Connect with us

Magonjwa

Ugonjwa Wa Marburg,chanzo,dalili,jinsi unavyosambaa pamoja na matibabu yake

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa Wa Marburg,chanzo,dalili,jinsi unavyosambaa pamoja na matibabu yake

Fahamu kuhusu Ugonjwa Wa Marburg,chanzo,dalili,jinsi unavyosambaa pamoja na matibabu yake,Soma hapa kwenye Makala hii.

Ugonjwa Wa Marburg

Ugonjwa wa Marburg ni ugonjwa ambao unafananishwa na Ebola kwa dalili zake, ila ugonjwa huu wa homa ya kuvuja damu ni ugonjwa ambao unasababishwa na Virusi ambavyo vinajulikana kwa kitaalam kama MARBURG.

Licha ya kuathiri binadamu,ugonjwa wa Marburg huweza Pia kushambulia wanyama mbali mbali kama vile; wanyama jamii ya Sokwe,Nyani N.K

Dalili za Ugonjwa Wa Marburg

DALILI ZA UGONJWA WA MARBURG NI PAMOJA NA;

1. Mgonjwa kuanza kuvuja damu maeneo mbali mbali ya mwili yenye uwazi mfano;

  • Mdomoni,
  • Puani
  • Pamoja na masikioni

2. Mgonjwa kuanza kujisaidia haja kubwa ya maji mengi (kuharisha maji mengi)

3. Mgonjwa kupatwa na hali ya kichefuchefu pamoja na kutapika

4. Joto la mwili la Mgonjwa kupanda au Mgonjwa kuwa na homa

5. Mgonjwa kupata uchovu sana katika mwili wake pamoja na mwili kukosa nguvu

6. Mgonjwa kupata maumivu makali kwenye misuli ya mwili,joint pamoja na viungo mbali mbali vya mwili

7. Mgonjwa kukosa hamu ya chakula

8. Mgonjwa kupata maumivu makali ya tumbo

9. Mgonjwa kuhisi hali ya vichomi

10. Mgonjwa kupata maumivu makali ya kichwa mara kwa mara

Jinsi Ugonjwa Wa Marburg unavyosambaa

virus hivi vya Marburg huweza kusambaa kwa njia mbali mbali ikiwemo;

– Kupitia mgusano kwenye vidonda/ngozi iliyovunjika au mucous membranes ndani ya macho,pua au mdomoni

– Ugonjwa Wa Marburg unaweza kusambaa kupitia damu au maji maji ya mwili kutoka kwa mgonjwa mwenye Virusi vya Marburg,

Hapa nazungumzia vitu kama vile

  • mkojo, mate,
  • jasho,
  • kinyesi,
  • matapishi,
  • maziwa ya mama(breast milk),
  • Maji ya Uzazi(amniotic fluid),
  • manii au semen n.k kutoka kwa mtu mwenye Ugonjwa Wa Marburg

au vitu ambavyo vimechafuliwa na maji maji haya ya mgonjwa wa Marburg au mtu ambaye amepoteza maisha kutokana na ugonjwa wa Marburg, Vitu hivo ni pamoja na nguo,shuka,sindano,au vifaa vingine vya hospitalin nk.

MATIBABU YA UGONJWA WA MARBURG

Hakuna tiba wala chanjo kwa ajili ya kutibu na kuzuia Ugonjwa wa marburg, Hivo kama ilivyo magonjwa mengi yanayosababishwa na Virusi,

Mgonjwa hutibiwa dalili za ugonjwa wa marburg Mfano; Kama Mgonjwa anapata maumivu makali ya misuli,joint pamoja na viungo vya mwili basi hupewa dawa za kudhibiti maumivu hayo N.K

FAQs: Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara

Je, Dalili za Ugonjwa Wa Marburg ni zipi?

DALILI ZA UGONJWA WA MARBURG NI PAMOJA NA;

1. Mgonjwa kuanza kuvuja damu maeneo mbali mbali ya mwili yenye uwazi mfano;

Mdomoni,Puani na masikioni

2. Mgonjwa kuanza kujisaidia haja kubwa ya maji mengi (kuharisha maji mengi)

3. Mgonjwa kupatwa na hali ya kichefuchefu pamoja na kutapika

4. Joto la mwili la Mgonjwa kupanda au Mgonjwa kuwa na homa

5. Mgonjwa kupata uchovu sana katika mwili wake pamoja na mwili kukosa nguvu

6. Mgonjwa kupata maumivu makali kwenye misuli ya mwili,joint pamoja na viungo mbali mbali vya mwili

7. Mgonjwa kukosa hamu ya chakula

8. Mgonjwa kupata maumivu makali ya tumbo

9. Mgonjwa kuhisi hali ya vichomi

10. Mgonjwa kupata maumivu makali ya kichwa mara kwa mara

Hitimisho

Ugonjwa wa Marburg ni ugonjwa ambao unafananishwa na Ebola kwa dalili zake, ila ugonjwa huu wa homa ya kuvuja damu ni ugonjwa ambao unasababishwa na Virusi ambavyo vinajulikana kwa kitaalam kama MARBURG.

Licha ya kuathiri binadamu,ugonjwa wa Marburg huweza Pia kushambulia wanyama mbali mbali kama vile; wanyama jamii ya Sokwe,Nyani N.K

DALILI ZA UGONJWA WA MARBURG NI PAMOJA NA;

1. Mgonjwa kuanza kuvuja damu maeneo mbali mbali ya mwili yenye uwazi mfano;

Mdomoni,Puani na masikioni

2. Mgonjwa kuanza kujisaidia haja kubwa ya maji mengi (kuharisha maji mengi)

3. Mgonjwa kupatwa na hali ya kichefuchefu pamoja na kutapika

4. Joto la mwili la Mgonjwa kupanda au Mgonjwa kuwa na homa

5. Mgonjwa kupata uchovu sana katika mwili wake pamoja na mwili kukosa nguvu

6. Mgonjwa kupata maumivu makali kwenye misuli ya mwili,joint pamoja na viungo mbali mbali vya mwili

7. Mgonjwa kukosa hamu ya chakula

8. Mgonjwa kupata maumivu makali ya tumbo

9. Mgonjwa kuhisi hali ya vichomi

10. Mgonjwa kupata maumivu makali ya kichwa mara kwa mara

Ukiona dalili kama hizi wahi Mapema hospitalini.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa1 week ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa2 weeks ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa4 weeks ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa1 month ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa2 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

Magonjwa3 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa18 hours ago

Clarithromycin inatibu nini, soma hapa kufahamu

Clarithromycin inatibu nini Clarithromycin ni dawa inayotumika kutibu aina nyingi za maambukizi yanayotokana na bacteria(bacterial infections). Dawa hii pia huweza...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 days ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa5 days ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa7 days ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...

Magonjwa1 week ago

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa...

Magonjwa2 weeks ago

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka...

Magonjwa3 weeks ago

Madhara ya vumbi la kongo 

Madhara ya vumbi la kongo  Soma hapa kufahamu madhara ya kutumia Vumbi la Kongo kwa afya yako, VUMBI LA KONGO...

Magonjwa3 weeks ago

je ugonjwa wa pumu unaambukiza

je ugonjwa wa pumu unaambukiza? Hili ni Swali ambalo watu wengi huuliza,hata kwenye page za afyaclass, kwa kuliona hilo, tumeona...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa varicocele,chanzo,dalili na Tiba

Ugonjwa wa varicocele,chanzo,dalili na Tiba Varicocele ni nini? Ugonjwa wa varicocele ni tatizo linalohusisha kuvimba au kuongezeka ukubwa kwa mishipa...