Connect with us

News

Msichana wa miaka 8 aliye na uharibifu wa ubongo uliopooza afanyiwa upasuaji wa kwanza duniani na roboti

Avatar photo

Published

on

Msichana wa miaka 8 aliye na uharibifu wa ubongo uliopooza afanyiwa upasuaji wa kwanza duniani na roboti.

Msichana wa miaka 8 aliye na uharibifu wa ubongo uliopooza apata uwezo wa kujisogeza mwenyewe baada ya kufanyiwa upasuaji wa kwanza duniani na roboti.

Msichana wa miaka minane aliyepooza ubongo amepata tena uwezo wa kujisogeza mwenyewe baada ya kufanyiwa upasuaji wa kupandikizwa na roboti.

Karleigh Fry, kutoka Oklahoma, alikuwa amepooza na hakuweza kula, kutembea au hata kuketi peke yake. Lakini sasa, anaweza kuinua mikono yake juu ya kichwa chake, na kuna dalili kwamba anaanza kusogeza viungo vingine vya mwili, kulingana na Mail Online.

Kifaa cha roboti kiliweka kipandikizi cha umeme kwenye ubongo wake ili ‘kuamsha’ maeneo yanayohusika katika harakati,Hii ni mara ya kwanza utaratibu huu unafanywa kwa mtoto.

Dk Amber Stocco, daktari wa magonjwa ya mishipa ya fahamu kwa watoto aliyehusika katika upasuaji huo alielezea upasuaji huo kuwa ni ‘hatua muhimu’.

“Mgonjwa wetu mchanga tayari anaonyesha matokeo Mazuri na tunatumai utaratibu huu utafungua njia kwa wagonjwa zaidi ambao ni watoto duniani kote.”

Wakati huo huo, mamake Karleigh, Trisha Fry, alisema familia iliona maboresho wakati madaktari walipowasha kifaa cha umeme, na kuongeza, ‘Nadhani atakuwa na mustakabali mzuri kwa hakika.’

Karleigh anaugua ugonjwa wa kurithi unaoitwa rapid-onset primary dystonia, ugonjwa wa neva ambao husababisha mikazo ya misuli yenye uchungu au maumivu makali na miondoko isiyo ya kawaida.

Madaktari wanaamini kwamba hali hiyo husababisha mifumo isiyo ya kawaida ya umeme katika ubongo, hasa katika maeneo ambayo yanahusu harakati zisizo za hiari.

Kifaa hicho kinahusisha uwekaji wa jenereta ya mapigo ambayo hutuma ishara za umeme kwenye sehemu za ubongo zinazodhibiti mwendo wa mwili. Inaweza kuzuia miunganisho ya mishipa ya fahamu iliyokithiri au kuwasha miunganisho isiyofanya kazi, kulingana na hali.

Chombo hiki pia hutumiwa kutibu ugonjwa wa Parkinson, kutetemeka, kifafa, ugonjwa wa obsessive-compulsive, na dnoepression.

Dk Andrew Jea, daktari bingwa wa upasuaji wa neva wa Hospitali ya Watoto ya Oklahoma ambaye alimfanyia upasuaji, alisema: “Hii ilionyesha mwanzo wa kimataifa wa kutumia roboti kutoka vyumba vyetu vya upasuaji kufanya kitendo cha kusisimua ubongo wa mtoto, Hii inakuwa mfano sio tu huko Oklahoma lakini pia kote. Marekani na duniani kote.’

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa7 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending