Connect with us

Magonjwa

Mbinu za jinsi ya kupunguza tumbo kwa haraka

Avatar photo

Published

on

Mbinu za jinsi ya kupunguza tumbo kwa haraka

Kila mtu ana mafuta tumboni(belly fat),hata watu ambao wana tumbo dogo,Hiyo ni kawaida. Lakini ukiwa na mafuta mengi ya tumbo yanaweza kuathiri afya yako kwa njia ambayo mafuta mengine hayaathiri.

Baadhi ya mafuta yako yanahifadhiwa chini ya ngozi yako. Mafuta mengine huhifadhiwa ndani zaidi, karibu na moyo wako, mapafu, ini, na viungo vingine.

Sasa basi,mafuta yale ambayo huhifadhiwa ndani zaidi — yanayoitwa “visceral” fat — ndyo ambayo yanaweza kuwa tatizo kubwa, hata kwa watu wembamba.

Fahamu kama una mafuta mengi mno ya aina hii(Visceral fat), huenda ukaweza kupata matatizo mbali mbali ya kiafya kama vile;

Katika Makala hii tunaeleza madhara ya kuwa na tumbo kubwa(mafuta mengi tumboni), lakini baada ya madhara hayo,hizi ni mbinu muhimu za kukusaidia kukabiliana na tatizo hili.

jinsi ya kupunguza tumbo

1. Fanya Mazoezi ya mwili

Kufanya mazoezi ya mwili husaidia kupunguza mafuta mwilini yakiwemo Visceral fat.

Unashauriwa kufanya mazoezi angalau kwa dakika 30, kwa muda wa angalau siku 5 za wiki,

Fanya Mazoezi mbali mbali kama vile kuruka kamba,kutembea n.k

Pata Zaidi hapa: Maelekezo kamili ya Mazoezi kwa Ajili ya kukusaidia kupunguza Uzito wako pamoja na Tumbo kwa ujumla

2. Aina ya chakula unachokula(Diet):

Kula vyakula vyenye kiwango kikubwa cha nyuzinyuzi(fibers),

Na tafiti zinaonyesha,unapopanga Diet yako kwa ajili ya kupunguza Uzito, Moja ya vitu ambavyo ni vyakwanza kabsa kupungua ni pamoja na mafuta ya Tumbo(belly fat).

Pata Zaidi hapa: Full diet plan kwa Ajili ya kukusaidia kupunguza Uzito wako pamoja na Tumbo kwa ujumla

3. lala kwa muda Sahihi

Kupata kiwango sahihi cha usingizi husaidia kupunguza matatizo mengi ikiwemo hili la tumbo na Uzito wa mwili kwa ujumla.

Katika utafiti mmoja, watu waliopata usingizi na kulala muda wa saa 6 hadi 7 kwa usiku walipata mafuta kidogo ya visceral kwa miaka 5 ikilinganishwa na wale waliolala masaa 5 au machache kwa usiku au waliolala masaa 8 au zaidi kwa usiku.

Kulala kunaweza kuwa jambo pekee ambalo lina muhimu mkubwa katika afya ya binadamu.

Soma Zaidi hapa: Faida za kupata muda wa kutosha wa kulala

4. Msongo wa mawazo au Stress:

Kila mtu ana stress, ila Jinsi unavyoshughulikia stress ni muhimu, je,ukiwa katika hali ya Msongo wa mawazo au Stress ni njia gani unatumia ili kukabiliana na tatizo hili?

Mambo bora zaidi unayoweza kufanya ni pamoja na kupumzika na marafiki na familia, kutafakari, kufanya mazoezi ya kupumua, na kupata ushauri n.k Hiyo itakusaidia kuwa na afya njema na kufanya maamuzi mazuri.

Wapo baadhi ya watu wakiwa kwenye hali ya Stress hula Zaidi, sababu inayofanya ongezeko la mafuta tumboni kwa haraka, hivo,kudhibiti unachokula huweza kusaidia kupungua ukiwa katika hali hii.

Ingawa pia,wapo watu wakiwa kwenye hali ya Stress hawawezi kula kabsa.

JINSI YA KUPUNGUZA TUMBO(afyatips)

Kwa hivi sasa watu wengi hupambana na njia mbali mbali za kupunguza matumbo yao hasa wadada ili kuonekana warembo zaidi, na kuvaa nguo ipendeze, Hivo basi huwapelekea kutumia njia mbali mbali ili kupunguza tumbo, huku zingine zikiwa sahihi na zingine zikiwa hatari zaidi kwa afya zao. Hapa kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia wakati unahitaji kupunguza tumbo lako,

1. Hakikisha unapendelea zaidi kula vyakula pamoja na matunda yenye nyuzi nyuzi au Fibers kama vile machungwa,maembe,maparachichi n.k

2. Epuka kula vyakula vyenye mafuta zaidi ikiwemo chips

3. Epuka matumizi ya pombe kupita kiasi

4. Kula vyakula vyenye kiwango kikubwa cha PROTEIN na sio kiwango kikubwa cha MAFUTA mfano; Maharage n.k

5. Punguza au epuka kabsa kuwa na msongo wa mawazo,watu wengi hawajui kwamba msongo wa mawazo huweza kusababisha tatizo la kuongezeka kwa tumbo au hata uzito kwa baadhi ya watu

6. Epuka kula vyakula vyenye kiwango kikubwa cha sukari

7. Fanya mazoezi ya mwili kila siku,angalau kwa dakika 30 au Nusu saa kila siku

8. Hakikisha unapata muda wa kutosha wa kupumzika pamoja na kulala

9. Unaweza kupendelea kula vyakula jamii ya samaki zaidi huku ukiepuka mafuta mengi

10. Japo juice za matunda ni nzuri sana, ila baadhi zina kiwango kikubwa sana cha sukari,hivo epuka juice kama hizi

11. Kunywa chai ya kijani maarufu kama GREEN TEA, najua wengi wenu hamjawahi kusikia hii,ila ipo na watu wanaitumia hivo ulizia itakusaidia pia.

12. Pamoja na Tips zingine za Afya

KUMBUKA; kufunga mkanda tumboni ili tumbo lipungue au kushinda na njaa kila siku huweza kuwa hatari kwako na sio njia salama ya kupunguza tumbo

• Soma pia: Jinsi ya Kupunguza Uzito wa Mwili

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...