Connect with us

Magonjwa

Utafiti: Kila mwanamke 1 kati ya 3 hupatwa na tatizo la kiafya wakati wa kujifungua.

Avatar photo

Published

on

Zaidi ya mwanamke 1 kati ya 3 duniani mara nyingi hukutwa na matatizo ya kiafya pindi wanapojifungua hii inaweza kutokea ndani ya mwezi kulingana na utafiti uliofanywa na (Lancet Global Health).

Matatizo hayo yanayowakumba wanawake hutokea nyakati mbalimbali ikiwemo:

  • wakati wa kujamiana ni 35%

maumivu ya sehemu ya chini ya mgongo 32%

  • Kushindwa kujizuia mkojo 8%-31%
  • Kushindwa kujizuia choo 19%
  • Woga wakati wa kujifungua 6%-15%
  • Maumivu ya sehemu inayounganisha eneo la haja kubwa na ndogo(perineal pain) 11%
  • Msongo wa mawazo 11%-17%
  • Wasiwasi 9%-24%
  • Kushindwa kupata ujauzito mwingine baada ya kujifungua 11%

Matatizo mengine yanayowakumba wanawake wakati wa kujifungua ni pamoja na;

  1. Matatizo yanayotokea kwenye via vya uzazi mfano pelvic organ prolapse.
  2. Mwanamke kupata msongo wa mawazo kutokana na maumivu aliyopata baada ya kujifungua(
    posttraumatic stress disorder).
  3. Tatizo la tezi ya shingoni kutokufanya kazi vizuri(thyroid dysfunction).
  4. Tatizo la tishu za matiti kuvimba kutokana na maambukizi ya bakteria n.k hali inayosababisha maumivu na kuvimba kwa matiti hasa wakati wa kunyonyesha(mastitis).
  5. Tatizo la kuumia kwa neva.
  6. Tatizo la mama kupata hali ya ukichaa baada ya kujifungua(psychosis).

Uchunguzi unasema: wanawake wengi humuona daktari wiki ya 6 mpaka 12 baada ya kujifungua na kwa nadra sana baadhi yao ndio huweza kumuelezea daktari juu ya matatizo yanayowapata baada ya kujifungua, kwa baadhi ya matatizo hudhihirika na kuonekana zaidi kuanzia wiki ya sita na kuendelea.

 

 

Content creator&editor (Ms.Asifiwe)Jukumu langu kwako ni kuhakikisha unapata elimu ya kutosha pamoja na Updates mbali mbali ndani ya https://afyaclass.com  Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa1 month ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa2 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa3 days ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa4 days ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa6 days ago

Chuchu kutoa maziwa ni dalili ya nini

Chuchu kutoa maziwa ni dalili ya nini Chuchu kutoa maziwa inaweza kuwa dalili ya ujauzito au inaweza kutokea kwa sababu...

Magonjwa1 week ago

Vipele Sehemu za Siri,Chanzo na Tiba yake

Vipele kwenye uume Ni dalili inayotokea sana kwa wanaume, licha ya kuweza sababishwa na magonjwa ya zinaa, mara nyingi vipele...

Magonjwa1 week ago

Ukambi ni ugonjwa gani,Soma hapa kufahamu

Ukambi ni ugonjwa gani? Ukambi kwa jina lingine rahisi ni surua),ambapo ni ugonjwa wa kuambukiza unaoenezwa sana kupitia mgusano, Ugonjwa huu...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake Chlamydia ni ugonjwa unaowapata watu wengi na unaenezwa kwa ngono,Hivo chlamydia ni miongoni mwa...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba Pangusa ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa ambayo hutokea kwa jinsia zote mbili(mwanaume na...

Magonjwa2 weeks ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa3 weeks ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...