Connect with us

Dawa

Dawa za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi(ARVs)

Avatar photo

Published

on

Dawa za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi(ARVs)

ARVs ni kifupi cha neno antiretroviral drugs, ikiwa na maana ya dawa kwa ajili kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi,

Hivo basi ARV sio dawa moja bali ni kundi au mjumuisho wa dawa zote ambazo hutumika kwa Mgonjwa mwenye virusi vya Ukimwi(VVU) na mfano wa dawa hizo ni kama vile;

  •  Zidovudine
  • Tenofovir
  • Abacavir
  • Lamivudine
  • Didanosine
  • Emtricitabine n.k

Dawa za VVU zinaweza kusaidia kupunguza wingi wa virusi, kupambana na maambukizi, na kuboresha maisha yako. Zinaweza kupunguza uwezekano wa kusambaza VVU pia, lakini kama ukizitumia vibaya, bado unaweza kuwapa wengine VVU,

Kumbuka pia; Dawa hizi za ARVs Sio tiba ya kuondoa kabsa VVU.

>>Malengo ya dawa hizi ni:

  • Kudhibiti ukuaji wa virusi vya Ukimwi(VVU)
  • Kuboresha mfumo wako wa kinga ya mwili Kufanya kazi vizuri
  • Kupunguza Dalili au kuzuia kabsa dalili za Ukimwi kujitokeza
  • Kuzuia maambukizi ya VVU kwa wengine.n.k

Imeidhinishwa matumizi ya zaidi ya dazeni mbili za dawa za kurefusha maisha kwa ajili ya maambukizi ya VVU. Mara nyingi dawa hizi(ARVs) hugawanywa katika makundi sita kwa sababu hufanya kazi kwa njia tofauti. Madaktari wanapendekeza kuchukua mchanganyiko au “cocktail” ya angalau dawa kwenye makundi mawili. Hii inaitwa tiba ya kurefusha maisha, au antiretroviral therapy(ART).

Daktari wako atakujulisha hasa jinsi unapaswa kutumia dawa zako kwa usahihi. Unahitaji kufuata maagizo haswa, na haupaswi kukosa hata dozi moja. Ukikosa dozi, unaweza kupata aina za VVU zinazokinzana na dawa, na dawa zako zinaweza kuacha kufanya kazi.

Dawa za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi(ARVs)

Haya ni baadhi ya makundi ambapo dawa za ARVs zimegawanywa;

1. Nucleoside/Nucleotide Reverse Transcriptase Inhibitors (NRTIs)

Kwenye kundi hili kuna dawa kama vile;

  • Abacavir, or ABC (Ziagen)
  • Emtricitabine, or FTC (Emtriva)
  • Lamivudine, or 3TC (Epivir)
  • Tenofovir alafenamide, or TAF (Vemlidy)
  • Tenofovir disoproxil fumarate, or TDF (Viread)
  • Zidovudine or ZDV (Retrovir)

2.Non-nucleoside Reverse Transcriptase Inhibitors (NNRTIs)

Hapa kuna dawa kama vile;

  • Doravirine, or DOR (Pifeltro)
  • Efavirenz or EFV (Sustiva)
  • Etravirine or ETR (Intelence)
  • Nevirapine or NVP (Viramune)
  • Rilpivirine or RPV (Edurant)

3.Protease Inhibitors (PIs)

Kwenye kundi hili kuna dawa kama vile;

  • Atazanavir or ATV (Reyataz)
  • Darunavir or DRV (Prezista)
  • Lopinavir + ritonavir, or LPV/r (Kaletra)
  • Ritonavir or RTV (Norvir)

4. Integrase Inhibitors

Kwenye kundi hili kuna dawa kama vile;

  • Bictegravir or BIC (combined with other drugs as Biktarvy)
  • Cabotegravir and rilpivirine (Cabenuva)
  • Dolutegravir or DTG (Tivicay)
  • Elvitegravir or EVG (Vitekta)
  • Raltegravir or RAL (Isentress)

5.Fusion Inhibitors

Kwenye kundi hili kuna dawa kama vile;

  • Enfuvirtide, or ENF or T-20 (Fuzeon)

6.Capsid Inhibitor

Kwenye kundi hili kuna dawa kama vile;

  •  Lenacapavir(Sunlenca) n.k

Kumbuka; Dawa hizi hutumii moja peke yake zinakuwa kwenye mchanganyiko wa zaidi ya dawa moja(combination) Mfano;

Atazanavir + cobicistat, or ATV/c (Evotaz)
Darunavir + cobicistat, or DRV/c (Prezcobix)
Elvitegravir + TDF + FTC + cobicistat, or EVG/c/TDF/FTC (Stribild)
Elvitegravir + TAF + FTC + cobicistat, or EVG/c/TAF/FTC (Genvoya)

Bictegravir + tenofovir alafenamide + emtricitabine, or BIC/TAF/FTC (Biktarvy)
Dolutegravir + abacavir + lamivudine, or DTG/ABC/3TC (Triumeq)
Dolutegravir + rilpivirine, or DTG/RPV (Juluca)
Dolutegravir  + lamivudine, or DTG/3TC (Dovato)
Elvitegravir + cobicistat +  tenofovir alafenamide + emtricitabine, or EVG/c/TAF/FTC (Genvoya)
Elvitegravir + cobicistat + tenofovir disoproxil fumarate + emtricitabine, or EVG/c/TDF/FTC (Stribild)

Atazanavir + cobicistat, or ATV/c (Evotaz)
Darunavir + cobicistat, or DRV/c (Prezcobix)
Darunavir + cobicistat + tenofovir alafenamide + emtricitabine, or DRV/c/TAF/FTC) (Symtuza)
Non-nucleoside reverse transcriptase inhibitor (NNRTI)-based:

Doravirine + tenofovir disoproxil fumarate + lamivudine, or DOR/TDF/3TC (Delstrigo)
Efavirenz + tenofovir disoproxil fumarate + emtricitabine, or EFV/TDF/FTC (Atripla)
Rilpivirine + tenofovir alafenamide + emtricitabine , or RPV/TAF/FTC (Odefsey)
Rilpivirine + tenofovir disoproxil fumarate + emtricitabine, or RPV/TDF/FTC (Complera)

Abacavir + lamivudine, or ABC/3TC (Epzicom)
Abacavir + lamivudine + zidovudine, or ABC/3TC/ZDV (Trizivir)
Tenofovir alafenamide + emtricitabine, or TAF/FTC (Descovy)
Tenofovir disoproxil fumarate + emtricitabine, or TDF/FTC (Truvada)
Tenofovir disoproxil fumarate + lamivudine, or TDF/3TC (Cimduo)
Zidovudine + Lamivudine or ZDV/3TC (Combivir) N.K

>> Soma pia hapa kuhusu Muda sahihi wa Kutumia dawa za ARVs

>> Tofauti ya ARVs na PEP

Kuna PEP,PrEP,ARVS

Dawa za Kurefusha maisha(ARVs);

Dawa hizi sio za kutibu au kuponyesha kabsa Ukimwi bali hufanya kazi ya kupunguza Virusi vya ukimwi (Viral Load) hali ambayo huupa nafasi Mfumo wa kinga ya mwili kupambana vizuri na maambukizi haya.

Ili dawa hizi zilete matokeo mazuri unashauriwa kutokuacha kutumia dawa kutokana na maelekezo uliyopewa, kwani ni hatari na unaweza kutengeneza hali ya virusi kutokusikia dawa yaani Drug resistance.

Je ni Muda gani wa kuanza dawa za ARVs baada ya kugundulika una HIV?

Zipo Dhana mbali mbali kwenye jamii kuhusu Muda wa Kuanza dawa za ARVs baada ya kugundulika una Virusi vya UKIMWI,

Huku baadhi ya watu wakisema,hutakiwi kuanza dawa za ARVs mpaka uanze kuumwa, je ni kweli?

Soma zaidi hapa chini…!!!

Tiba ya VVU inahusisha unywaji wa dawa zenye ufanisi mkubwa yaani antiretroviral therapy (ART) ambazo hufanya kazi kudhibiti virusi.

ART inapendekezwa kwa kila mtu mwenye VVU.

Watu walio na VVU wanapaswa kuanza ART haraka iwezekanavyo baada ya utambuzi (hata siku hiyo hiyo).

Nimatumaini yangu kwamba umepata majibu kuhusu Muda wa kuanza dawa za kufubaza Virusi vya Ukimwi maarufu kama ARVs.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...