Connect with us

afyatips

Umri wa mtoto kuota meno pamoja na dalili zake,fahamu Zaidi hapa

Avatar photo

Published

on

Umri wa mtoto kuota meno pamoja na dalili zake,fahamu Zaidi hapa

Umri wa kuota meno ya kwanza kwa mtoto

Muda wa kuota meno kwa watoto hutofautiana kati ya mtoto mmoja na mwingine, baadhi ya watoto huzaliwa na meno ya awali na wengine huota meno baada ya miezi 4 hadi mwaka. Hata hivyo tegemea mwanao kupata meno akiwa ndani ya mwaka wake wa kwanza toka amezaliwa. Tafiti zinaonyesha watoto wengi huota meno yao ya kwanza wakiwa na miezi sita. Dalili zifuatazo zinaweza kuwa ishara ya mtoto kuota meno ya kwanza.

Dalili za meno kuota kwa mtoto

Maumivu ya fizi na kubadilika rangi (kuwa na rangi nyekundu wakati meno yanataka kutoka nje)

Shavu moja la mtoto hubadilika rangi

Mtoto huchokonoa masikio(kwa sababu ya miwasho au maumivu)

Kutoa udenda zaidi ya kawaida

Hupenda kutafuna na kusugua fizi zaidi ya kawaida

Mtoto kulialia na kusumbua isivyo kawaida

Kuweka mikono kinywani na kuinyonya

Kung’ata ziwa la mama anapokuwa ananyonya

Kupata homa kiasi

Kuharisha(hii ni baadhi ya dalili ambayo huripotiwa na wazazi)

Pitia makala ya dalili zinazoambatana na kuota meno kwa maelezo zaidi.

Kumbuka endapo mtoto akipata homa halisi yaani joto la mwili kupanda kiasi cha nyuzi joto za centigredi 38, wasiliana na daktari kwa sababu kuota meno huwa hakusababishi kupata hivi kwa joto.

Kwa sababu watoto wengi huota meno kwenye umri wa kuanzia miezi sita, ni vema mzazi ukawa na tabia ya kusafisha meno hayo, tumia mswaki wa watoto kusafisha meno ya mtoto kwa kutumia dawa ya meno yenye fluoride mara mbili kwa siku ili kuimarisha meno yake. Hakikisha mtoto hamezi dawa.

Pia katika kipindi hiki msaidie mtoto kuondoa maumivu ya jino kwa kutumia panado kulingana na dozi uliyoelekezwa na daktari wako. Kanda sehemu jino linapoota ili kuondoa maumivu na kumtuliza mtoto. Tumia vifaa maalumu pia kumwekea kinywani ili mtoto apate kung’ata na kujisikia vema dhidi ya miwasho ya meno kuota. Kuwa makini hata hivyo mtoto asimeze au kupaliwa.

Meno huota kwa mpangilio upi?

Maelezo ya hapa chini yameelezea wastani wa umri wa kuota meno kwa watoto walio wengi, hii ndio maana kuna utofauti wa maelezo haya na picha hapo juu. Ili kufahamu meno yanayozungumziwa ni yapi, tazama picha juu kufananisha.

Meno ya insiza ya chini kwanza

Huanza kuota kwenye umri wa miezi 5 hadi 7

Meno ya insiza ya juu

Huanza kuota kuanzia miezi 6 hadi 8

Meno ya insiza ya pembeni juu

Huanza kuota kuanzia miezi 9 hadi 11

Meno ya insiza ya pembeni chini ya taya

Huanza kuota kuanzia miezi 10 hadi 12

Meno ya kwanza ya mola

Huanza kuota kuanzia miezi 12 hadi 16

Meno ya kanaini

Huanza kuota kati ya miezi 16 hadi 20

Meno ya pili ya mola

Huanza kuota miezi 20 hadi 30

Kwa maelezo zaidi pitia picha hapo juu.

Ni umri gani meno yote ya kwanza huwa yameota?

Watoto wengi huwa wameshaota meno yao yote ya awali mpaka wanapfikia umri wa miaka 2 na nusu

Soma zaidi kuhusu makala zingine kwa kubofya makala zingine zinazohusu:

Chanjo kwa mtoto

Hatua za ukuaji wa mtoto

Namna ya kumfanya mtoto ale chakula zaidi

Namna ya kuandaa lishe ya mtoto

Namna ya kunyonyesha mtoto

Wakati gani maziwa ya mama huanzakutoka baada ya kujifungua?

Utapiamlo

Uandaaji wa lishe ya mtoto

Ukuaji wa mtoto wa kawaida(uzito na urefu

Maendeleo ya mtoto Mwaka 1 hadi 2

Maendeleo ya mtoto Miaka 2 hadi 3

Maendeleo ya mtoto Miaka 3 hadi 5

MASWALI&MAJIBU kuhusu afya| Link...👇

https://afyaclass.com/afyaforums

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 weeks ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa1 month ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa1 month ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake3 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa5 days ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa6 days ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa2 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa2 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...

Magonjwa2 weeks ago

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa...

Magonjwa3 weeks ago

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka...

Magonjwa4 weeks ago

je ugonjwa wa pumu unaambukiza

je ugonjwa wa pumu unaambukiza? Hili ni Swali ambalo watu wengi huuliza,hata kwenye page za afyaclass, kwa kuliona hilo, tumeona...

Magonjwa1 month ago

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini Ugonjwa wa ini (hepatic disease) mara nyingi huanza taratibu na dalili zisizo wazi,...