Connect with us

Magonjwa

Ugonjwa wa kwashakoo,chanzo,dalili na Tiba

Avatar photo

Published

on

Ugonjwa wa kwashakoo,chanzo,dalili na Tiba

• Kwashakoo ni Ugonjwa gani?

Kwashakoo ni ugonjwa unaohusisha upungufu mkubwa wa protini mwilini,

Ugonjwa wa kwashakoo kwa kiasi kikubwa huathiri watoto wadogo, watoto ambao wapo kwenye mazingira ambayo hawapati mlo wenye virutubisho vya kutosha ikiwemo proteins,

Watu wenye kwashakoo wanaweza kuwa na chakula cha kula, lakini hakina protini ya kutosha.

Dalili za Ugonjwa wa Kwashakoo

Dalili za ugonjwa wa Kwashakoo ni Pamoja na;

1. Ukuaji duni kwa watoto au Mtoto kudumaa

2. Kuvimba kwenye vifundo vya miguu na miguu kwa ujumla

3. Kuvimba Tumbo au tumbo kujaa

4. Kuwa na mabadiliko mbali mbali kwenye nywele ikiwemo;

  • Nywele kukauka sana,
  • Nywele kunyonyoka au kupoteza nywele
  • Nywele kupoteza rangi yake. n.k

5. Kuwa na Ugonjwa wa ngozi(dermatitis)- tatizo ambalo huhusisha ngozi kuwa kavu,ngozi kubanduka, ngozi kuwa na magamba au mabaka mekundu.

6. Kuongezeka ukubwa au kuvimba kwa Ini, kama dalili ya ugonjwa ambao kitaalam hujulikana kama “fatty liver disease”.

7. Misuli kupungua na kuwa dhaifu lakini mafuta huhifadhiwa chini ya ngozi (subcutaneous fat).

8. Kuwa na dalili za tatizo la Upungufu wa maji mwilini(Dehydration).

9. Kukosa hamu ya chakula(anorexia).

10. Mwili kuchoka kuliko kawaida n.k

Madhara ya Ugonjwa wa Kwashakoo

Madhara ya Ugonjwa wa Kwashakoo ni pamoja na;

– Kusababisha udumavu kwenye ukuaji wa watoto(watoto kudumaa)

– Kusababisha tatizo la kuwa na kiwango kidogo cha sukari kwenye damu(Hypoglycemia).

– Kusababisha tatizo la joto la mwili kushuka zaidi-Hypothermia (low body temperature).

– Kusababisha kiwango cha ujazo wa damu kuwa chini-Hypovolemia (low blood volume), kisha kupelekea matatizo kama vile hypovolemic shock.

– kusababisha tatizo la Electrolyte imbalances hasa kutokana na upungufu wa maji mwilini.

– Kusababisha kinga ya mwili kuwa dhaifu sana, hali ambayo husababisha mwili kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara pamoja na vidonda kuchelewa kupona pale unapopata vidonda.

– Kupata Matatizo kweye Ini ikiwemo;

  • tatizo la Cirrhosis
  • Au Ini kushindwa kufanya kazi(liver failure).

– Kudhoofika  kwa kongosho, hali ambayo huweza kusababisha matatizo mbali mbali kwenye umeng’enyaji wa chakula

– Na Wakati mwingine kusababisha Kifo

Chanzo cha Ugonjwa wa Kwashakoo

Kwashakoo ni ugonjwa unaohusisha upungufu mkubwa wa protini mwilini, hivo chanzo kikubwa cha Ugonjwa wa kwashakoo ni upungufu wa Protini mwilini,

Sababu za msingi zinazohusiana na kwashiorkor ni pamoja na:

• Mtu kula vyakula vyenye Wanga nyingi, Katika idadi ya watu ambayo inachukuliwa kuwa kwenye hatari zaidi, haswa maeneo ya Afrika, Amerika ya Kati na Asia ya Kusini-Mashariki, mara nyingi chakula kinachopatikana ni aina ya wanga kama vile:

  • mchele,
  • mahindi
  • au mboga za wanga.

Mazao haya yanaelekea kuwa ya bei nafuu na hupatikana kwa wingi kuliko vyakula vyenye protini nyingi, hasa katika maeneo ya vijijini ambako wengi ni wakulima. Akina mama ambao hawana protini ya kutosha mwilini wanaweza kupitisha tatizo hili la upungufu wa protini kwa watoto wao.

• Kuachishwa kunyonya na kusababisha mtoto kukosa virutubisho vya kutosha. Jina “kwashiorkor” linatokana na lugha ya Ga ya Ghana-Afrika, Ikimaanisha “Ugonjwa ambao mtoto anapata wakati mtoto mpya(mwingine) anakuja.”

Hii inaelezea hali ya kawaida ambayo mtoto anayenyonyeshwa anaachishwa haraka ili mtoto mchanga aanze kunyonyeshwa.

Kwa sababu ya uhaba wa rasilimali au kutojua lishe vizuri, au vyote viwli, mtoto anayeachishwa kunyonya hapati lishe ya kutosha, hali ambayo huathiri afya yake,kupelekea ukosefu mkubwa wa virutubisho muhimu kama vile Proteins,kisha kupata magonjwa kama vile Kwashakoo.

• Sababu zingine zinazoweza kuchangia kuwepo kwa Ugonjwa wa kwashakoo ni pamoja na;

  1. Ukosefu wa Virutubisho muhimu kama vile vitamins na madini mwilini
  2. Ukosefu wa Lishe yenye antioxidants.
  3. Aflatoxins – sumu kutoka kwa ukungu ambayo kwa kawaida hukua kwenye mazao katika hali ya hewa ya joto na unyevunyevu.
  4. Uwepo wa vimelea vya magonjwa aina ya Parasites pamoja na magonjwa kama vile; surua, malaria na HIV.
  5. Pamoja na Matatizo mengine mbali mbali ya kimaisha, ikiwa ni pamoja na njaa, vita na majanga ya asili pia huweza kuchangia uwepo wa Ugonjwa wa Kwashakoo.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn 🩺🌡️ContactUs; +255758286584 or INBOX📩. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...