Connect with us

Magonjwa

Tatizo la ngozi kukauka na kukakamaa,chanzo,Na tiba

Avatar photo

Published

on

Tatizo la ngozi kukauka na kukakamaa,chanzo,Na tiba

Ngozi kukauka;

Ngozi kukauka kwa jia jingine la kitaalam hufahamika kama xerosis kyutizi mara nyingi husababishwa na sababu za kawaida kama vile hali ya hewa ya umoto au baridi, kuloweka ngozi kwenye maji ya moto na kukosekana kwa unyevu kwenye ngozi.

Visababishi hivi vinavyojulikana huweza kutibika kwa njia ambazo mtu anaweza kuzifanya nyumbani. Hata hivyo baadhi ya watu hupata tatizo kubwa linaloogopesha na kufanya waende hospitali kuonana na daktari wa ngozi.

Ngozi kukauka huambatana pia na kupasuka kwa ngozi, kupata magamba, kupata ramani na miwasho haswa katika maeneo ya viganja vya mikono, mikono na miguuni

Visababishi vya Ngozi kukauka

Zipo hali na magonjwa mbalimbali yanayoweza kupelekea ngozi kukauka, katika sehemu hii utajifunza sababu zinazosababisha kwa kiasi kikubwa.

1. Kuwa na magonjwa ya ngozi kama demataitizi, kontakti demataitizi, pumu ya ngozi, soriasisi

2. Kukaa kwenye hali ya hewa yenye unyevu kidogo

3. Hali ya hewa ya ujoto, kuishi mazingira yenye joto kali

4. Kuoga maji ya moto na kwa muda mrefu au mara kwa mara

5. Matumizi ya sabuni na kemikali zinazokausha ngozi n.k

Dalili za Ngozi kukauka

Dalili hutegemea kisababishi na umri wako, unaweza kupata dalili zifuatazo;

– Kuhisi ngozi kuvuta mara baada ya kuoga au kuogelea

– Ngozi kuwa nyekundu

– Ngozi kuwa na rangi ya majivu

– Kupasuka kwa ngozi au kuwana michirizi

– Kuwasha kwa ngozi

– Kuhisi na kuona ngozi imekunjamana

– Kubabuka kwa ngozi

– Kutokwa na damu kwenye ngozi haswa kwenye michirizi ilozama zaidi

Ni wakati gani wa kumwona daktari?

Mwone daktari endapo:

• Ngozi haijirudii kwenye hali yake ya awali licha ya kufanya juhudi za kujitibu mwenyewe

• Ngozi inabadilika kuwa na rangi nyekundu

• Unakosa usingizi

• Unavidonda kwenye ngozi iliyokauka vitokanavyo na kujikuna au maambukizi

• Ngozi imekauka au kukunjamana katika eneo kubwa la mwili

Vihatarishi vya Ngozi kukauka

Mtu mwenye ngozi yenye mafuta au mwenye ngozi kavu asilia wote wanaweza kukumbwa na tatizo hili la ngozi kukauka na kupasuka. Vihatarishi vingine ni;

  • Umri mkubwa na kuzeeka. Umri zaidi ya miaka 40
  • Kutumia maji yenye chlorine kuoga mara kwa mara
  • Kufanya kazi zinazohusika kuzamisha mwili wako kwenye maji
  • Kuosha ngozi na vimiminika vya moto na mara kwa mara
  • Historia ya kuwa na magonjwa ya ngozi kama demataitizi
  • Hali ya hewa, kipindi cha baridi na joto ambapo hali ya hewa inakosa unyevu wa kutosha

Matibabu ya nyumbani kwa tatizo la Ngozi kukauka

Badili mtindo wa maisha kwa kufanya mambo yafuatayo;

✓ Kunywa maji ya kutosha

✓ Chagua kilainisha ngozi kizuri. Mafuta ya Vaseline yasiyo na pafyumu ni mazuri zaidi

✓ Usioge kwa kutumia maji ya moto

✓ Usioge kila siku

✓ Usioge zaidi ya dakika 10 kwa siku

✓ Tumia sabuni za kuongeza unyevu kwenye ngozi unapooga

✓ Paka mafuta ya kuleta unyevu wkenye ngozi mara unapomaliza kuoga

✓ Usifanye scrubu/kusababisha miwasho kwenye maeneo ngozi imekauka

✓ Endapo ni msimu wa masika au baridi, tumia mashine za kuongeza unyevu kwenye hewa kama ukiweza

Kinga ya tatizo la Ngozi kukauka

Kujikinga fanya mambo yaliyotajwa kwenye matibabu ya nyumbani pamoja na;

  • Kuvaa glavu wakati unashika majimaji endapo unahatari ya kukauka mikono
  • Jifunike jinsi uwezavyo kwenye msimu wa baridi

Madhara ya Ngozi kukauka

Madhara ya tatizo la ngozi kukauka ni pamoja na;

– Kupelekea Kuamka kwa pumu ya ngozi

– Kubanduka kwa ngozi

– Kupata maambukizi kwenye ngozi haswa kwenye maeneo ambayo yamepasuka n.k

NB: wasiliana na Wataalam wa afya kwa ushauri na tiba zaidi kabla ya kuchukua hatua yoyote ile ya kiafya baada ya kusoma makala hii.

AU KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU NA TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...