Connect with us

Magonjwa

Dalili za ukimwi kwenye ngozi,zifahamu hapa

Avatar photo

Published

on

Dalili za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala hii ili kujua mabadiliko mbali mbali ambayo hutokea kwenye ngozi baada ya mtu kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi(VVU).

Takriban asilimia 90% ya watu wanaoishi na virusi vya HIV hupata mabadiliko kwenye ngozi na dalili kwenye hatua fulani wakati wa ugonjwa wao.

Ingawa,kukiwa na udhibiti mzuri wa virusi na uimarishaji wa mfumo wa kinga ya mwili matatizo haya ya ngozi hayatokei kwa kiwango kikubwa. Pia hata yakitokea hayaleti madhara makubwa na ni rahisi kuyatibu.

Dalili za ukimwi kwenye ngozi

Moja ya dalili kubwa kwenye ngozi za Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni pamoja na;

1. Mtu kuwa na vipele au Rashes kwenye ngozi

Upele kwenye ngozi ni mojawapo ya dalili ya kawaida kwa mtu mwenye maambukizi ya VVU, kama dalili kubwa inayohusiana na ngozi.

Mara nyingine, ngozi inaweza kuathiriwa na vitu vingi kama vile,kemikali,allergies,Fangasi na mwanga wa jua pia, lakini Wakati mwingine vipele husababishwa na VVU.

Upele wa kawaida kwa maambukizi ya VVU mara nyingi hutokea eneo tambarare kwenye ngozi ambalo limefunikwa na matuta madogo,

Pia Mzio au allergic reactions kwenye ngozi huweza kuonekana katika muda wa wiki moja hadi mbili baada ya kuanza dawa mpya.

Upele huu kwenye ngozi pia unaweza kutokana na sababu zingine ikiwemo;

  • Tatizo la Molluscum contagiosum,
  • Maambukizi ya herpes simplex
  • herpes zoster infections,
  • Madhara ya dawa(drug eruptions),
  • Au Kaposi sarcoma lesions.
  • Pia upele kwenye ngozi kwa mtu mwenye HIV unaweza kuwa matokeo ya dawa anazotumia ili kupambana na HIV.

2. Kuwa na malengelenge kwenye ngozi au mkanda wa jeshi(Shingles)

Pia mtu mwenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi(VVU) anaweza kupata vipele vipele vinavyokuwa kama malengelenge kwenye ngozi ambavyo pia husababisha maumivu makali, aina hii ya vipele(painful, blistering skin rash) hujulikana kama,”Shingles”,

Na kwa Sababu vinakuwa vya kufuatana eneo moja la mwili au upande mmoja wa mwili vikapatiwa jina kama “mkanda wa Jeshi”. Soma Zaidi hapa

Shingles chanzo chake ni maambukizi ya virusi vya herpes zoster virus.

Pia mabadiliko kwenye ngozi huweza kutokana na muitikio wa kinga ya mwili dhidi ya kuamshwa upya kwa virusi aina Chickenpox virus, ambavyo vilikuwa dormant mwilini toka utotoni.

Mara nyingi mkanda wa Jeshi(Shingles) hutokea maeneo kama vile;

  • Kifuani
  • Maeneo ya tumboni
  • Kwenye ubavu
  • Mgongoni
  • Na hata kwenye eneo la nyonga,Pelvis

Ni mara chache sana mkanda wa jeshi kutokea maeneo kama vile; miguuni, mikononi, au usoni.

Mkanda wa Jeshi; ni miongoni mwa dalili za kwanza kwenye Ngozi ambazo huashiria mtu kuwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi(VVU),

Ingawa watu wengi hawafahamu kuwa,Mkanda wa jeshi ni kiashiria pia kwamba kinga yako ya mwili ni dhaifu.

Hii ina maana,Sio kila mwenye mkanda wa Jeshi basi ana maambukizi ya Virusi vya Ukimwi, Zipo sababu zingine za kutokea kwa mkanda wa jeshi. Soma Zaidi hapa chanzo cha Mkanda wa Jeshi;

3. Tatizo la Lesions kwenye ngozi

Tazama picha hizi, huu ndyo mfano wa Lesions kwenye ngozi;

Na chanzo chake ni maambukizi ya Virusi ikiwemo HIV(viral infections).

Maambukizi ya virusi kama vile Herpes simplex I na II ni chanzo kikubwa cha tatizo hili la lesions kwenye ngozi, na hutokea eneo lolote la ngozi. Hali hii huweza kupona ndani ya wiki moja mpaka mbili.

kumbuka; Matokeo ya ngozi kuathiriwa ikiwa mtu ana maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni kwa sababu ya kinga ya mwili kuwa dhaifu,

Hii husababisha maambukizi mengine mbali mbali kama vile; Kaposi sarcoma, thrush, pamoja na herpes, ambapo husababishwa na vimelea vingine kuchukulia faida udhaifu huu wa kinga yako ya mwili.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...