‘Nilitaka kujiua baada ya kugundua nimepata ujauzito kutokana na ubakaji’ Alienda kuchota maji mtoni kama kila siku. Ghafla, wanaume wawili walimkamata kwa nyuma, wakamwekea kisu kooni,...
Mipango ya mazishi ya Mfalme Charles yaharakishwa kufuatia ripoti kuwa “hayuko sawa” anapopambana na saratani. Afya ya Mfalme Charles III inasababisha wasiwasi kwa marafiki na ikulu...
LEO ni Siku ya Malaria Duniani ambayo imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka tangu ilipoanzishwa na nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) mwaka 2007 wakati wa...
Bibi apandikizwa figo ya nguruwe pamoja na moyo wa bandia Bibi mmoja mwenye umri wa miaka 54 amefaulu kupokea upandikizaji wa kwanza wa pamoja wa figo...
Wiki ya Kimataifa ya Chanjo yaanza leo 24 hadi 30 Aprili Wiki ya Kimataifa ya Chanjo ambayo huadhimishwa katika kila wiki ya mwisho ya mwezi Aprili,...
Watoto wa kike milioni 5 nchini Tanzania kupatiwa chanjo dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi- WHO #PICHA: Uzinduzi wa kampeni ya siku 5 ya kitaifa...
Mtu mwenye Figo Nne agundulika nchini Somalia. Anakuwa mtu wa nne duniani mwenye figo nne ambapo awali kulikuwa na watu watatu pekee wenye figo za ziada...
DUBAI; Mvua kubwa ambayo haijawahi kunyesha kwa miaka 75 #DUBAI: Safari za Ndege zimeahirishwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dubai baada ya Uwanja huo...
Mtawa kuchunguzwa baada ya kukutwa na sanduku lenye mwili wa rafiki yake aliyekufa Nchini Chile, polisi wanachunguza kisa cha mtawa mmoja, 80 kuacha sanduku lililojaa mabaki...
Mwanaume afanyiwa upasuaji baada ya kuvunja Uume wake uliosimama na kuharibu korodani zake kutokana na kubingirika akiwa amelala. Mwanaume huyo alilazimika kufanyiwa upasuaji wa dharura baada...
WHO yaitangaza Cape Verde kutokomeza Malaria Shirika la afya ulimwenguni WHO, limeitangaza Cape Verde kuwa nchi ya tatu barani Afrika kutokomeza ugonjwa wa Malaria, wakati ambapo...
Mapacha wakubwa zaidi duniani walioungana wamefariki wakiwa na umri wa miaka 62. Mapacha wakubwa zaidi duniani walioungana, Lori na kaka yake aliyebadili jinsia, George Schappell, wamefariki...
Kuadhimisha INDIA isiyo na polio, kuwa na Ndoto za ulimwengu Usio na POLIO Nchi mbali mbali Duniani zinakabiliwa na ongezeko la kutisha la surua, ugonjwa hatari...
📸Picha za kupendeza za Hope akiwa na mtoto anayeitwa mchawi na aliyeachwa Akwa Ibom nchini Nigeria. Mfanyikazi wa misaada kutoka Denmark, Anja Ringgren Loven ameshiriki picha...
Tukio la kuzama kwa meli iitwayo MV Maman Benita. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa taarifa kuhusu tukio la kuzama kwa meli iitwayo MV...
Kupatwa kamili kwa jua kutashuhudiwa leo katika bara la Amerika Kaskazini. Mwezi utapita mbele ya Jua na kupunguza mwanga wa Jua hadi kutoonekana kwa muda na...
Mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994;Waliuawa wote nikabaki peke yangu: Nathalie Uwamaliya Nathalie Uwamaliya, manusura wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, akizungumza na...
Mwigizaji Victor ‘Nkubi’ Nwaogu na mkewe Vivian wapata mtoto wao wa kwanza. Mwigizaji wa nchini Nigeria Victor ‘Nkubi’ Nwaogu na mkewe Vivian wamempokea mtoto wao wa...
Upasuaji kwa njia ya tundu dogo wa kurekebisha mishipa ya damu iliyotanuka wafanyika Kwa mara ya kwanza wataamu wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)...
Mwanaume wa Zambia ajiua baada ya kumuua mkewe. Mfanyakazi wa zamani wa benki, Mike Ilishebo, 44, anadaiwa kumuua mkewe mwenye umri wa miaka 35, Valerie Franco,...
Mgonjwa aitwae Richard Slayman (62) aliyepandikizwa figo ya Nguruwe iliyobadilishiwa vinasaba, ameruhusiwa kutoka hospitalini ikiwa ni siku kadhaa tu toka alipofanyiwa upasuaji huo March 2024 katika...
Shirika la Afya Duniani WHO Laingiza zaidi ya tani 50 za vifaa vya matibabu Sudan #PICHA; Vifaa vya matibabu vinatayarishwa kwa ajili ya kupelekwa kwenye Milima...
NEW! Sarafu ya Sh100 yatolewa kooni kwa mtoto. Wataalamu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) jijini Dodoma, wamefanikiwa kuitoa sarafu ya Sh100 iliyokuwa imekwama kwenye koo...
Tuwezeshe wenye usonji wastawi katika jamii zao- Guterres Wanafunzi katika shule ya watoto wenye usonji katika kituo cha jamii cha kujifunza Kenya, KCCL wakiwa kwenye picha...
Pasaka ni nini?,Nawatakia pasaka njema, happy easter 2024 Asante sana kwa kuwa Mdau muhimu ndani ya @afyaclass, tunakuthamini na tunakutakia sikukuu njema ya Pasaka. Pasaka ni...
Mapacha walioungana Abby na Brittany Hensel wavunja ukimya baada ya picha za harusi ya Abby kusambaa mitandaoni. Abby na Brittany Hensel wamevunja ukimya baada ya Picha...
Tukiimarisha ubora wa huduma za afya ya mama na mtoto tutapunguza vifo vitokanavyo na uzazi Na. WAF – Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya...