Connect with us

magonjwa ya watoto

Vifo vya kina mama vilisababishwa na kuvuja damu kupindukia baada ya kujifungua

Avatar photo

Published

on

Uhaba wa vifaa wachochea ongezeko la vifo vya watoto Kenya

Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya vimetajwa kuwa chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga kati ya mwaka 2017 hadi 2022 nchini Kenya .

Ripoti mpya ya mkaguzi mkuu wa serikali imebaini kuwa Chanzo kikuu cha maafa ya watoto ni kuzaliwa kabla kutimiza siku zao, maambukizi, kukosa hewa ya Oxygen na damu kwenye ubongo.

Asilimia 60 ya hospitali hizo hazina vifaa vya msingi vya kutoa huduma za uzazi. Kulingana na tathmini, vifo vya kina mama vimeongezeka kutoka 409 mwaka 2017 hadi 1053 kati ya mwaka 2020/21.

Vifo vya kina mama vilisababishwa na kuvuja damu kupindukia baada ya kujifungua, maambukizi na shinikizo la juu la damu wakati wa ujauzito.

“Kuvuja damu wakati wa kujifungua ndio sababu kuu ya kina mama kufariki. Na sababu nyingine inayosababisha vifo hivi ni ukosefu wa dawa katika vituo vyetu vya afya hapa Afrika na nchi zinazoendelea,” amesema Michael Mwiti, Mkunga na Mtaalam wa afya ya uzazi katika hospitali ya kaunti ya Makueni nchini Kenya.

Kimsingi, hospitali ya uzazi inapaswa kuwa na wodi ya kusubiri kujifungua, ya kujifungua, wadi ya waliojifungua bila upasuaji, ya waliopasuliwa na ya kina mama waliojifungua na kuanza kunyonyesha.

Wajawazito hutibiwa kwenye vyumba vya kawaida kutokana na uhaba wa vyumba maalumu

Hata hivyo tathmini ya mkaguzi mkuu wa serikali imebaini kuwa hospitali zilizochunguzwa hazina wodi hizo na kina mama hulazimika kulala zaidi ya wawili kwenye kitanda kimoja jambo linaloongeza uwezekano wa kuambukizwa magonjwa.

Hospitali za rufaa za Garissa na Isiolo,kwa mfano, ni miongoni mwa zisizokuwa na vifaa kabisa.

Tathmini imeonyesha hospitali 7 za rufaa hazina sehemu maalumu ya upasuaji inapotokea dharura za uzazi na badala yake wanatumia chumba cha kawaida cha upasuaji hali inayotatiza utoaji huduma na kina mama mara nyingine kufariki.

Chumba cha upasuaji wa wazazi kwenye hospitali ya Uthiru, kwa mfano hakina vifaa na hakitumiki.

Tathmini ya mkaguzi mkuu wa serikali imebaini pia kuwa ni hospitali 29 kati ya zote 67 zilizochunguzwa zenye vitengo maalumu vya watoto wachanga.

Baadhi hazina vitengo kwa ajili ya huduma ya Kangaroo kwa kina mama waliojifungua kabla ya kutimiza muda wao na nyingine hazina vitanda vya kutosha na kwenye baadhi ya hospitali kina mama hulazimika kulala kwenye magodoro yaliyotandikwa sakafuni.

Report Source:

– Ripoti mpya ya mkaguzi mkuu wa serikali Kenya

– Via Dw

– Editor&Reviewer: @afyaclass

– Soma Zaidi pia Kuhusu Chanzo cha Vifo kwa Mama Wajawazito:Soma hapa

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...