Connect with us

Magonjwa

Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito

Avatar photo

Published

on

Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito

Baadhi ya Watu hujiuliza,yapi ni Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito? Watu wengi wanajiuliza kufanya Mapenzi Mwanamke akiwa mjamzito je ni salama au kuna Madhara?

Kwa kuliona hilo na baada ya kupata Maswali mengi,Leo katika Makala hii tumechambua kuhusu Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito Pamoja na Vitu vya Kuzingatia Zaidi kwenye kipindi hiki cha Ujauzito.

Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito

Je ni Sawa kufanya Mapenzi wakati wa ujauzito?

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba,Mtoto ambaye anakua tumboni(fetus) hulindwa na kufunikwa na maji ya Uzazi-amniotic fluid, Pamoja na misuli imara kabsa ya mfuko wa uzazi wenyewe,

Hii inamfanya mtoto kukua kwenye Mazingira Salama zaidi akiwa ndani ya tumbo la Uzazi bila kujali unafanya mapenzi au hufanyi.

Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito

• Hakuna Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito kama mama huyu hana historia ya matatizo yoyote ya kiafya(complications)

• Sio salama kwa Mama mjamzito kufanya Mapenzi kama akiwa na historia ya matatizo ya kiafya kama vile;

  • Kupata uchungu mapema kabla ya wakati(preterm labor)
  • Matatizo kwenye kondo la nyuma au placenta problems
  • Kuvuja damu Ukeni kupita kiasi
  • Kutokwa na maji ya Uzazi yaani amniotic fluid
  • Mlango wa uzazi(Cervix) kuanza kufunguka kabla ya wakati au kuwa na tatizo la cervical incompetence
  • Kuwa na tatizo la kondo la nyuma(placenta) kushuka na kufunika mlango wa uzazi kwa kitaalam hujulikana kama placenta previa n.k

Kama una matatizo kama haya unashauriwa kuomba Msaada na Ushauri wa wataalam wa afya kuhusu Njia Salama za kutunza Ujauzito wako ili kukusaidia kuzuia Madhara wakati wa ujauzito,kisha kujifungua Salama.

Kumbuka: Kufanya Mapenzi wakati wa Ujauzito hakusababishi mimba kutoka yenyewe(miscarriage),Ingawa kama una shida hii pia, ni vizuri kuchukua tahadhari.

• Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito ni Pamoja na kuongeza hatari ya kupata magonjwa mbali mbali,

Ikiwa huchukui tahadhari zozote za kujikinga na magonjwa mbali mbali ikiwemo magonjwa ya Zinaa, kufanya Mapenzi kwenye kipindi hiki kunaweza kuongeza hatari zaidi ya wewe kupata magonjwa mbali mbali.

Kutokana na mabadiliko ya vichocheo mwilini, pamoja kushuka kwa kinga ya mwili kipindi cha Ujauzito,inaweza kusababisha mama mjamzito kupata magonjwa kwa urahisi,

magonjwa hayo ni pamoja na;

  • Ugonjwa wa UTI
  • Tatizo la fangasi Sehemu za Siri
  • Tatizo la Pid
  • Magonjwa mbali mbali ya Zinaa kama ugonjwa wa kaswende,kisonono,Chlamydia, kupata virusi vya human papiloma virus(HPV) n.k

Kumbuka magonjwa kama kaswende huweza kumuathiri mpaka mtoto.

FAQs; Maswali ambayo huulizwa mara kwa mara

Je, kuna Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito?

• Hakuna Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito kama mama huyu hana historia ya matatizo yoyote ya kiafya(complications),

Lakini pia endapo wahusika wakichukua tahadhari zote za kujikinga na Magonjwa mbali mbali yakiwemo magonjwa ya Zinaa(Sexual transimitted diseases).

Hitimisho

Hakuna Madhara ya kufanya Mapenzi kwa Mama Mjamzito kama mama huyu hana historia ya matatizo yoyote ya kiafya(complications),

Pia hakikisha unachukua tahadhari zote za Kujikinga na magonjwa mbali mbali yakiwemo magonjwa ya Zinaa, ili wewe pamoja na mtoto tumboni muwe Salama zaidi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa9 hours ago

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake Chlamydia ni ugonjwa unaowapata watu wengi na unaenezwa kwa ngono,Hivo chlamydia ni miongoni mwa...

Magonjwa1 day ago

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba Pangusa ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa ambayo hutokea kwa jinsia zote mbili(mwanaume na...

Magonjwa3 days ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa4 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa2 weeks ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...