Connect with us

Magonjwa

Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake

Avatar photo

Published

on

Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake

SARATANI NI NINI?

Saratani ni hali ya ukuaji wa seli hai za mwili usio wakawaida au ulizidi kiwango,Kwahyo basi, Saratani ya matiti ni ugonjwa unaohusisha ukuaji usio wa kawaida wa seli hai zilizopo au zinazounda eneo la titi au matiti.

Katika Makala hii tunajadili zaidi kuhusu dalili za saratani ya matiti kwa wanawake,Ingawa unatakiwa kufahamu kwamba, hata Wanaume pia hupata Saratani ya matiti.

Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake

Zipo baadhi ya Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake ambazo ni muhimu sana kuzifahamu mapema, soma zaidi hapa kufahamu

(1) Dalili ya awali inayoweza kutambulisha saratani ya matiti kwa Wanawake ni kuwepo kwa uvimbe kwenye titi ambao huwa na hali tofauti na sehemu nyingine za titi.

Hata hivyo, si kila uvimbe kwenye titi unaashiria uwepo wa saratani ya matiti kwa wanawake,

Uvimbe huu huwa mgumu, unaochezacheza kwenye titi, ambapo wakati mwingine unaweza kuwa na maumivu makali au kusiwe na maumivu yeyote.

Wakati mwingine Wataalam wa afya huweza kufananisha uwepo wa kitu kama punje ya harage au mchele kwenye titi lako,

Uvimbe huu huwepo zaidi ya mzunguko mmoja wa hedhi kwa wale ambao hawajaacha kupata hedhi.

• Dalili zingine za Saratani ya matiti kwa Wanawake ni pamoja na;

(2) Kuwepo kwa uvimbe kwenye sehemu za kwapa

(3) Sehemu ya titi kuingia ndani inayoashiria uvimbe usioonekana au usioweza kuhisiwa

(4) Mabadiliko kwenye chuchu, kama vile;

  • chuchu kuzama ndani au kuwa na nundu ndogo ndogo,
  • chuchu kuwasha,
  • kuhisi kama kuchoma,
  • kidonda kwenye chuchu
  • au chuchu kuwa na kovu ambalo huashiria saratani ya sehemu hiyo

(5)Dalili nyingine za saratani ya matiti kwa wanawake ni pamoja na

Kubadilika kwa umbo la titi, ngozi ya titi kuwa kama ganda la chungwa (peu de orange), ngozi kuwa na rangi nyekundu, na kuongezeka kwa joto kwenye titi. Dalili hizi huashiria kusambaa kwa saratani mwilini.

(6) Dalili nyingine ni chuchu kutoa maji yasiyo ya kawaida ambayo hayana rangi. Aidha wakati mwingine, chuchu hutokwa damu au majimaji yenye rangi nyingine tofauti. n.k

Hizo ndyo baadhi ya Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake.

MAMBO YANAYOONGEZA HATARI YA KUPATA SARATANI YA MATITI KWA WANAWAKE

(1) Kuanza hedhi katika umri mdogo.

(2) Kukoma siku Za hedhi katika umri mkubwa

(3) Kutozaa kabisa.

(4) Kutonyonyesha kabisa au kunyonyesha kwa muda mfupi.

(5) Utumiaji mafuta mengi katika chakula.

(6) Kutokufanya mazoezi ya mara kwa mara.

(7) Uzito mkubwa au Unene kupita kiasi(Overweight/obesity)

(9) Uvutaji wa sigara.

(10) Utumiaji wa pombe kupita kiasi.

(11) Historia ya saratani ya matiti katika familia. n.k

JINSI YAKUJILINDA NA SARATANI YA MATITI KWA WANAWAKE

âś“ Kujichunguza mwenyewe mara kwa mara kwa mara.

âś“ Uchunguzi wa kitabibu wa matiti kila mwaka.

âś“ Uchunguzi wa matiti kwa njia ya mashine ya mionzi (mara moja kwa mwaka kwa wenye miaka zaidi ya 40).

âś“ Wanawake wote wenye umri kuanzia miaka 21 wajichunguze matiti yao siku ya 5-7 baada ya kumaliza hedhi mbele ya kioo

Madhara ya saratani ya Matiti kwa Wanawake

Madhara ya saratani ya matiti kwa wanawake ni Pamoja na;

  • Titi kuoza na kukatwa kabsa
  •  Titi kuuma sana na kutoa damu au usaha kila wakati
  • Kushindwa kabsa kunyonyesha kama mama ananyonyesha
  •  Mwanamke kupoteza maisha pia

Hitimisho

Ni muhimu sana kufahamu kuhusu Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake,ili endapo utaona Viashiria vyovyote vya Saratani hii ya matiti upate matibabu Mapema,

Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake ni pamoja na;

(1) kuwepo kwa uvimbe kwenye titi ambao huwa na hali tofauti na sehemu nyingine za titi.

Hata hivyo, si kila uvimbe kwenye titi unaashiria uwepo wa saratani ya matiti kwa wanawake,

Uvimbe huu huwa mgumu, unaochezacheza kwenye titi, ambapo wakati mwingine unaweza kuwa na maumivu makali au kusiwe na maumivu yeyote.

Wakati mwingine Wataalam wa afya huweza kufananisha uwepo wa kitu kama punje ya harage au mchele kwenye titi lako,

Uvimbe huu huwepo zaidi ya mzunguko mmoja wa hedhi kwa wale ambao hawajaacha kupata hedhi.

• Dalili zingine za Saratani ya matiti kwa Wanawake ni pamoja na;

(2) Kuwepo kwa uvimbe kwenye sehemu za kwapa

(3) Sehemu ya titi kuingia ndani inayoashiria uvimbe usioonekana au usioweza kuhisiwa

(4) Mabadiliko kwenye chuchu, kama vile;

  • chuchu kuzama ndani au kuwa na nundu ndogo ndogo,
  • chuchu kuwasha,
  • kuhisi kama kuchoma,
  • kidonda kwenye chuchu
  • au chuchu kuwa na kovu ambalo huashiria saratani ya sehemu hiyo

(5)Dalili nyingine za saratani ya matiti kwa wanawake ni pamoja na

Kubadilika kwa umbo la titi, ngozi ya titi kuwa kama ganda la chungwa (peu de orange), ngozi kuwa na rangi nyekundu, na kuongezeka kwa joto kwenye titi. Dalili hizi huashiria kusambaa kwa saratani mwilini.

(6) Dalili nyingine ni chuchu kutoa maji yasiyo ya kawaida ambayo hayana rangi. Aidha wakati mwingine, chuchu hutokwa damu au majimaji yenye rangi nyingine tofauti. n.k

Hizo ndyo baadhi ya Dalili za saratani ya matiti kwa wanawake, Ukiona dalili kama hizi wahi Mapema Hospitalini kwa ajili ya UCHUNGUZI na Matibabu Zaidi.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa1 month ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa2 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa4 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa3 days ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa4 days ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Magonjwa6 days ago

Chuchu kutoa maziwa ni dalili ya nini

Chuchu kutoa maziwa ni dalili ya nini Chuchu kutoa maziwa inaweza kuwa dalili ya ujauzito au inaweza kutokea kwa sababu...

Magonjwa1 week ago

Vipele Sehemu za Siri,Chanzo na Tiba yake

Vipele kwenye uume Ni dalili inayotokea sana kwa wanaume, licha ya kuweza sababishwa na magonjwa ya zinaa, mara nyingi vipele...

Magonjwa1 week ago

Ukambi ni ugonjwa gani,Soma hapa kufahamu

Ukambi ni ugonjwa gani? Ukambi kwa jina lingine rahisi ni surua),ambapo ni ugonjwa wa kuambukiza unaoenezwa sana kupitia mgusano, Ugonjwa huu...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake

Ugonjwa wa CHLAMYDIA,chanzo,dalili na Tiba yake Chlamydia ni ugonjwa unaowapata watu wengi na unaenezwa kwa ngono,Hivo chlamydia ni miongoni mwa...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba

Ugonjwa wa zinaa pangusa,chanzo,dalili na Tiba Pangusa ni miongoni mwa magonjwa ya Zinaa ambayo hutokea kwa jinsia zote mbili(mwanaume na...

Magonjwa2 weeks ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa3 weeks ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...