Connect with us

Utafiti

Wakati watu milioni 783 wakilala njaa, moja ya tano ya chakula chote kinaishia jalalani: UNEP

Avatar photo

Published

on

Wakati watu milioni 783 wakilala njaa, moja ya tano ya chakula chote kinaishia jalalani: UNEP

Wakati theluthi moja ya wanadamu wanakabiliwa na uhaba  mkubwa wa chakula, duniani sawa na milo bilioni moja inapotea kila siku, imesema leo ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP  ni moja ya tano ya chakula hutupwa na kuishia jalalani.

Ripoti ya UNEP ambayo ni ya “Kielelezo cha Taka za Chakula 2024” inaangazia takwimu za hivi karibuni kuanzia mwaka 2022 ambazo zinaonyesha kuwa tani bilioni 1.05 za chakula zilipotea.

Asilimia 19 ya chakula ambacho kipo kwa ajili ya watumiaji kilipotea kwa jumla katika maduka ya rejareja, sekta ya huduma ya chakula na viwango vya kaya.

Hiyo ni pamoja na karibu asilimia 13 ya chakula kilichopotea katika mnyororo wa usambazaji, kama inavyokadiriwa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa FAO, kuanzia tu baada ya mavuno hadi katika hatua ya kuuzwa.

Janga la kimataifa 

“Upotevu wa chakula ni janga la kimataifa. Mamilioni ya watu watakuwa na njaa leo huku chakula kikiharibika kote duniani,” amesema Inger Andersen, Mkurugenzi Mtendaji wa UNEP, akieleza kuwa suala hili linaloendelea sio tu linaathiri uchumi wa dunia lakini pia linazidisha mabadiliko ya tabianchi, upotevu wa bayoanuwai na uchafuzi wa mazingira.

Ripoti hiyo ya UNEP inasema takataka nyingi za chakula duniani zinatokana na kaya, jumla ya tani milioni 631 au hadi asilimia 60 ya jumla ya chakula kilichotuwa. Sekta ya huduma ya chakula na biashara ya rejareja iliwajibika kwa tani milioni 290 na milioni 131 milioni.

Kwa mujibu wa waandishi wa ripoti kwa wastani, kila mtu hupoteza kilo 79 za chakula kila mwaka. Hii ni sawa na milo 1.3 kila siku kwa kila mtu ulimwenguni aliyeathiriwa na njaa.

Sio tatizo la nchi tajiri pekee

Tatizo haliko katika mataifa tajiri pekee. Kufuatia kuongezeka maradufu kwa matumizi ya takwimu tangu Ripoti iliyochapishwa ya Fahirisi ya Taka za Chakula ya 2021 kumekuwa na ongezeko la muunganiko kati ya matajiri na maskini.

Nchi za kipato cha juu, kipato cha juu-kati, na nchi za kipato cha chini hutofautiana katika viwango vya wastani vya taka za chakula cha kaya kwa kilo saba tu kwa kila mtu kwa mwaka.

Mgawanyiko mkubwa unakuja katika tofauti kati ya wakazi wa mijini na vijijini. Ripoti inasema katika nchi za kipato cha kati, kwa mfano, maeneo ya vijijini kwa ujumla yanapoteza kidogo.

Ufafanuzi mmoja unaowezekana ni katika kuchakata tena mabaki ya chakula cha wanyama, chakula cha mifugo, na kutengeneza mboji nyumbani katika maeneo ya vijijini.

Ripoti inapendekeza kuangazia juhudi madhubuti katika kuimarisha upunguzaji wa taka za chakula na kutengeneza mboji mijini.

Utupaji chakula na mabadiliko ya tabianchi 

Ripoti inasema kuna uwiano wa moja kwa moja kati ya viwango vya joto vya wastani na viwango vya taka za chakula.

Nchi zenye joto zaidi zinaonekana kuwa na taka nyingi zaidi za chakula kwa kila mtu katika kaya, kutokana na uwezekano wa kuwa na  ongezeko la matumizi ya vyakula vilivyo na sehemu chache za kuliwa na ukosefu wa majokofu na suluhu za kuhifadhi chakula hicho.

Hali ya juu ya msimu wa joto, matukio ya joto kali na ukame hufanya iwe vigumu zaidi kuhifadhi, kuchakata, kusafirisha na kuuza chakula kwa usalama, na mara nyingi husababisha kiasi kikubwa cha chakula kuharibika au kupotea.

Mtaalamu wa UNEPanasema anaamini kuwa “Kwa kuwa upotevu wa chakula na taka huzalisha hadi asilimia 10 ya uzalishaji wa gesi chafuzi duniani karibu mara tano ya jumla ya uzalishaji ikilinganishwa na sekta ya anga kupunguza uzalishaji wa uchafuzi wa chakula ni muhimu.” 

Chakula kwa ajili ya matumaini

Kuna nafasi ya matumaini, ripoti inapendekeza kuwepo ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi ili kupunguza upotevu wa chakula na athari kwa mabadiliko ya tabianchi na shinikizo la maji na mapendekezo yanakumbatiwa na idadi inayoongezeka ya serikali za ngazi zote.

Mifano ni pamoja na Japan na Uingereza ambao wana punguzo la asilimia 18 na asilimia 31 zikionyesha kuwa mabadiliko katika viwango vya utupaji chakula yanawezekana, ikiwa chakula kitagawiwa ipasavyo.

Ripoti hiyo iliyochapishwa kabla ya Siku ya Kimataifa ya kutotupa taka inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 30 Machi mwaka huu ikibeba kichwa  Ripoti “Tathimini ya uchafuzi wa taka za Chakula”, imeandaliwa kwa ushirikiano na WRAP, NGO ya Uingereza inayoshughulikia masuala ya tabianchi.

Ripoti inatoa makadirio sahihi zaidi ya kimataifa kuhusu upotevu wa chakula katika viwango vya reja reja na kwa walajii, huku ikitoa mwongozo kwa nchi kuhusu kuboresha ukusanyaji wa data na mbinu bora, kulingana na Lengo la Maendeleo Endelevu la 12.3 la kupunguza nusu ya upotevu wa chakula ifikapo mwaka 2030.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...