaka dalili za ugonjwa wa red eyes ziondoke.

(6) Epuka kutazama vitu kama Simu,TV, au computer kwa muda mrefu.

Kutumia muda mwingi mbele ya kompyuta, TV au skrini ya simu kunaweza kusababisha macho kuwa na mkazo zaidi(eyestrain) na kuwa makavu, kwa hivyo jaribu kupunguza muda wako wa kutumia kifaa kama hivi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ugonjwa wa Macho Mekundu(RED EYES),chanzo,dalili na Matibabu

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa3 hours ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending