Magonjwa
Saratani imebaki kuwa tatizo kubwa la afya ya umma katika nchi yetu-KENYA
Saratani imebaki kuwa tatizo kubwa la afya ya umma katika nchi yetu-KENYA
Ni sababu ya tatu kuu ya vifo nchini Kenya. Mnamo mwaka 2020, nchi iliripoti kesi mpya 42,000 za saratani na vifo 27,000 vinavyohusiana na saratani.
Saratani 5 kuu zikiwa ni pamoja na;
1. Saratani ya matiti(breast cancer)
2. Saratani ya Mlango wa kizazi(Cervical cancer)
3. Saratani ya tezi dume(prostate cancer)
4. Saratani ya umio(oesophagus cancer)
5. Pamoja na non – Hodgkin’s lymphoma
Saratani hizi 5 zinachangia karibu nusu (48%) ya mzigo wa saratani nchini.
Na haya ni Maneno kwenye Ukurasa wa Twitter wa Wizara ya afya nchini Kenya;
“Cancer remains a major public health concern in our country. It is the third leading cause of death in Kenya. In 2020, the country reported 42,000 new cancer cases and 27,000 cancer-related deaths”.
“The top 5 cancers are those of the breast, cervix, prostate, oesophagus and non – Hodgkin’s lymphoma. These 5 cancers account for nearly half (48%) of the cancer burden in the country”.