Connect with us

Magonjwa

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA KISUKARI

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa wa kisukari huweza kutokea kwa mtu yoyote,japo kuna makundi ya watu ambao wapo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kisukari na makundi hayo ni kama vile;

• Wenye historia ya watu kuumwa kisukari katika familia zao

• Wenye tatizo la uzito kupita kiasi au Overweight.

• Wenye shida ya Presha au shinikizo la damu

• Wenye tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha lehemu au Cholesterol mwilini

• Wanawake wenye tatizo la Polycystic ovarian syndrome (PCOS)

• Wanawake wenye historia ya kupatwa na tatizo la Kisukari kipindi cha ujauzito yaani gestational diabetes.

HIZI HAPA NI BAADHI YA SABABU AMBAZO HUONGEZA KIWANGO CHA SUKARI KWENYE DAMU KWA WATU AMBAO TAYARI WANAUGONJWA WA KISUKARI

– Kutokutumia dose sahihi ya Insulin au dawa sahihi za kumeza kwa ajili ya ugonjwa wa kisukari

– Mwili wako kuacha kutumia Insulin asilia iliyopo mwilini hasa kwa type 2 diabetes

– Kiwango cha carbohydrates unachokula au kunywa hakiendani na kiwango cha Insulin ambayo mwili wako hutengeneza au Kiwango cha Insulin inachopewa kupitia dawa(sindano)

– Mgonjwa kuanza kuwa na tatizo la Msongo wa mawazo,hofu au wasiwasi kutokana na ugonjwa uliompata au kitu kingine chochote,huweza kuathiri kiwango cha sukari kwenye damu ndani ya mwili wako

– Matatizo kwenye Endocrine huweza kusababisha tatizo la Insulin kushindwa kufanya kazi

– Magonjwa mbali mbali yanayohusisha Kongosho(Pancrease) kama vile; cystic fibrosis au tatizo la kansa ya kongosho

– Matumizi ya baadhi ya dawa kama vile; dawa jamii ya diuretics,steroids n.k

BAADHI YA DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI(SUKARI KUZIDI KWENYE DAMU)

1. Mtu kuwa na kiu ya maji sana kupita kawaida au kupata njaa sana mara kwa mara

2. Mtu kutokuona vizuri pamoja na kupatwa na tatizo la kuona marue rue

3. Mtu kuanza kukojoa mara kwa mara kuliko kawaida

4. Mtu kupatwa na tatizo la maumivu makali ya kichwa mara kwa mara shida ambayo haikuwepo hapo mwanzo

5. Mwili kuchoka kuliko kawaida pamoja na uzito wa mwili kupungua kwa kasi sana

6. Wengine hupatwa na maambukizi ya magonjwa kwa urahisi sana kama sehemu za siri(ukeni) pamoja na kwenye ngozi

7. Kuwa na tatizo la vidonda kuchelewa kupona kuliko kawaida n.k

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA KISUKARI

Hizi hapa ni baadhi ya njia mbali mbali ambazo zitakusaidia wewe kujikinga na ugonjwa huu wa kisukari

✓ Fanya mazoezi kila siku angalau kwa dakika 30 au Nusu saa kwa siku, tafiti zinaonyesha kwamba mazoezi ni njia nzuri ya kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu pamoja na kuzuia magonjwa mbali mbali kama vile; ugonjwa wa Kisukari,presha,magonjwa ya moyo n.k

✓ Kula mlo kamili,mlo wenye virutubisho vyote kwa kiwango sahihi kinachohitajika mwilini, epuka matumizi ya sukari kupita kiasi au kula vyakula vya wanga mwingi kuliko vyakula vingine

✓ Hakikisha unakuwa na uzito sahihi na kuepuka matatizo kama vile; kuwa na uzito mkubwa(overweight) au kuwa mnene kupita kawaida

✓ Epuka tabia hatari ya uvutaji wa Sigara

✓ Epuka kabsa matumizi ya pombe au Dhibiti sana matumizi ya Pombe, Tafiti zinaonyesha kwamba Pombe inaweza kuongeza kiwango cha Sukari kwenye damu ndani ya mwili wako

N.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa6 days ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa3 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa4 weeks ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa1 month ago

Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga

“Vyanzo Vya Kifo cha Ghafla: Sababu Zinazotisha na Jinsi ya Kujikinga” Kifo cha ghafla ni janga lisilotarajiwa ambalo linaweza kumpata...

Trending