Connect with us

Magonjwa

Hii ndyo Orodha mpya ya magonjwa ya zinaa kwa Sasa

Avatar photo

Published

on

Hii ndyo Orodha mpya ya magonjwa ya zinaa kwa Sasa.

Magonjwa ya zinaa

Magonjwa ya Zinaa ni yale magonjwa yote ambayo huenezwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa kufanya mapenzi.

Magonjwa haya unaweza kuyapata kwa njia kama vile;

  • Vaginal sex
  • oral sex
  • au anal sex.
  • Pia huweza kusambazwa kupitia ngozi kugusana
  •  kuenea kwa kugusana kwa karibu sana kimwili kama vile kupapasana,ingawa hii ni mara chache.

Magonjwa ya Zinaa huweza kuenezwa baada ya mtu kupata maambukizi ya Viini mbali mbali vya magonjwa kama vile;

  • Bacteria
  • Fangasi
  • Virusi
  • Parasite n.k

Orodha ya magonjwa ya zinaa

Hii ndyo orodha ya magonjwa ya Zinaa kwa Mujibu wa vituo vya kudhibiti na kuzuia magonjwa-CDC, pamoja na Shirika la Afya Duniani(WHO);

1. Bacterial Vaginosis

Maambukizi ya bacteria ukeni, Soma Zaidi ugonjwa huu wa Bacterial Vaginosis hapa.

2. Ugonjwa wa Chlamydia

Ugonjwa wa chlamydia kwa jina lingine hujulikana kama Ugonjwa wa pangusa, Soma Zaidi hapa ugonjwa huu wa Chlamydia.

3. Ugonjwa wa Kisonono(Gonorrhea)

Soma hapa Ugonjwa huu wa kisonono,dalili,matibabu.

4. Ugonjwa wa homa ya Ini(Hepatitis)

Pia virusi wa ugonjwa huu unaweza kuwapata wakati wa kufanya mapenzi

Soma Zaidi hapa, Ugonjwa wa hepatitis

5. Maambukizi ya Herpes

Genital herpes pia ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa,lakini watu wengi wenye maambukizi haya hawajui kama wanayo.

6. Ukimwi,VVU(HIV/AIDS)

Watu walio na magonjwa ya zinaa wana uwezekano mkubwa wa kupata pia virusi vya Ukimwi(VVU), ikilinganishwa na watu ambao hawana magonjwa ya zinaa.

Soma Zaidi hapa,Ukimwi pamoja na dalili zake

7. Maambukizi ya Virusi wanaojulikana kama Human Papillomavirus (HPV)

Soma Zaidi hapa kuhusu kirusi hiki cha HPV na Madhara yake

8. Mycoplasma genitalium (Mgen)

Mycoplamsa genitalium, au Mgen ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa ambayo mtu huweza kupata dawa jamii ya antibiotics akatumia na kupona.

9. Ugonjwa wa Kaswende(Syphilis)

Kaswende pia ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa ambayo huwapata watu wengi Zaidi,

Soma Zaidi hapa ugonjwa wa Kaswende,chanzo,dalili na Tiba.

10. Maambukizi ya Trichomoniasis

Soma Zaidi hapa tatizo hili la trichomoniasis 

11. Kwa Mujibu wa CDC, magonjwa haya pia yaliwekwa kwenye Orodha yao ya magonjwa ya Zinaa;

  • Maambukizi ya bacteria kwenye Via vya Uzazi(PID)
  • Chancroid,
  • scabies n.k.

Soma Zaidi hapa:

1. Jinsi ya kujikinga na magonjwa ya Zinaa

2. Watu ambao wapo kwenye hatari ya kupata magonjwa ya Zinaa

3. Dalili za magonjwa ya Zinaa

4. Matibabu ya magonjwa ya Zinaa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...