Connect with us

afyatips

Fahamu Dalili zinazoonyesha hufanyi Mazoezi ya kutosha

Avatar photo

Published

on

Fahamu Dalili zinazoonyesha hufanyi Mazoezi ya kutosha

Kwa mujibu wa Tafiti mbali mbali zilizofanyika,Mtu akiwa hafanyi mazoezi;Zipo dalili mbali mbali ambazo huweza kujitokeza,na baadhi ya dalili hizo ni pamoja na;

– Kupata shida ya choo kigumu au kukosa choo kabsa(Constipation)

Unapofanya mazoezi, Utumbo mpana au koloni husogea zaidi, na ni rahisi kupata choo hasa kwa muda ule ule ambao umezoea kupata.

Toni ya misuli yenye afya katika tumbo lako na diaphragm pia ni ufunguo wa kuhamisha taka kupitia kwenye njia yako ya utumbo. Mazoezi ya mara kwa mara yanaweza kukusaidia Upate choo vizuri, haswa unapozeeka.

– Kukakamaa kwa joints

Hii pia ni mojawapo ya dalili kubwa kwamba hufanyi Mazoezi,

ingawa wakati mwingine kukakamaa kwa joints huweza kuwa dalili ya matatizo mengine ya kiafya kama vile; Tatizo la arthritis au autoimmune disease.

Lakini fahamu;viungo pamoja na joints vinaweza pia kukakamaa wakati huvitumii vya kutosha. Hakikisha viungo vyako na joints zinafanya kazi.

– Kuishiwa na pumzi haraka

Kama vile misuli ya mikono hudhoofika usipoitumia, misuli inayosaidia mapafu yako kuingiza na kutoa hewa unapopumua hupoteza nguvu usipoifanyia kazi mara kwa mara.

Kadri unavyofanya shughuli chache, ndivyo unavyokosa pumzi, hata wakati wa kazi rahisi za kila siku.

– Kuathiri hali ya kihisia,Moody n.k

Kutokufanya mazoezi huleta madhara zaidi ya kwenye afya yako ya kimwili, Hali hii Inaweza pia kuongeza hisia za wasiwasi,Msongo wa mawazo,huzuni n.k

Hakikisha unachangamsha damu yako mara kwa mara. Mazoezi ya Cardio kama vile kutembea, kuendesha baiskeli, kuogelea, au kukimbia, yataimarisha na kuleta hali nzuri ya kiafya, na hata kuboresha kujistahi kwako yaani “self-esteem”.

– Kuhisi uchovu ambao hauishi

Je, unahisi uvivu na uchovu mara nyingi? Mazoezi husaidia kutoa oksijeni na virutubisho kwa tishu zako. Ikiwa unatumia muda wako mwingi kukaa, Tishu hazipati nguvu ya kutosha ili kukufanya uwe active.

– Kupata Tatizo la kukosa Usingizi

Ikiwa umechoka kuhesabu mabati usiku, inuka na ufanye mazoezi wakati wa mchana. Unapoweka utaratibu wa kufanya mazoezi ya kawaida, unalala haraka, na unalala vizuri zaidi mara tu usingizi unapokukamata.

– Kuanza kusahau vitu mara kwa mara

Mazoezi ya kawaida huambia mwili wako kutengeneza kemikali zaidi zinazojulikana kama “growth factors”.

Hii huongeza uzalishaji wa damu kwenye mishipa ya damu kwenye ubongo wako. Kadiri damu inavyoingia kwenye ubongo wako, ndivyo unavyoweza kufikiria, kukumbuka vizuri na kufanya maamuzi bora Zaidi.

– Tatizo la kupanda kwa Shinikizo la damu(blood pressure)

Kutumia muda wako mwingi kukaa huongeza hatari ya kupata ugonjwa wa moyo. Hiyo ni kwa sababu una uwezekano mkubwa wa kuwa na shinikizo la damu, ambapo ni sababu kubwa ya kuongeza hatari ya kupata matatizo ya moyo ikiwemo; ugonjwa wa mishipa ya moyo na mshtuko wa moyo(coronary artery disease and heart attack).

– Tatizo la kuongezeka kwa Sukari mara kwa mara(Prediabetes)

Ikiwa kufanya Mazoezi ni sehemu ya kawaida ya maisha yako, mwili wako huwa na wakati mzuri na rahisi wa kuweka kiwango chako cha glucose kwenye damu chini ya udhibiti mzuri.

Viwango thabiti vya sukari kwenye damu hukuweka nje ya eneo la hatari la kupata ugonjwa wa kisukari cha aina ya 2.

– Kupata tatizo la kuumwa Mgongo

Wakati misuli yako ya mwili ikiwa ni dhaifu kutokana na kutokufanya mazoezi, haiwezi kusupport mgongo wako jinsi inavyopaswa, hii huchangia uanze kuwa na tatizo la kuumwa mgongo.

– Kula kila mara

kwa kawaida;Inaonekana ungekuwa na njaa mara nyingi zaidi ikiwa ungefanya mazoezi zaidi, lakini kinyume chake ni kweli pia. Mazoezi ya Aerobic kama vile kuendesha baiskeli, kuogelea, kutembea, na kukimbia yanaweza kupunguza hamu yako ya kula kwa sababu hubadilisha viwango vya baadhi ya “homoni za njaa” katika mwili wako.

– Kuumwa mara kwa mara

Tafiti zinaonyesha kadri unavyofanya Mazoezi ndivyo unavyopunguza uwezekano wa kupata mafua au vijidudu vingine. Unapofanya mazoezi kuwa mazoea yako, mfumo wako wa kinga unakuwa na nguvu Zaidi dhidi ya kupambana na magonjwa.

Review via Link;

https://www.webmd.com/fitness-exercise/ss/slideshow-surprising-signs-youre-not-moving-enough

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...