Connect with us

Utafiti

Utafiti mpya juu ya saratani ya Tezi Dume unaweza kusababisha utambuzi bora na matibabu mazuri Zaidi

Avatar photo

Published

on

Utafiti mpya juu ya saratani ya Tezi Dume unaweza kusababisha utambuzi bora na matibabu mazuri Zaidi.

Watafiti wanasema; Teknolojia ya artificial intelligence imewasaidia kugundua aina ndogo mbili za Saratani ya Tezi dume(two subtypes of prostate cancer).

Wanaeleza kwamba; Aina hizi mpya Za Saratani ya Tezi dume zilizogunduliwa na teknolojia hii zinaweza kutumika ili kugundua vizuri na kwa haraka mgonjwa wa Saratani ya Tezi dume pamoja na Kuboresha Matibabu yake.

Nanukuu maneno kwenye utafiti huu;

“The new prostate cancer “evotypes” could be used to better diagnose patients and improve treatments.

Pia waliongeza kwa Kusema; Matokeo ya utafiti huu yanaweza kuwa muhimu sana katika kutibu Ugonjwa huu pale ambapo tiba imetolewa kwa Kiwango cha chini au kupita kiasi.

The findings could be especially valuable in treating a disease where both under-treatment and over-treatment can occur.

Watafiti hao wanaeleza kwamba; mchakato huu ulisaidiwa na artificial intelligence (AI), Teknolojia hii ndyo iliyosaidia kugundua aina hizi mbili ndogo za Saratani ya Tezi Dume — Na matokeo haya yatasaidia sana kwenye kuboresha ugunduzi na matibabu kwa wagonjwa wa tezi dume pamoja na kuzuia kufanyiwa upasuaji usio wa walazima.

Matokeo yote ya Utafiti huu yalichapishwa kwenye jarida la “the journal Cell Genomics”.

Kwenye Utafiti huo, Watafiti kutoka chuo kikuu cha Oxford pamoja na Chuo kikuu cha Manchester nchini Uingereza; ndyo waliogundua aina ndogo mbili za Saratani ya Tezi dume “prostate “evotypes” kwa kutumia mfumo wa AI kuchambua data za DNA.

Utafiti huu ulifanyika kwa kuchukua Sample ya Washiriki 159, Na;

Watafiti wanasema matokeo hayo yanaweza pia kusaidia kukuza na kuboresha upimaji wa genes(genetic tests), Na hii inaweza kuwapa wagonjwa ubashiri na matibabu sahihi.

Rupal Mistry, PhD, meneja mkuu wa ushiriki wa sayansi katika Utafiti wa Saratani Uingereza, ambapo alisaidia kufadhili utafiti huo, aliiambia Medical News Today kwamba utafiti huo “uliweka misingi ya matibabu binafsi kwa watu walio na saratani ya tezi dume, na kuruhusu watu zaidi kuushinda ugonjwa huo”

“Utafiti wetu unaonyesha kuwa uvimbe wa tezi dume hubadilika kulingana na njia nyingi, hivyo basi kusababisha aina mbili za magonjwa,” alisema Dk. Dan Woodcock, mtafiti mkuu na kiongozi wa kikundi katika sayansi ya data ya tafsiri katika Idara ya Nuffield ya Sayansi ya Upasuaji katika Chuo Kikuu cha Oxford. ,

katika taarifa kwa vyombo vya habari. “Uelewa huu ni muhimu kwani huturuhusu kuainisha tumors kulingana na jinsi saratani inavyoibuka badala ya mabadiliko ya jeni au mifumo ya kujieleza.”

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...