Connect with us

Elimu&Ushauri

Kuna zaidi ya aina 700 za bakteria zinazojulikana Mdomoni

Avatar photo

Published

on

Je,Wajua Mdomoni Kuna zaidi ya aina 700 za bakteria zinazojulikana?

Fahamu Mdomoni,Kuna zaidi ya aina 700 za bakteria zinazojulikana, pamoja na vimelea vingine kama vile, virusi na protozoa.

Viumbe hivi vyote vinaweza kuonekana tu kwenye maabara, na vina jukumu muhimu katika kulinda afya yako.

Magonjwa ya kawaida yanayosababishwa na bakteria hawa ni kuoza meno na ugonjwa wa fizi.

Baadhi ya Tafiti Zinaonyesha viumbe hivi pia vinahusika na hali nyingine mbaya za afya zinazotokea katika mwili wa binadamu.

Yapo baadhi ya Magonjwa ambayo hutokana na shida hii ya Mdomo,Ikiwemo;

✓ Ugonjwa wa mapafu

Kwa kuwa kuvuta pumzi huanzia mdomoni na kisha kwenye mapafu, haishangazi kwamba baadhi ya viumbe vilivyo kinywani huishia kwenye mapafu.

Na mara nyingi husababisha magonjwa kama vile nimonia, Maambukizi haya hutokana na kutokufanya usafi wa mdomo na kusababisha bakteria kukua.

Kulingana na utafiti, usafi wa kinywa unaweza kupunguza bakteria hawa.

✓ Ugonjwa wa moyo

Moja ya magonjwa yanayosababishwa na viumbe wa mdomoni ni kuoza meno.

Ugonjwa huo ni uvimbe unaosababisha uharibifu wa mfupa wa jino pamoja na mizizi midogo ndani yake, na hatimaye husababisha jino kung’olewa.

Ugonjwa huu husababishwa na bakteria kukua kati ya ufizi na meno, kutokana na kutokufanya Usafi vizuri wa kinywa.

Lakini jambo ambalo limewashangaza watafiti kwa miaka mingi ni uhusiano kati ya ugonjwa wa fizi na ugonjwa wa moyo.

Uhusiano huu unaweza kuwa ni kutokana na mambo kadhaa. Mfano, watu wanaovuta sigara au kemikali za sumu – huwa na ugonjwa wa fizi na ugonjwa wa moyo.

Watafiti wengine pia wameripoti kwamba bakteria katika mifupa ya pua wanaweza pia kusafiri kwenda kwenye moyo, na kusababisha maambukizi. Ingawa hilo bado halina ushahidi wa kutosha.

✓ Matatizo ya kumbukumbu

Moja ya magonjwa ya kushangaza zaidi yanayohusiana na usafi wa mdomo ni kupoteza kumbukumbu.

Madaktari wa kinywa huhusisha usafi wa kinywa na matatizo ambayo husababisha kupoteza kumbukumbu au kuchanganyikiwa.

Mara nyingi matatizo ya kumbukumbu na matatizo ya meno hutokea uzeeni, ni vigumu kuamua ikiwa kuna uhusiano kati ya magonjwa mawili.

Lakini mwaka 2019, kikundi cha watafiti kiliripoti, ubongo wa watu wenye shida ya akili una bakteria wa P gingivalis, ambao ni moja ya bakteria wakuu wanaosababisha ugonjwa wa fizi.

Ingawa wazo kwamba ubongo, ambao ni sehemu safi zaidi katika mwili wa binadamu, huathiriwa na bakteria kutoka kinywani bado linahitaji utafiti zaidi. Halijakubalika na wataalamu wengi.

Pia, ugonjwa wa moyo na kupoteza kumbukumbu kuhusishwa na bakteria kutoka mdomoni, yanahitaji utafiti zaidi.

Ijapokuwa athari za uchafu wa kinywa zinaonekana kuongezeka, habari njema ni kwamba tuna uwezo wa kudhibiti uchafu na kuishi vyema na bakteria waliopo katika vinywa vyetu, na tunaweza kuzuia magonjwa.

Kudumisha usafi wa mdomo ni muhimu. Miongoni mwa mambo unayoweza kufanya ni kupiga mswaki kinywa chako mara mbili kwa siku.

Vilevile kuondoa mabaki ya chakula kati ya meno na fizi na meno mara kwa mara. Haya yanaweza kupunguza kuoza kwa meno na ugonjwa wa fizi.

Via:Bbc

Karibu AfyaUpdates Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa7 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending