Ujio wa chombo muhimu cha kudhibiti ukuaji holela wa gharama za afya kwa wananchi. WAKATI Waziri wa Afya akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya bajeti...
BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA AFYA KWA KISHINDO Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia na kupitisha kwa kishindo Bajeti ya Wizara ya Afya...
Mwaka 2023:Watu 8,145,576 walipima Virusi vya UKIMWI (VVU) Wizara ya Afya imesema kati ya Watu waliopima mwaka 2023, Watu 163,131 walingundulika kuwa na maambukizi ya VVU...
Saratani ya uume inaonekana kuongezeka kwa kiwango cha kutisha katika miaka ya hivi karibuni. Mwaka 2018, João, mwenye umri wa miaka 63, alianza kugundua maumivu kwenye...
#PICHA:Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, akionesha vitabu wakati wa hafla ya ugawaji wa vitabu vya kufuatilia maendeleo ya mama mjamzito na watoto chini ya miaka mitano....
WHO yatoa mwongozo mpya kupunguza maambukizi kwenye matumizi ya katheta #PICHA: Muhudumu wa afya akimuhudumia mgonjwa katika kituo cha matibabu ya kipindupindu Malawi Je wajua kuwa...
ORODHA YA DAWA 178 ZILIZOJUMUISHWA KATIKA KITITA KWA KUZINGATIA NGUVU, MUUNDO NA MUUNGANIKO.
WHO, mashirika 11 yaungana kuboresha huduma za afya Mwakilishi Mkazi wa WHO Tanzania Dk Charles Moses katikati akisaini makubaliano ya kushirikiana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika...
kuleta mabadiliko vita dhidi ya Malaria Kusini mwa Jangwa la Sahara Rais Mstaafu, Dk Jakaya Kikwete akizungumza katika mkutano wa tatu wa Baraza la Kumaliza Malaria....
MATIBABU YA ULOTO YA BMH YAZUNGUMZIWA BARAZA LA MAWAZIRI EAC Akifungua Mkutano wa Kawaida wa 24 wa Baraza la Mawaziri wa Sekta ya Afya EAC, Waziri...
#PICHA:Wakunga kisiwani Zanzibar wakifurahia wakati wa maadhimisho ya siku ya wakunga duniani yaliyofanyika mjini Unguja. Kwa mujibu wa miongozo ya afya, mkunga mmoja anatakiwa kuhudumia mjamzito...