Connect with us

Magonjwa

Sababu za kuharisha kwa muda mrefu,Soma hapa kufahamu

Avatar photo

Published

on

Sababu za kuharisha kwa muda mrefu

Soma hapa kwenye makala hii, kufahamu kuhusu Sababu za kuharisha kwa muda mrefu (chronic diarrhea) pamoja na Matibabu yake.

Sababu za kuharisha kwa muda mrefu

Kuharisha kwa muda mrefu (Chronic diarrhea) ni hali ya kujisaidia kinyesi cha maji zaidi, kuanzia mara 3 au Zaidi kila siku kwa muda wa angalau wiki nne(4),

Kuna baadhi ya Sababu za kuharisha kwa muda mrefu, Sababu Zipo nyingi na matibabu ya tatizo la Kuharisha kwa muda mrefu hutegemea kwenye Sababu hizo.

Sababu za kuharisha kwa muda mrefu

Baadhi ya Sababu za kuharisha kwa muda mrefu,ambazo huchangia mara nyingi uwepo wa tatizo hili ni pamoja na;

– Tatizo la irritable bowel syndrome (IBS),

– Tatizo la inflammatory bowel disease ikiwemo;

  • Crohn disease
  • Pamoja na ulcerative colitis

– Tatizo la malabsorption syndromes,

ambapo shida hutokea kwenye mwili kushindwa kumeng’enya na kufyonza chakula, kama vile kwa mtu mwenye shida ya celiac disease n.k,

– Maambukizi ya muda mrefu zaidi(chronic infections) n.k

Dalili za kuharisha kwa muda mrefu

Dalili za tatizo la kuharisha kwa muda mrefu ni pamoja na;

âś“ kujisaidia kinyesi cha maji zaidi, kuanzia mara 3 au Zaidi kila siku kwa muda wa angalau wiki nne(4),

Hali hii ya kuharisha kwa muda wa wiki kadhaa mfululizo ndyo dalili kubwa ya tatizo la kuharisha kwa muda mrefu yaani chronic diarrhea.

âś“ Hali hii ya Kuharisha kwa muda mrefu huweza kuambatana na dalili zingine kama vile;

Ukiwa na tatizo la kuharisha kwa muda mrefu hakikisha unafanya Vipimo na kupata Matibabu mapema Zaidi.

Vipimo ni pamoja na kufanyiwa uchunguzi wa kinyesi chako(stool test),vipimo vya damu n.k

âś“ Sababu zingine za tatizo la kuharisha kwa muda mrefu ni pamoja na;

– matumizi ya baadhi ya dawa kama vile;

  • dawa jamii ya NSAIDs,
  • antibiotics,
  • antacids n.k

– Madhara ya unywaji wa pombe kupita kiasi-alcohol abuse n.k

FAQs: Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara

Je,kuharisha kwa muda mrefu ni tatizo gani?

Kuharisha kwa muda mrefu (Chronic diarrhea) ni hali ya kujisaidia kinyesi cha maji zaidi, kuanzia mara 3 au Zaidi kila siku kwa muda wa angalau wiki nne(4).

Hitimisho

Tatizo la kuharisha kwa mrefu ni tatizo ambalo huweza kumpata mtu yoyote,

Kuharisha kwa muda mrefu (Chronic diarrhea) ni hali ya kujisaidia kinyesi cha maji zaidi, kuanzia mara 3 au Zaidi kila siku kwa muda wa angalau wiki nne(4).

Kuna baadhi ya Sababu za kuharisha kwa muda mrefu, Sababu Zipo nyingi na matibabu ya tatizo la Kuharisha kwa muda mrefu hutegemea kwenye Sababu hizo,

Sababu hizo ni pamoja na;

– Tatizo la irritable bowel syndrome (IBS),

– Tatizo la inflammatory bowel disease ikiwemo;

  • Crohn disease
  • Pamoja na ulcerative colitis

– Tatizo la malabsorption syndromes,

ambapo shida hutokea kwenye mwili kushindwa kumeng’enya na kufyonza chakula, kama vile kwa mtu mwenye shida ya celiac disease n.k,

– Maambukizi ya muda mrefu zaidi(chronic infections) n.k

Kama una dalili hizi za Kuharisha kwa Muda mrefu, hakikisha unafanya Vipimo ili kupata Matibabu kulingana na shida yako.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake Chlamydia ni ugonjwa unaowapata watu wengi na unaenezwa kwa ngono,Hivo chlamydia ni miongoni mwa...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba Pangusa ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa ambayo hutokea kwa jinsia zote mbili(mwanaume na...

Magonjwa4 days ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa5 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa2 weeks ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...