Connect with us

Utafiti

Utafiti: changamoto ya afya ya akili kwa vijana inaongezeka kwa kasi kubwa

Avatar photo

Published

on

Utafiti: changamoto ya afya ya akili kwa vijana inaongezeka kwa kasi kubwa

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Shrika la Afya la Africa Academy for Public Health, Dk. Marry Sando, akizungumza wakati wa Warsha ya utafiti wa afya ya Akili kwa vijana, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk. Paul Sarea.

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Dk. Paul Sarea, amesema afya ya akili bado ni changamoto nchini hasa kwa rika la vijana.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, amesema kuwa hali ya unyanyapaaji, hali ngumu ya maisha, mazingira kwa upande wa malezi na uelewa mdogo katika maisha, yamekuwa ni chachu kubwa inayosababisha wimbi hili la vijana kuanzia umri wa miaka 10-24 kupata afya ya akili.

Amesema kulingana na ripoti ya Shirika lisilo la serikali nchini Tanzania (AAPH), limebaini kuwa changamoto ya afya ya akili kwa vijana inaongezeka kwa kasi kubwa, ambapo hiyo inatokana na watu kutokuwa tayari kuzungumza matatizo yao na kuyahifadhi moyoni.

“Nakumbuka Sensa ya mwaka 2022 ilionyesha kuwa asilimia 19 ya idadi ya Tanzania ni vijana, wenye umri kati ya miaka 15-24, ambapo kundi hili tunalitegemea katika kutengeneza nguvu kubwa ya taifa, lakini bado kundi hili linaonekana kupata changamoto ya afya ya akili.

Pia, ametaja suala la mabadiliko ya kiuchumi na kijamii kuwa yamekuwa chachu ya kusababisha watu kupata afya ya akili, ambapo hali hiyo inaweza kutokea na kusababisha mtu kupata mawazo pale anapokosa mahitaji yake maalumu.

Amesema wapo baadhi ya watu wamekuwa wakitengwa na kunyanyapaliwa kutokana na ugonjwa walioupata hivyo, husababisha kumuweka mtu huyo katika hali ya mawazo na wasiwasi na kupata tatizo la afya ya akili.

Kwa upende wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la (AAPH), Dk. Mary Sando, amesema Shirika hilo ambalo lilianzishwa mwaka 2009, limekuwa likifanaya kazi na serikali kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, kwa kuangaliaa lishe ya afya ya mama na mtoto, kundi la vijana na matatizo ya afya ya akili.

Amesema mara kadhaa wamekuwa wakifanya tafiti mbalimbali kupitia mradi wao wa Being Tanzania na Ghana, ambao umekuwa ukiangalia ni kwa namna gani wataisaidia jamii kuepukana kutopata matatizo mbalimbali ya afya ya akili.

Naye  Mtafiti Mwandamizi wa (AAPH), Dk. Innocent Yusufu, ametoa rai kwa  vijana kuachana na  masuala ambayo ni hatarishi kwa upande wao yatayowapelekea kupata afya ya akili.

“Nitoe rai kwa vijana wenzangu kudumisha utamaduni wetu na tusikubali kutawaliwa na msongo wa mawazo, wasiwasi kwani hii ndiyo nguzo kubwa ya kusababisha suala la afya ya akili,” amesema Yusuph.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...