Connect with us

Utafiti

Madhara ya kupachika chipu kwenye ubongo wa binadamu

Avatar photo

Published

on

Telepathy: Chipu ya ubongo ambayo Elon Musk anadai aliiweka ndani ya mwanadamu inaleta mashaka gani?

Kampuni ya Musk haiko peke yake katika kinyang’anyiro cha chipu za ubongo zisizotumia waya.

Je, siku inakaribia ambapo wanadamu wataweza kudhibiti kompyuta kwa kutumia akili zao?

Mjasiriamali Elon Musk alichochea mjadala huo kwa kutangaza siku ya Jumatatu kwamba kampuni yake ya Neuralink ilifanikiwa kupachika moja ya chipu zake za ubongo ndani ya binadamu.

Katika chapisho kwenye X, Elon Musk alisema kuwa shughuli za “kuleta matumaini” za ubongo ziligunduliwa baada ya kuwekewa chipu hizo na kwamba mgonjwa “amepona vizuri.”

Lengo la kampuni ni kuifanya teknolojia iwe yenye kufaa kwa ajili ya kutibu magonjwa magumu ya neva.

“Kwa kampuni yoyote inayotengeneza vifaa vya matibabu, jaribio la kwanza la mwanadamu ni hatua muhimu,” anasema Profesa Anne Vanhoestenberghe kutoka taasisi ya King’s London.

Kwa mujibu wa mtaalamu huyo, makampuni kadhaa yanafanyia kazi bidhaa zinazotia matumaini , lakini ni machache tu ambayo yamefanikiwa kuingiza vifaa vyao kwa binadamu.

Vanhoestenberghe anaonya, hata hivyo, kwamba “mafanikio ya kweli” yanaweza kupimwa kwa muda mrefu tu na kwamba “Elon Musk ni mzuri sana katika kuchochea hisia kuhusu kampuni yake.”

Hadi sasa, hakuna uthibitisho wa kujitegemea wa madai ya Musk. Neuralink pia haikutoa taarifa kuhusu utaratibu huo.

BBC imewasiliana na kampuni hiyo na mdhibiti wa matibabu wa Marekani, Mamlaka ya Chakula na Dawa (FDA), kwa maoni.

Jinsi Telepathy inavyofanya kazi?

Katika chapisho lingine kwenye X, Musk alionyesha kuwa bidhaa ya kwanza ya Neuralink itaitwa Telepathy.

“Watumiaji wa kwanza watakuwa wale ambao wamepoteza udhibiti wa viungo vyao,” aliongeza Bw. Musk.

Kisha akamtaja Stephen Hawking, mwanasayansi maarufu wa Uingereza ambaye aliugua ugonjwa mbaya wa ubongo.

“Fikiria kama mchuuzi angeweza kuwasiliana haraka kuliko dalali. Hilo ndilo lengo.”

Utaratibu huo unahusisha kupandikiza chipu ndogo, iliyofungwa kwa kifaa hermetically moja kwa moja kwenye ubongo wa mgonjwa.

Chipu hii imeunganishwa kwa vifaa vidogo vya kielekroniki 1,024, vyenye ukubwa ulio sawa na ywele za binadamu, na kinaendeshwa na betri inayoweza kuchajiwa bila waya.

Kifaa hiki kinawasiliana na kompyuta ya nje, ikiruhusu kutuma na kupokea ishara.

Je, lenzi ya Neuralink iko salama?

Kampuni kadhaa zimeingia katika matumizi ya matibabu ya vipandikizi vya chip za ubongo.

Wasiwasi kuhusu teknolojia hii ni pamoja na hatari za kimwili za muda mfupi, athari za muda mrefu za matibabu na maswali ya kimaadili.

Uendeshaji wowote wa ubongo hubeba hatari.

Mnamo Disemba 2022, ripoti ya Reuters ilionyesha kuwa Neuralink ilishiriki katika majaribio ambayo yalisababisha vifo vya takriban wanyama 1,500, wakiwemo kondoo, nyani na nguruwe.

Mnamo Julai 2023, Idara ya Kilimo ya Marekani, ambayo ina jukumu la kuchunguza masuala ya ustawi wa wanyama, ilisema haikukubaini ukiukwaji wowote wa sheria za utafiti wa wanyama katika kampuni ya Musk, ingawa uchunguzi tofauti unaendelea.

Ukweli kwamba FDA iliidhinisha majaribio ya kibinadamu, hata hivyo, ina maana kwamba kampuni ya Musk imeshinda baadhi ya vikwazo vyake.

Labda wasiwasi mkubwa zaidi ni matokeo ya muda mrefu ya kutumia kifaa kama hicho kwenye ubongo, chombo kigumu ambayo bado hayajajulikana.

Kwa vile hii ni tasnia changa, hakuna data za kutosha kuhusu madhara yanayoweza kutokea. Hii itabadilika na majaribio ya kibinadamu na itakuwa muhimu kwa maendeleo ya bidhaa zinazofanana.

Maswali ya kimaadili ni ya kibinafsi zaidi. Teknolojia hizi huibua wasiwasi kuhusu ulinzi wa data, matumizi yanayowezekana na uwezekano wa kuimarisha uwezo wa utambuzi wa binadamu.

Miradi mingine

Nchini Uchina, kituo kimejitolea pekee kwa utafiti na uvumbuzi katika uwanja wa ujumuishaji wa ubongo na kompyuta.

Wakati teknolojia ya Musk ikijadiliwa kufuatia tangazo lake, baadhi ya wapinzani wake wamekuwa na teknolojia hii miongo miwili.

Kampuni ya Marekani ya Blackrock Neurotech, yenye makao yake makuu katika jimbo la Utah, ilitekeleza njia ya kwanza kati ya nyingi za kompyuta za ubongo mwaka wa 2004.

Precision Neuroscience, iliyoundwa na mmoja wa waanzilishi-wenza wa Neuralink, pia inalenga kusaidia watu waliopooza.

Kipandikizi chake kinaonekana kama kipande chembamba cha mkanda ambacho huwekwa kwenye uso wa ubongo na kinaweza kupandikizwa kupitia “cranial microslit,” ambayo kampuni inasema ni utaratibu rahisi zaidi.

Vifaa vingine vilivyopo pia vimetoa matokeo.

Katika tafiti mbili tofauti za kisayansi zilizofanywa hivi karibuni nchini Marekani, vipandikizi vilitumiwa kufuatilia shughuli za ubongo wakati mtu alipojaribu kuongea, shughuli ambayo inaweza kuamuliwa ili kuwasaidia binadamu katika mawasiliano.

Makampuni mengine yamefanya maendeleo sawa katika eneo hili, ikiwa ni pamoja na École Polytechnique Fédérale de Lausanne (EPFL) ya nchini Uswisi, ambayo iliweza kumwezesha mtu aliyepooza kutembea kwa kufikiri tu.

Ili kufanya hivyo, vipandikizi vya kielektroniki viliwekwa kwenye ubongo na uti wa mgongo wa mwanamume huyo ili kuwasilisha mawazo yake bila waya kwenye miguu yake.

Maelezo ya awali ya maendeleo ya utafiti huu yalichapishwa katika jarida lililopitiwa na jarida la tathimini ya uvumbuzi wa kisayansi – Nature, mnamo mwezi Mei 2023.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...