Connect with us

News

Mizozo na majanga yahusianayo na tabianchi yamefanya elimu kusalia ndoto

Avatar photo

Published

on

Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati kuivusha Afrika – Guterres

Profesa Amivi Kafui Tete-Benissan (kushoto) ambaye anafundisha biolojia na kemia kwenye chuo kikuu cha Lomé, Togo, pia ni mwanaharakati ambaye anachagiza wasichana kushirika kazi za sayansi.

“Afrika Tuitakayo” haina budi kuungwa mkono na mifumo ya elimu ambayo Afrika inahitaji, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wakati wa moja ya kikao cha ngazi ya juu cha Mlolongo wa Mijadala ya Afrika iliyokunja jamvi hii leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa.

Mlolongo huo wa mijadala uliofanyika kwa mwezi mzima ukiwa umeandaliwa na Ofisi ya Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Masuala ya Afrika, UNOSAA, ulijikita katika marekebisho ya mfumo wa elimu ambapo Guterres amesema maudhui hayo yanakumbusha kuwa kuwezesha bara la Afrika kustawi, kiambato muhimu ni elimu.

Katika kikao hicho cha leo kilichomulika Elimu kupitia Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kuelekea Afrika Tuitakayo, Guterres amesema elimu ni kichocheo cha ustawi na maendeleo ya Afrika na ndio injini ya fursa kwa vijana wa kiafrika na zaidi ya yote elimu inaunganisha waafrika na urithi wa utamaduni wa zamani huku ikiwaandaa kwa siku zijazo.

Hata hivyo amesema mizozo na majanga yahusianayo na tabianchi yamefanya elimu kusalia ndoto kwa mamilioni ya watoto na vijana barani Afrika, huku kukiwa hakuna walimu wenye sifa zinazotakiwa na mbinu za kufundishia zinashindwa kuwaandaa wanafunzi kwa ajira kwenye zama za dunia ya sasa hasa kwa kuzingatia umuhimu wa masomo ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati au STEM.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres akihutubia Kikao cha ngazi ya juu cha kisera cha mlolongo wa mijadala ya Afrika kwa mwaka huu wa 2024 kikimulika Kufikia Afrika tuitakayo kupitia Sayansi, Teknolojoia, na Ugunduzi.

Guterres anapigia chepuo ufadhili zaidi kwenye mifumo ya elimu na zaidi ya yote msingi wa mifumo ya elimu barani Afrika ijikite kwenye STEM.

“Kuongeza idadi ya watoto shuleni pekee haitoshelezi, kinachohitajika ni stadi na ufahamu zaidi wa kuweza kushindana kwenye uchumi wa kisasa wa dunia,” amesema Guterres.

Rais wa Baraza Kuu naye apazia sauti Sayansi, Teknolojia na Ugunduzi

Balozi Dennis Francis ambaye ni Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa pamoja na kuunga mkono hoja ya kusongesha STEM na ubia katika kuimarisha mfumo wa elimu Afrika, yeye ametanabaisha kuwa sayansi, teknolojia na ugunduzi (STI)  vitaziba pengo la kidijitali  na hivyo kuchochea suala la kupata elimu bora Afrika, na kuimarisha tafiti na kupunguza kasi ya wasomi wa Afrika kukimbia bara lao.

“Tukiwa na mwelekeo tulioazimia, STI inaweza kuchochcea maendeleo ya viwanda Afrika na kuleta mabadiliko mapana ya kiuchumi ambayo yanaweka fursa zaidi na bora za ajira kwa watu wote,” amesema Balozi Francis.

Amenukuu maneno ya Hayati Nelson Mandela ya kwamba Elimu ndio silaha yenye nguvu zaidi tunayoweza kuitumia kubadilisha dunia.

Via-UN

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa8 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending