Connect with us

Magonjwa

Ugonjwa wa UTI ni nini? na Dalili zake ni Zipi? Na je nani yupo kwenye hatari Zaidi kupata?

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa wa UTI ni nini? na Dalili zake ni Zipi? Na je nani yupo kwenye hatari Zaidi kupata?

Ni kweli kwamba kuna Makala Nyingi sana Mtandaoni kuhusu Ugonjwa wa UTI, Lakini leo kupitia makala hii tutagusa vitu ambavyo pengine hujawahi kuvisikia popote.

Ugonjwa wa UTI

Ugonjwa wa UTI huhisisha maambukizi kwenye njia na mfumo mzima wa mkojo na kwa kitaalam hujulikana kama Urinary tract infections (UTIs),

Maambukizi haya hutokea pale ambapo viini vya magonjwa kama vile bacteria vinaposhambulia kwenye mfumo wa Mkojo.

Ugonjwa wa UTI ni ugonjwa sumbufu kwa watu wengi duniani sio Tanzania pekee, Mfano; kwa nchi ya Marekani pekee, Zaidi ya watu million 8.1 humuona daktari kila Mwaka kwa Sababu ya tatizo hili.

Ugonjwa huu huathiri maeneo mbali mbali kwenye mfumo wa Mkojo ikiwemo;

  • Figo
  • Njia ya mkojo,ureters,Urethra
  • Kibofu cha Mkojo n.k

Watu ambao wapo kwenye hatari ya Kupata UTI

Kutokana na utafiti wa Mwaka 2022 ulionyesha kwamba; Kundi hili la watu lipo kwenye hatari zaidi ya kupata Ugonjwa huu wa UTI;

  • Wanawake
  • Wajawazito
  • Wenye matatizo yanayosababisha upungufu wa kinga mwilini
  • Wazee
  • Wanaotumia Mpira wa mkojo maarufu kama Catheters
  • Waliopo kwenye Tiba ya mionzi(radiotherapy treatment)
  • Wenye matatizo ya Figo
  • Wenye Ugonjwa wa Kisukari
  • Wenye maambukizi ya UTI hapo awali
  • Wanaojisaidia kwenye mazingira machafu; mfano ya vyoo vichafu, maji machafu n.k

Kwa ujumla, wanawake wana uwezekano mkubwa wa kupata UTI kuliko wanaume, huku asilimia 40-60% ya wanawake wakipata maambukizi angalau mara moja katika maisha yao na asilimia 10% ya wanawake wanapata UTI mara moja kwa mwaka. Wanawake wako katika hatari zaidi kuliko wanaume kwa sababu mrija wao wa mkojo ni mfupi, ambayo inafanya iwe rahisi kwa bakteria kuingia kwenye kibofu.

Dalili za Ugonjwa wa UTI

Dalili za ugonjwa wa UTI tumezigawanya katika makundi mbali mbali ya watu mfano;

  • wazee,
  • watoto,
  • wanaume,
  • wanawake,
  • wajawajazito n.k

Kwa Ujumla,Nazo ni kama ifuatavyo;

– Kuhisi mkojo mara kwa mara na Kukojoa mara kwa mara

– Kupata maumivu,usumbufu wowote au kuhisi kuungua wakati wa kukojoa

– Kuhisi Mkojo kwa ghafla

– Mkojo kutoa harufu mbaya sana, na wakati mwingine kuwa kama na vidamu damu

– Kuhisi uchovu wa mwili kupita kiasi

– Kupata maumivu ya misuli,joints pamoja na mifupa

– Kuhisi maumivu ya kichwa

– Kuhisi homa

Ikiwa maambukizi yamepanda mpaka sehemu ya juu kwenye mfumo wa mkojo(upper urinary tract) inaweza kusababisha;

  • Homa: nyuzijoto 100.4 ÂşF (38 ÂşC)  au Zaidi
  • Hali kama ya kuchanganyikiwa
  • Kupata maumivu makali ya mgongo
  • Mwili kutetemeka sana
  • Kuhisi kichefuchefu na kutapika

Bacteria ambao husababisha Zaidi UTIs ni pamoja na;

– Escherichia coli

– Protus mirabilis

– Enterococcus faecalis

– Staphylococcus saprophyticus

– Klebsiella pneumoniae

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...