Ticker

6/recent/ticker-posts

Madhara ya punyeto,Soma Hapa Kufahamu ukweli wa Mambo



Madhara ya punyeto,Soma Hapa Kufahamu ukweli wa Mambo

Tabia hii imekuwa ikiwaathiri Wanaume Wengi kwa hivi Sasa,Je unazifahamu athari au Madhara ya Punyeto?

Madhara ya kujichua/punyeto kwa mwanaume ni kushindwa kusimamisha uume muda mrefu. Hayo ndio madhara makubwa yanayowaletea wanaume wengi shida. …

Kufanya Punyeto , wengi wanatumia Mkono kuchua uume, kuminya uume kutafuta raha msisimko haraka haraka.

Kuminya uume kwa viganja vyako vya mkono au kugandamiza sehemu inapelekea kuua Neva (nerve) misuli na mishipa ya damu matokeo yake uume unakuwa hauna nguvu kutokana na misuli kuchoka na kujenga usugu Uume unakuwa mwembamba na kuwa sugu!.

Madhara mengine ukikutana na mwanamke ukichomeka unamwaga mbegu za kiume hapo hapo na nguvu zinaisha mwili unahitaji upumzike kwanza.

 Mwili unazoea(condition action) pia na uume nao unazoea punyeto Ile raha mtu anayopata wakati wa kujichua ni ya kiwango cha juu sana kiasi kwamba hakuna kitu kingine ambacho kinaweza kuleta raha ya namna hiyo kwenye mazingira yake. Hii ndio inasababisha wengi kushindwa kuacha mchezo huo!

 PUNYETO

Kila kitu chenye faida basi kina hasara zake. Tabia hii ya kupiga puchu au punyeto hufanyika kwa watu wengi, huku ikichangiwa na sababu mbali mbali kama vile;

Kupenda kuangalia picha na video za ngono kila mara

Kukaa kwa muda mrefu pasipo kukutana na mwanamke kimwili

Hisia za kimapenzi zilizokithiri

N.K

MADHARA MENGINE YA KUPIGA PUCHU(punyeto) NI PAMOJA NA;

• Kuwa na shida ya kushindwa kujidhibiti na kuwahi kukojoa wakati wa mapenzi kabla ya mwenzako

• Kupungua kwa Nguvu za kiume, endapo tabia hii inafanyika kila siku

• Athari katika mishipa ya uume

• Kupatwa na uchovu wa mwili uliokithiri

• Kupatwa na shida ya maumivu ya kiuno au mgongo

• Kuweka kupata maumivu ya mishipa ya uume mara kwa mara

• Kupatwa na maumivu ya korodani kwa baadhi ya wanaume.

N.K

ANGALIZO; EPUKA Haya ili kuacha tabia hii

– Epuka kuangalia picha pamoja na video za ngono mara kwa mara

– Epuka kukaa na watu wenye tabia hii ya kupiga puchu kila mara

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

 ➡️ MADHARA YA KUFANYA PUNYETO(MASTERBATION)

Punyeto ni tendo la kutomasa uume ili kujisisimua kimapenzi hadi kufikia kileleni (climax). Pia ni tendo la kujitafutia ashiki binafsi hasa kwa kuchochea viungo vya uzazi.

MADHARA YA UFANYAJI MASTERBATION PUNYETO

huambatana na madhara makubwa ya kiafya na leo tutaangalia madhara kumi ya kujipa raha mwenyewe kwa kutumia muono wako au kwa jina Jingine “PULI”

1. punyeto humfanya mtu  awe mlegevu bila kuwa na nguvu kabisa mda wote kwani nguvu nyingi hutumika kwenye tendo hilo kuliko hata nguvu zinazotumika zinapokutana nyama kwa nyama.

2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni…. (Premature ejaculation)

anaweza akajikuta akigusa tu “nanii” ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika.

3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao.

4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low sperm count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto.

5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi.

6. Huleta utumwa wa kifikra kwani ukishaanza huwezi kuacha kirahisi (addiction).

7. Punyeto husababisha mwanamke au mwanamume kukosa hamu kabisa na mwenza wake hivyo kuleta usumbufu kwenye mahusiano..

8. Punyeto ni chanzo kikuu cha ngono za jinsia moja shuleni na vyuoni ambazo huambukiza magonjwa ya Zinaa kama Gono, kaswende na Ukimwi kirahisi sana.

9. Husababisha msongo mkubwa wa. mawazo kwani mara nyingi kila umalizapo tendo hilo unajuta sana na kuapa kwamba hutorudia tena lakini ikifika mida Fulani “sabuni kama kawa”

10. Kijana kuondokwa na haja ya kuoa au kuolewa kwani anachokitaka anahis anakipata na kupelekea kushindwa kuandaa familia yake

Amua sasa kuacha mchezo huo mchafu

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Post a Comment

0 Comments