Events
Kupatwa kamili kwa jua kutashuhudiwa leo katika bara la Amerika Kaskazini
Kupatwa kamili kwa jua kutashuhudiwa leo katika bara la Amerika Kaskazini.
Mwezi utapita mbele ya Jua na kupunguza mwanga wa Jua hadi kutoonekana kwa muda na kuwa giza.
Mamilioni ya watu katika eneo kubwa la Amerika ya Kaskazini watashuhudia kupatwa kwa jua, wakati ambapo mwezi utalifunika kabisa jua kwa zaidi ya dakika nne katika baadhi ya maeneo.
Tukio hilo litashuhudiwa ikiwa hali ya hewa itaruhusu na linatarajiwa kuanzia Mexico, kupitia Marekani hadi Canada. Tukio hili la dakika 4 na sekunde 28 litadumu kwa muda mrefu zaidi ya la mwaka 2017 lililodumu kwa dakika 2 na sekunde 42.
https://www.instagram.com/p/C5f9p2pNV1Y/?igsh=MXNrbHB2eGVodjl1OQ==
-
Uzazi/Ujauzito6 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Uzazi/Ujauzito4 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa5 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Magonjwa3 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events7 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
afyatips19 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini
-
Utafiti2 days ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO