Connect with us

Magonjwa

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi yake ya Asili, na kukufanya uwe na mabaka mabaka.

Dalili za Ugonjwa wa Ngozi kuwa Nyeupe,Vitiligo

Dalili ya Ugonjwa huu wa Vitiligo ni pamoja na;

✓ Ngozi kuanza kupoteza rangi yake ya asili na kuwa na mabaka mabaka ambapo kwa asilimia kubwa, mara ya kwanza huanza kuonekana maeneo kama vile;

  • Mikononi
  • Usoni
  • Sehemu Za Siri
  • Na maeneo yote ya mwili karibu na tundu au uwazi

✓ Nywele kuwa nyeupe au kuwa kama Mvi kwenye maeneo ya Kichwani,Kope,nyusi,au Ndevu n.k

✓ Kupotea kwa rangi ya asili kwenye Tishu ambazo zinazunguka Mdomo,Lips za mdomo,Puani n.k

Ugonjwa wa Vitiligo unaweza kuanza kwenye Umri wowote ingawa mara nyingi huanza kabla ya Mtu kufikisha Umri wa miaka 30.

Chanzo cha Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa Vitiligo hutokea pale ambapo seli zinazozalisha rangi (melanocytes)  kufa au kuacha kabsa kuzalisha melanin — ambapo hii ndyo pigment inayoipa ngozi rangi,nywele pamoja na macho.

Vipande vinavyohusika vya ngozi huwa vyepesi au vyeupe. Haijulikani ni nini hasa husababisha seli hizi za rangi kushindwa kufanya kazi au kufa. Ingawa Inaweza kuhusishwa na sababu mbali mbali ikiwemo:

  1. Matatizo ya Mfumo wa Kinga ya Mwili (autoimmune condition)
  2. Matatizo ya Urithi,Family history (heredity)
  3. Matukio kama vile kuungua sana kwenye ngozi
  4. Kuumia sana au kupata majeraha makubwa ya Ngozi baada ya kugusana na baadhi ya Kemikali
  5. Msongo wa mawazo n.k

Kumbuka; Melanin ni natural pigment ambayo huipa ngozi rangi yake ya asili, na huzalishwa na Seli zinazojulikana kama  melanocytes.

Vitu ambavyo huongeza hatari ya Kupata Ugonjwa wa Vitiligo

– Kuwa na Mtu mwenye shida hii kwenye Familia yako

– Kuwa kwenye mazingira ya kugusa kemikali mara kwa mara,mfano phenol-containing chemicals,n.k

– Kupata matukio kama vile kuungua sana Ngozi, kupata majeraha makubwa ya ngozi n.k

– Kuwa na matatizo kwenye Mfumo wa kinga ya Mwili n.k

Fahamu Pia,Mtu mwenye Ugonjwa wa Vitiligo huweza kupata madhara mengine ikiwemo;

FAHAMU KWA KINA TATIZO AU UGONJWA WA VITILIGO (UGONJWA UNAOIFANYA NGOZI KUPOTEZA RANGI YAKE)

• • • • • •

Ni tatizo linaloifanya ngozi ipoteze rangi yake ya asili. Sehemu zinazopoteza rangi huongezeka ukubwa kadri siku zinavyozidi kwenda. Tatizo hili linaweza kuathiri pia nywele,pamoja na sehemu ya ndani ya kinywa

Siku zote rangi ya ngozi na nywele za binadamu huamuliwa na vichocheo vya melanin. Vitiligo hutokea baada ya sehemu (seli) zinazozalisha vichocheo ya melanin kufa,au vikiacha kufanya kazi. Kwa msingi huu,kufa au kuacha kufanya kazi kwa seli zinazozalisha melanin kunaweza kusababishwa na mambo matatu

1.Matatizo kwenye mfumo wa ulinzi wa mwili ambao huanza kuzishambulia seli zake wenyewe kama maadui (wavamizi),jambo ambalo kitaalamu huitwa Autoimune condition

2.Kurithi

3.Mzio (allergy),stress pamoja na mionzi mikali ya jua au ajali kubwa ya ngozi

Tatizo hili siyo la kurogwa wala kuambukizwa,na haliwezi kumpata mtu mwingine kwa kugusana au hata kushirikiana naye mambo kadhaa kwenye jamii,hivyo tusiwatenge na kuwanyanyapaa wagonjwa wa tatizo hili ambao hupitia kipindi kigumu sana cha masongo wa mawazo,kuungua vikali na mwanga wa jua pamoja na matatizo ya kuona na kusikia

Tatizo hili halina tiba ya kudumu,hata hivyo msaada wa matibabu hutolewa kulingana na umri,ukubwa wa tatizo,jinsi maisha ya mtu yalivyo athirika pamoja na kasi ya kukua kwa tatizo.

 Vyote hivi hulenga kuleta ahueni ya tatizo kwa mgonjwa pamoja na kuipunguza kasi ya kukua/kusambaa kwa tatizo hili.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa7 hours ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa4 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa3 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending