Magonjwa
MNYONYESHE MTOTO MAZIWA YA MAMA ACHA KUKIMBILIA MAZIWA YA KOPO
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2022/02/images-5-1.jpeg)
MNYONYESHE MTOTO MAZIWA YA MAMA ACHA KUKIMBILIA MAZIWA YA KOPO
Kumeibuka tabia ya wakina mama wengi hivi sasa kuwa wavivu wa kunyonyesha watoto wao na kuanza kukimbilia maziwa ya Kopo,
Hii sio afya kabsa kwa mtoto wako, kumbuka maziwa ya mama ndyo chakula pekee chenye virutubisho vyote(first class) na kinga ya kutosha dhidi ya magonjwa yote kwa mtoto wako,
Kinga ya mtoto dhidi ya magonjwa huwa ndogo sana hasa kwenye miezi mitatu(3) ya mwanzoni baada ya mtoto kuzaliwa,
Lakini maziwa ya mama pekee ndyo huweza kutoa kinga au kuimarisha kinga ya mtoto kwenye kipindi chote hiki,
HIVO BASI,Kama wewe ni mjanja utakimbilia maziwa ya mama(kunyonyesha) na sio maziwa ya kopo kama unataka mtoto wako kuwa na afya bora.
Kumbuka; Unyonyeshaji wa maziwa ya mama ni wa miaka 2 au 3 ukiweza,lakini miezi sita ya mwanzoni(6) baada ya mtoto kuzaliwa hupewa maziwa ya mama peke yake bila kuchanganyiwa na kitu kingine chochote kwa kitaalam EXCLUSIVE BREASTFEEDING.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
Uzazi/Ujauzito10 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani