Connect with us

Magonjwa

Dalili za Ugonjwa wa Kaswende,chanzo chake(Syphilis)

Avatar photo

Published

on

Dalili za Ugonjwa wa Kaswende,chanzo chake(Syphilis)

Kaswende ni ugonjwa wa zinaa ambao hutokana na maambukizi ya bacteria wanaojulikana kwa jina la Treponema pallidum,

Unaweza kupata ugonjwa wa Kaswende kupitia mgusano(direct contact) kwenye michubuko au vidonda ambavyo tayari vimeathiriwa na bacteria hawa, michubuko au vidonda hivi huweza kuwepo maeneo kama vile;

– Mdomoni

– Kwenye Uume

– Kwenye Uke

– Sehemu ya haja kubwa n.k

Asilimia 99% ya maambukizi haya ya kaswende,watu huyapata wakati wakifanya mapenzi au tendo la ndoa.

KUMBUKA; Watoto wanaweza kupata ugonjwa wa kaswende kama mama zao wenye ugonjwa huu hawakutibiwa,hii hujulikana kama congenital syphilis.

HUWEZI KUPATA KASWENDE KWA;

– Kushare vyoo

– Kushare vijiko au vyombo vya kula

– Kuvaa nguo za mtu mwingine n.k

Na hii ni kwa sababu bacteria wanaosababisha ugonjwa wa kaswende hawawezi kuishi kwa Muda mrefu nje ya mwili wako.

WATU AMBAO WAPO KWENYE HATARI ZAIDI YA KUPATA UGONJWA HUU WA KASWENDE

• Wanaofanya mapenzi bila kinga/Condom(Ngono zembe)

• Wenye wapenzi wengi(multiple sexual partners)

• Wanaume wanaofanya mapenzi na wanaume wenzao

•Wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile

• Wenye maambukizi ya UKIMWI

• Wenye wapenzi ambao tayari wana ugonjwa huu wa kaswende

DALILI ZA UGONJWA WA KASWENDE NI ZIPI?

Ugonjwa huu wa kaswende umegawanyika kwenye hatua Nne yaani;

– primary,secondary,latent na tertiary,

Kwenye hatua mbili za mwanzo(primary na secondary) kaswende huambukiza zaidi, kwenye hidden au latent stage kaswende hubaki kuwa active lakini mgonjwa anaweza asionyeshe dalili zozote, na kwenye Tertiary Stage hapa ugonjwa huleta madhara zaidi kwenye afya.

(1).Primary syphilis

Hapa huhusisha wiki 3 mpaka 4 toka Mgonjwa kuambukizwa bacteria wanaosababisha Kaswende,

Hapa dalili zinaanza kuonekana kama kidonda kidogo sana ambacho hata hakina maumivu yoyote kwa kitaalam huitwa chancre,

Kidonda hiki kidogo hakina maumivu yoyote ila kinakuwa na uwezo mkubwa sana wa kuambukiza, Mtu anaweza hata asijue kwamba ana kijidonda hiki(chancre),

Na kinatokea sehemu ambapo bacteria wemeingilia Mwilini kama vile Mdomoni,Sehemu za Siri au kwenye njia ya haja kubwa.

Wastani kidonda huweza kuonekana wiki 3 baada ya kuambukizwa, lakini huweza kuchukua siku 10 mpaka 90 kuonekana, na Wakati mwingine Mtu huweza kuwa na dalili Moja tu ya Kuvimba kwa tezi la Lymph(Swollen lymph nodes).

Na mtu mwingine huweza kuambukizwa kwa kugusana na kijidonda hicho(Direct contact) hasa wakati wa kufanya mapenzi.

(2).Secondary syphilis

Katika hatua hii Ngozi inaweza kuwa na Rashes,maumivu ya koo au mtu kuwa na sore throat,

Rashes hizi kwenye ngozi haziwashi na mara nyingi huonekana kwenye viganja vya mikono pamoja na kwenye miguu kwa chini(sole), japo pia zinaweza kuonekana maeneo mengine.

Na watu wengine wanaweza wasijue mpaka zinaisha zenyewe.

Dalili zingine kwenye secondary syphilis ni pamoja na;

– Kupata maumivu ya kichwa

– Kuvimba kwa lymph nodes

– Mwili kuchoka sana kuliko kawaida

– Kupata Homa

– Uzito wa mwili kushuka au kupungua

– Nywele kunyonyoka(hair loss)

– Maumivu kwenye joints n.k

KUMBUKA;Kuna umuhimu mkubwa wa kuwa makini kwa Mgonjwa mwenye shida hii,maana tafiti nyingi zinaonyesha ugonjwa wa kaswende unaweza kuwa na dalili ambazo hufanana kabsa na magonjwa mengine au Nonspecific symptoms, hali ambayo inaweza kuwa ngumu hata mtu kujua kama ana tatizo hili.

(3).Latent syphilis

Hatua ya tatu ya ugonjwa wa kaswende inajulikana kama latent au hidden, stage.

Dalili zote zilizoonekana kwenye hatua ya kwanza na ya pili zinapotea, hivo hakuna dalili yoyote inaonekana kwenye stage hii ndyo maana ya kupewa jina la hidden au latent stage.

Japokuwa dalili zimepotea ila Bacteria bado wapo mwilini na wakati mwingine huweza kuchukua muda kabla ya kwenda stage ya nne(tertiary stage of syphilis).

(4).Tertiary syphilis

Baadhi ya tafiti zinaonyesha ni asilimia 14% mpaka 40% ya watu wenye ugonjwa wa kaswende hufika stage hii,

Hatua hii ya ugonjwa wa kaswende inaweza kuchukua Muda mrefu sana(miaka) mpaka mtu kuingia kwenye stage hii toka siku ya kwanza ya maambukizi(initial infection).

Na madhara yake kwenye stage hii ni makubwa sana hata kuhatarisha maisha ya mgonjwa,

BAADHI YA MADHARA KWENYE HATUA HII YA UGONJWA WA KASWENDE NI PAMOJA NA;

– Mgonjwa kuwa kipofu au kutopoteza uwezo wa kuona(blindness)

– Mgonjwa kupoteza uwezo wa kusikia

– Kuathiriwa afya ya akili, kuwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu n.k

– Kuharibiwa kwa soft tissue pamoja na mifupa

– Kupatwa na matatizo kwenye mfumo wa fahamu(neurosyphilis), ambapo bacteria wa kaswende hushambulia ubongo pamoja na uti wa mgongo.

– matatizo kama kiharusi(stroke), meningitis n.k

– Kupatwa na matatizo la Moyo n.k

KWA UPANDE WA MTOTO ALIYEZALIWA NA UGONJWA WA KASWENDE(congenital syphilis) ANAWEZA KUWA NA DALILI HIZI;

1. Kuchelewa hatua zake za ukuaji, kama kukaa,kusimama,kuongea n.k

2. Kuwa na dalili za kifafa au degedege

3. Kuwa na rashes kwenye ngozi

4. Kupandisha Homa

5. Ngozi na sehemu zingine kuwa na manjano(jaundice)

6. Kuwa na dalili za kuishiwa na damu(anemia)

7.Kuwa na vidonda ambazo vinaambukiza zaidi(infectious sores)n.k

MATIBABU YA UGONJWA WA KASWENDE

Moja ya tiba kubwa kwa ugonjwa wa kaswende kwa mama mjamzito na watu wengine ni pamoja na kupewa dawa ya Penicillin ambapo hutolewa kwa mfumo wa sindano(Penicillin Injection).

Lakini kwa mtu mwenye allergy na Penicillin huweza kupewa antibiotics zingine ikiwemo;doxycycline,ceftriaxone n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...