Magonjwa
Magonjwa ya moyo na dalili zake,Fahamu hapa
Magonjwa ya moyo na dalili zake,Fahamu hapa
Katika Makala hii tumechambua baadhi ya Magonjwa ya moyo ambayo huwapata watu Mara kwa mara,Soma Zaidi hapa.
Hii hapa ni Orodha ya baadhi ya Magonjwa ya moyo ambayo hutokea mara kwa mara(Common heart diseases)
1. Coronary Artery Disease (CAD),
Ugonjwa huu ni miongoni mwa Magonjwa ya moyo ambayo hutokea mara nyingi kwa watu,
Mtu mwenye ugonjwa wa Coronary Artery disease huweza kupata shida ya kuziba kwa baadhi ya mishipa ya damu inayopelekea damu kwenye Moyo,mishipa hyo inajulikana kama coronary arteries,
Matokeo yake ni mtu kuwa na ukosefu wa hewa ya kutosha ya Oxygen.
Coronary heart disease inaweza kusababisha mtu kupata maumivu ya kifua au shambulio la moyo.
Kundi hili Lipo kwenye hatari zaidi ya kupata Magonjwa ya moyo hasa Ugonjwa huu wa Coronary heart disease
• Watu wenye umri mkubwa,mfano zaidi ya miaka 55
• Watu ambao hawafanyi mazoezi kabsa
• Watu wenye Ugonjwa wa Kisukari
• Kuwa na Family history ya Magonjwa ya moyo ikiwemo ugonjwa huu wa coronary heart disease kwenye familia yako
• Watu wenye tatizo la Presha ya kupanda(High blood pressure)
• Watu wenye tatizo la kiwango kikubwa cha mafuta au cholestrol mwilini(High levels of LDL “bad” cholesterol)
• Watu wenye Uzito mkubwa au wanene(Overweight/Obesity)
• Watu wanaovuta Sigara n.k
2.Tatizo la Heart Arrhythmias
Heart arrhythmias ni miongoni mwa Magonjwa ya moyo ambayo husababisha mapigo ya moyo kutokueleweka yaani irregular heart beating pattern.
3. Ugonjwa wa moyo kushindwa kufanya kazi(Heart Failure)
Mtu mwenye tatizo la Heart failure,moyo wake hushindwa kufanya kazi ikiwemo kazi ya kusukuma damu mwilini.
4. Heart Valve Disease
Ifahamike kwamba,Moyo wa binadamu una valves nne(4), ambazo hufunguka na kufunguka ili kuongoza damu kutiririka kwenye maeneo mbali mbali ikiwemo;
- katikati ya chemba nne(4) za moyo,
- kwenye mapafu
- pamoja na kwenye mishipa ya damu
Tatizo lolote likitokea kwenye Valves hizi huweza kusababisha damu kushindwa kutiririka kama inavyotakiwa, damu kuzuiwa au damu kuvuja kwenye maeneo ambayo sio sahihi
Haya hapa ni baadhi Magonjwa ya moyo ambayo huathiri valves za moyo(heart valves diseases)
- Tatizo la Endocarditis.
- Rheumaticheart disease.
- Pericardial Disease n.k
5. Ugonjwa unaohusisha misuli ya moyo-Cardiomyopathy (Heart Muscle Disease),
Cardiomyopathy ni miongoni mwa Magonjwa ya moyo ambayo huathiri misuli ya moyo au myocardium.
6.Congenital Heart Disease
Hapa huhusisha Magonjwa ya moyo ambayo hutokea toka uumbaji wa viungo mbali mbali vya mtoto akiwa tumboni
mfano ni Magonjwa ya moyo kama vile;
- Septal abnormalities
- pulmonary stenosis. n.k
7. Orodha nyingine ya Magonjwa ya moyo Ni pamoja na;
âś“ tatizo la chembe ya moyo(Angina pectoris)
âś“ Shambulio la moyo(Heart attack) n.k
Hitimisho
Yapo Magonjwa mbali mbali ya moyo, na hii hapa ni orodha ya baadhi ya Magonjwa ya moyo; Ugonjwa wa shambulio la moyo(heart attack), Moyo kushindwa kufanya kazi(heart failure),Tatizo la coronary artery disease, Heart valve diseases,Heart arrhythmia n.k
Moja ya dalili za magonjwa ya moyo ni pamoja na; Kupata maumivu ya kifua,kushindwa kupumua au kukosa pumzi, kupata kizunguzungu,mapigo ya moyo kwenda mbio n.k.
Ukiona dalili kama hizi hakikisha unaenda kufanya vipimo hospital
AU KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.